
hakika mtangazaji nguli wa idhaa ya kiswahili sauti ya ujeremani abuobakar liongo ambaye yuko bongo likizo alikuwa na usongo sana na msondo ngoma kiasi cha kushindwa kujizuia na kupanda jukwaani klabu ya amana usiku huu kumpongeza papaa said mabera kwa umahiri wake wa kuvugumisha mpini. kulia ni hassan tx moshi william


WEE...huu ndio uzalendo. Sio watu wengine wakitoka nje wanajifanya msondo ndio nini!...Waneoneshe kaka aboubakar kwaba wewe sio "stuck up" man.
ReplyDelete