Home
Unlabelled
shule ya kisasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Shule inajitahidi kulinganisha na za kibongo..bot you cant call shule ya kisasa..what so special there? hizo computer kama internet cafe? hapo ada kigongo kisa computer..keep it up bado sakafu vumbi tuupuuu..Duuh
ReplyDeleteJamani kama shule ni English medium na kingereza kiwe fasaha. Watajifunza nini kama walimu aua hao waandisha hawajui kingeereza.
ReplyDeleteSoma hii uone ni makosa mangapi katika hii palagaraph. Bai wawe makini wakiandika vitu vyao au ni kwa mwendo wa kibongo kulipua lipua tu.
"The students teachers and parents are very serious about education and consider the school central to their diverse community.The school managements aims to provide quality education that imparts a broad set of skills and knowledge and that develops independent and critical thinking abilities. The education is also designed to assist students in acquiring the values and life skills that will enable them to make their way confidently in a world characterised by globalisation and technological advancement."
Inatia aibu
wewe anony hapo juu unakosoa hiyo paragraph lakini wewe mwenyewe hujui english wala kiswahili.
ReplyDeleteParagraph umeandika palagaraph. Kuripua ripua umeandika kulipua lipua. wabongo tujifunze lugha hizi.
afadhali kuna wengine pia wameona, nilifikiria nimeona mwenyewe. Maana lugha ni vurugu tupu halafu wanakwambia lugha "stictly english". Kwa mtaji huu watoto watapotoshwa kwa gharama kubwa
ReplyDeletesasa viongozi wanataka kutuchanganya zaidi....angalia hii suggestion toka kwa Lowassa...
ReplyDelete"Lowassa apendekeza shule kufundishwa Kichina' from ippmedia.com August 29, 2007
Inaelekea Bongo ni uwanja wa mazoezi ya lugha! Kiingereza chenyewe noti richabo sasa Lowassa anapendekeza kichina! Ipo kazi!
ReplyDeleteNI RAHISI MTOTO KUJIFUNZA LUGHA MBILI MPYA AKIWA MDOGO.
ReplyDeleteKICHINA NDO LUGHA INAYO ONGEWA KULIKO LUGHA ZOOTE DINIANI. ...NA KWA JINSI MAMBO YANAVYOENDA, UPANDE HOU WA DUNIA NDO UTAKUWA MHIMILI WA UCHUMI AU BIASHARA.
LOWASSA KAONA MBALI, LAKINI SI AJABU TUKIMKANDIA KWA SASA, NDO SHIDA YETU .
mmmh!, Garden nzuri , lakini hiyo shule walimu wachache angalia staff team. Halaf watu wote ni wabara, sijaona jina la omari hapo , vipi? Ukerewe baadhi ya watu wanadai kuna racism na huko Bongo kuna udini nini? Jamani au nimeona mimi? Ila si mbaya kuwafundisha watoto computer ila level izingatiwe kulingana na umri.
ReplyDeleteNa wewe anon wa tatu hapo juu ndio huji abisa. Kiswahili sanifu ni "Kulipu lipua" sio "Kuripua ripua"
ReplyDeleteAu wewe ni Mura toka Geshi Ritukufu Ra Porish??
Ninakuunga mkono Mbwegelembwegele, sasa hivi wale tunaowaita wakubwa katika uchumi wa dunia hii wanaongea kichina na wameelekeza vitega uchumi vyao huko China na maeneo ya karibu na China.
ReplyDeleteNa habari za wachina ni kwamba wanasambaa dunia nzima kwa kasi kubwa wakiwekeza na kufanya biashara mbalimbali. Nadhani hata kariakoo baada ya miaka michache itakuwa na majority ya wafanya biashara wa kichina.
Huenda miaka michache ijayo, ukitaka kujenga nyumba ya bei nafuu itabidi uwape makandarasi wa kichina.
Lowasa anaona mbali badala ya kifaransa lugha ifundishwe kichina.
ReplyDeleteTusichelewe soko likifika watoto wetu wasije wakaachwa jamani tumsikilize huyu baba twende na wakati
Lugha sasa hivi ina market ni kichina
....we hapo juu umechekesha sina mbavu,geshi ritukufu la porish..hiyo kali.
ReplyDelete