

Ule usemi usemao kuwa mcheza kwao utunzwa leo ulidhihirika kuwa batili baada ya timu ya Wabongo wa Houston (pichani chini) kuicharaza timu ya TanzAtl (pichani juu) 5-3.
Mbali yakucheza katika uwanja wa nyumbani Atl walijikuta wakiloa bao 3 za haraka haraka zilizopachikwa kimianina mshambuliji hatari Peter B "Mwaikimba".(Pichaniakishangilia goli).
Atl walizinduka na kuanza kuutawala mchezo kuanzi dk ya 30 kipindi cha kwanza hadi mwisho wa mchezo na kufanikiwa kuchomoa bao tatu zilizowekwa kimiani na Kombo, Malik na Liga. Kusema kweli mchezo ulikuwa wa kuvutia na kusisimua.
Jumapili hii timu ya kikapu ya Houston itakwaana na timu ya kikapu ya TanzAtl katika uwanja wa Gwinnet Park.
Habari hizi zimeletwa kwenu na mdau Mark D.
Michu mbona ATL hujatuweka? Tumevaa green leo babu au ulidhani tumechukua timu ya MLS? Noo ndo sisi BABU!!
ReplyDeleteTanzAtl in (Green and White) and Houston in (white and black)
ReplyDeleteooooooh bora wamefungwa hao atl maana wana midomo mirefu sana.
ReplyDeleteNingelifurahi sana kama ningepada MAJINA ya wachezaji wote walioko kwenye picha, kuna washikaji nimewafananisha mfano, Wincheslaus Mwesiga na Asumbilwa Rashid. Washikaji, je, ni kweli ni nyie ndo mko kwenye hiyo picha au?
ReplyDeletenakuona andrew sanga.
ReplyDeleteSABAS MNUBI kama kawaida yako ulifanya kweli na kuiwezesha h-town kuwabwaga hao washamba wa a-town...much love from kansas city
ReplyDelete.....mbona haukunipitia twende wote? hamna noma kwani THANKSGIVIN nipo mitaa ya beechnut and westheimer kama kawa
Kwa waliomba majina.
ReplyDeleteTanzAtl FC:
Standing: Hassan, Fredy Mburushi, Imma, Amani, Kombo(Former TZ U-20), Kassim na Said Chambuso.
Down: Liga Liganga, Mogoha, Hadji Helper, Abou Dimosso, Moses "Moze", Dan na Julius.
Houston:
Chini:Denis Mrema, Amasha, Peter Bategeki " Mwaikimba", Jina linatafutwa, Andrew Sanga, Jina linatafutwa.
Juu: Gunner, Teacher, Dullah, Tibaigana, Andrew na Daktari wa timu.
Hivi tanzatl.org ilifia wapi?Watu wa atl tuelezeni mlikula pesa zetu ama vipi? Ile site ilikuwa powa sana.
ReplyDeleteby mbigiri
hivi mpira mlicheza dakika ngapi? Kama sikosei mlicheza kama dakika 60 sio 90, watu wenyewe ni mitambi tu.Hiyo mibaga toka mac d's haiendani na boli washikaji
ReplyDeleteemmanuel msiba toa e-mail yako hapa tukupige kisindano, duh long time toka mkwawa mshikaji nasikia upo na malise ndonde mpe hi halafu mwambie kinywaji taratibu maana tunasikia jamaa anashinda breweries ya huko.
ReplyDeletePicha zaidi za tukio nenda:
ReplyDeletehttp://tanzatlfc.hi5.com . Thank you!!
hiyo ni difference squad,mwaka huu wamekuja na mganga wao wa kienyeji(kamati ya ufundi) anaitwa mzee wa Europe.
ReplyDeleteAtl ni MDEBWEDO
ReplyDeletePoleni sana atl kwa kufungwa ongeleni houston kwa umoja mliokuwanao.Tunaomba matokeo na picha za basket pia ,kwaani nasikia houston walikuwa wakionyecha kikapu cha hali ya juu wakiongoza na muuwaji wa soko na mchezaji bora wa kikapu miaka ya 90,s peter bategeki.sijui kama kuna hukweli manake nasikia houston walikuwa wamependeza na jezi na atl waligoma kuvaa jezi za pinki zilizofadhiliwa na houston.
ReplyDeleteMambo ya tanzatl website yalikuwa magumu maana kila hosting company ametufukuza kwa ajili ya kuelemea server zao. I guess itajaribiwa kwa mara ya mwisho tena 2008, maana shughuli nyingi.
ReplyDelete