msanii henry galinoma ameshakamilisha kurekodi cd yake mpya na Mpangilio wa nyimbo katika CD ni kama ifuatavyo;


1. SAMAHANI.

2.MWAMY.

3. SIASA.

4. TUTURA TUTURA.

5. KWANINI?

6. UMRI MDOGO.

7. MASHUJAA.

8. MAPENZI SIO UCHAWI.

9. NANI KAMA MAMA?

10. MAMA YO YO.


Nyimbo ya 'Samahani' ndio iliobeba jina album na sasa yuko bize katika kutengeneza clip n mambo yakikamilika atatufahamisha. Nimesikiliza cd yake kwa kweli jamaa anatisha. ukitaka nakala wasiliana naye


Henry Galinoma
Jina la kisanii : Buti jiwe
Address : Tulpen straat 13
9521 CX
Nieuw Buinen.
Nederland.
telefhone: 0031- 641-91-5522




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. hongera kaka galinoma,kwani hiyo albamu tulikuwa tunaisubiria tangi 2002,na sasa imeivaa.si mchezo.

    ReplyDelete
  2. enzi yake alikuwa mwanariadha hodari wa mbio fupi kumbuka "opresheni bayi" ambayo sijui imeishia wapi

    ReplyDelete
  3. Hongera sana bro galinoma kwani ulitunyima raha kwa muda mrefu nafikiri sasa umetumbuka mashabiki wako na tunaisubili kwa hamu kubwa hii album ingine sokoni tuweze kujivinjari nayo.

    ReplyDelete
  4. Bwana Galinoma, tulikua tunahamu kubwa ya kusikiliza nyimbo zako, lakini hatujui jinsi ya kuzipata,
    vipi mbona azipigwi kwenye radio za hapa nyumbani, ulikwisha walete au ndio wewe na radio za ulaya, unatuponda wabongo wenzia.
    Fanya juudi tuzisikie.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...