Hi Try this one, it is so cool
Open a new Word document and type:
=rand(200,99)
Then press ENTER.
Wait for three seconds and look again...
Note; even Microsoft people cannot explain this one!
Open a new Word document and type:
=rand(200,99)
Then press ENTER.
Wait for three seconds and look again...
Note; even Microsoft people cannot explain this one!
Also do the same for =rand(1,1)
Take care
Take care
Microsoft Word allows you to quickly insert sample text into a document. To do this, type =rand() in the document where you want the text to appear, and then press ENTER.
ReplyDeleteThe inserted sample text appears similar to the following:
The quick brown fox jumps over the lazy dog. The quick brown fox jumps over the lazy dog. The quick brown fox jumps over the lazy dog. The quick brown fox jumps over the lazy dog. The quick brown fox jumps over the lazy dog.¶
sielewi kwa nini inatokea hivyo lakini nakumbuka zamani wakati najifunza computer hiyo sentensi ilikuwa inatumika kuhakiki kama herufi zote zina dispaly vizuri hasa wakati una diagnose printer problems (angalia hiyo sentensi ina herufi zote 26 a-z)
ReplyDeleteNa wewe Misupu wacha ushamba,hayo ni mambo ya programming.Unakuwa kama hujaenda shule.
ReplyDeleteThe rand function
ReplyDeleteThe Microsoft Knowledge Base article How to Insert Sample Text into a Document in Word [212251] explains the use and syntax of the function:
Microsoft Word allows you to quickly insert sample text into a document. To do this, type =rand() in the document where you want the text to appear, and then press ENTER.
The inserted text is that hardy perennial: “The quick brown fox jumps over the lazy dog,” which contains every letter in the English alphabet.
By default, the sample text contains three paragraphs, each containing five sentences. You can control how many paragraphs and sentences appear by adding numbers inside the parentheses, for instance:
=rand(3,4)
The first number is the number of paragraphs, and the second the number of sentences per paragraph. If you omit the second number, you get five sentences in each paragraph. So, for example:
=rand(3,4)
inserts three, four-sentence paragraphs, while:
=rand(10)
inserts ten, five-sentence paragraphs.
The maximum number for either parameter is 200 and may be lower depending on the number of paragraphs and sentences specified. For instance, if you specify 200 paragraphs, then the maximum number of sentences per paragraph you can specify is 99:
=rand(200, 99)
If you specify 200 sentences per paragraph, then the maximum number of paragraphs you can specify is 99.
Admittedly, this function serves a useful purpose for filling a page when you’re designing a template and want to see how it will look with text in it. It’s also easy to see how users can be alarmed and fear this is a virus when someone suggests they try “=rand(200,99),” which quickly blows up into a giant document! (Incidentally, part of the instructions in some versions is to “Make sure there is a space between = and rand and a space between rand and (200,99).” This actually makes no difference: the function works equally well with and without spaces.)
A better method of creating dummy text
Although the rand function is quick and easy, the text it produces is not very natural. All the paragraphs are the same length, and, because every sentence is the same, the lines will tend to break in the same places. The result is that some possible formatting problems may be masked. Another, more useful, possibility, therefore, is to use “Greek“ or “lorem ipsum” text.
Because this kind of dummy text is very commonly used by designers (because it gives a natural look without distracting content), you’ve probably seen examples of it. Microsoft even used it in the Microsoft TrueType Font Assistant (version 1.1) in Windows 3.x. According to the Microsoft Knowledge Base article: What ‘lorem ipsum dolor sit amet’ Means (Q114222):
The phrase “Lorem ipsum dolor sit amet” appears in Microsoft TrueType Font Assistant for each example of the fonts available. This phrase has the appearance of an intelligent Latin idiom. Actually, it’s nonsense .... It's used because the letters involved and the letter spacing in those combinations reveal at their best the weight, design, and other important features of the typeface.
ADIL
www.tztimes.com
Mpakanjia apona!
ReplyDeleteMtoa habari wetu ambaye pia ni rafiki wa karibu wa Mpakanjia, Mheshimiwa John Komba (Mbunge wa Mbinga Mashariki-CCM) alilithibitishia gazeti hili hivi karibuni kwa njia ya simu kuwa, afya ya swahiba wake ameimarika.
“Ninachoweza kukuambia ni kwamba Mpakanjia anaendelea vizuri, hana tatizo na madaktari wamethibitisha hivyo, atakuwepo hospitali kwa uchunguzi zaidi, nadhani ataruhusiwa hivi karibuni,” alisema Komba.
Aliongeza kuwa, tatizo kubwa lililokuwa likimsumbua mfanyabiashara huyo ni msongo wa mawazo, jambo lililomfanya adhoofu afya na kuhitaji uangalizi wa wataalam kazi ambayo imefanywa kwa umakini.
Akielezea uvumi uliozagazwa mtaani siku chache zilizopita kuwa Mpakanjia amefariki Komba alisema, “sielewi nia ya mtu aliyesambaza taarifa hizo, labda niseme ni mwendawazimu ndiye aliyefanya hivyo maana kama ni binadamu asingeshangilia kifo cha mtu”.
Aidha alisema, habari za mtu kufariki lazima zihakikishwe kabla ya kutawanywa, vinginevyo zinaweza kumfanya msambazaji aonekane hana akili mbele ya jamii inayomzunguka kama ilivyotokea.
Habari za kudhoofu afya ya mfanyabiashara huyo zimekuja siku chache tangu Mheshimiwa Amina Chifupa aliyekuwa mkewe kipenzi kufariki dunia, ambapo baadhi ya watu wamedai kuwa Mpakanjia anasumbuliwa na msongo wa mawazo ya kifo cha mwandani wake.
mine doesn't do jack shit.
ReplyDeletekila mtu na kazi yake!...mamii did u know that?
ReplyDeletemmh, hiyo aya ya mwisho hapana. Hakuwa mkewe kipenzi, walitalikiana kabla ya kifo chake. Hayo mawazo ya kumuwaza mtalaka wako hayaniingii akilini!
ReplyDeletePole yake, twamtakia afya njema zaidi na zaidi.
Jamani Mkiambiwa someni ICT mnaona ooh hakuna Mpango.. ooh Sitopata kazi.. Sasa mnaona mnan'gan'gaa macho hapo.. Codes tu hizo msishangae..
ReplyDeleteNyingine hizo Bonyeza hapa zipo kibao online.
ReplyDeleteClick ktk:
Applications
Games
Hardware
Operating Systems
Other
Nashukuru.
© MMVII
Acheni fiksi jamani. Eti Even Microsoft cannot explain...
ReplyDeleteHebu soma maelezo ya Microsoft hapa:
http://support.microsoft.com/kb/212251
wee anon wa 8:38 unataka watu wote tuwe tulisoma ICT?...kuna different lines of work and i assume you are aware of that...hata albert einstein mwenyewe kuna baadhi ya mambo alikuwa hajui...allow some to wonder
ReplyDelete