mdau una khabari kwamba hivi tunavyoongea kuna mrembo aneyewakilisha bongo kwenye mashindano makubwa ya kimataifa? basi kama umepitwa ni kwamba dada huyo anaitwa jamila munisi na khabari zake kibao na masnepu yako hapa http://www.missosology.org/ pamoja na hapa http://www.missosology.org/mi07/tanzania.html hivyo usijeshangaa ukiambiwa lolote endapo atafanya vyema kama flaviana matata.jamila atashiriki mashindano ya miss international huko japan ambako fainali zake ni hapo octoba 15

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. dada kapendeza sana ,lakini hawa kama jamila wapo wengi sana kwetu kule mchinga sema tu wanakosa matunzo mema

    ReplyDelete
  2. dada kapendeza sana ,sasa mbona hajatueleza yeye ni mwakilishi wa category gani, katuambia tu mashindano yapo japani

    ReplyDelete
  3. naomba kufahamishwa kuhusu UMISS,,mana ninatatizwa na huku *KUWAKILISHWA* anakoongelea michuzi??????

    ReplyDelete
  4. sasa kaka michu nimechanganyikiwa kidogo,najua kuna miss Tz,Universe na huyu atoka wapi tena na watu gani wana msponsor?na i have always being very concern na haya mambo ya mamiss na huyu sijamsikia

    ReplyDelete
  5. Si mchezo!Yuko mwake mtoto!Kila raheli.

    ReplyDelete
  6. Wanatoka wapi hawa warembo kila leo?
    Kumbe Tanzania tumeficha warembo wengi, ila ninachomshawishi aondoe hayo marasta

    ReplyDelete
  7. Mbona anapiga MUGONGO MUGONGO kulikoni?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...