Home
Unlabelled
enzi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
NAWAONA VIJANA WANGU KAMA DANIEL E. MSHANA MWENYE AFRO (WANNE KUTOKA KUSHOTO MSTARI WA PILI NYUMA).
ReplyDeleteDuuuuuuuuu fani zingine bwana,yaani hapo sijui niseme wanawake ilikuwa asalimi ngapi,maana namuona mmoja tu.
ReplyDeleteKAka Michu kwa jinsi ninavyoi-mind fani yetu katika hiyo picha inanikumbusha jamaa aliyekaa wa kwanza upande wa kushoto wa picha anaitwa SIMBA NYAMAUME NYAUDINDIRI NYAMAMBORO FELIX. Huyo anafanya kazi RTD na ni kwa kabila lake ni MPARE, sijui kama bado ana-survive kwani jamaa anapenda sana ulabu. Give them hi, there are my brothers ktk fani.
ReplyDeleteMbona hawa watu wanaonekana wana swiha nzuri ukilinganisha na watu wa siku hizi? Wafanya kazi wa siku hizi wanaonekaka wamechoka. kulikoni?
ReplyDeleteYanga 2 - Polisi Dodoma 0
ReplyDeleteWewe unayesema unaona mwanamke mmoja hapo si kweli. Kwani wapo watatu. Mmoja kaketi mstari wa mbele na wengine wapo beneti mstari wa pili. Ilikuwa rahisi kutofautisha mwanamme na mwanamke enzi hizo, lakini siku hizi "WANAUME kama MABINTI". Nawakilisha.
Je birthday party ya BLOG yetu itaendelea kusherekewa baada ya msiba????????
...mfumo wa siasa ulikuwa umewalimit sana...GOVERNED...chakubanga tu ndio kidoogo alikuwa anasemasema ovyo...wasdancing to the masters tunes...now it is a different world
ReplyDeleteEbwana michuzi hivi mwandishi aliyeketi kiti cha kwanza kutoka kushoto, mstari wa pili toka mbele ndo george seyayi aliyewahi kuwa foreign editor pale shihata? Hivi ilikuwa kwenye tukio gani hii picha?
ReplyDeleteUnaona miaka hiyo walikua wana vaa nguo nzuri kuonyesha proffessional yao sio ya mchezo. Sasa hivi wengi wako wako tu kwanza mwone mwanadada alivyovyaa nguo ya heshima.
ReplyDeleteHata akikupa habari utaziamini
Namtambua Winston Makamba (mwenye nguo nyeusi na miwani) upande wa kulia karibu na huyo mwanamama!
ReplyDeletemi nimemtambua ripota benjamini mkapa tu hapo kati..teh teh teh teh teh !
ReplyDeletekwa lugha huyo ni noma...