wanja letu la zamani la neshno linakaribia kuanza kutumiwa kufuatia kumalizika kazi ya kutandika nyasi bandia. jana tff imetangaza kwamba wamepanga uanze kutumika kwenye mzunguko wa pili wa ligi kuu inayoendelea ambapo klabu za dar zitautumia kama wa nyumbani

mchanga na aina ya vipira vilivyoagizwa toka nje na kuwekwa juu ya wanja la neshno kufanya nyasi bandia zikae na kutumika vizuri. inasemekana nyasi hizo bandia zitadumu kwa miaka 15

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. mnajitahidi kutulazimisha turudi,na picha za bongo.Well keep it up,may be it will work.I can't leave totos in miami man

    ReplyDelete
  2. Nyasi za kawaida zinadumu milele..kwanini tunatumia hizi nyasi bandia wakati mungu ametujalia nyasi kibao? Miaka 15 halafu tunanunua za mamilioni tena? Huu ni ujinga mtupu.

    ReplyDelete
  3. Hii Ndio Bongo Land Mchanga wenye DHAHABU unapelekwa Njee ya nchi,Nyasi bandia na mchanga wake usio na Faida tunauziwa Bongo,Ha hahahahahaha Wajinga ndio waliwao Kumekuchaaaaaaa

    ReplyDelete
  4. sasa hapo inabidi wafadhili wanunue buti za kchezea kwenye hilo turf.Gharama juu ya gharama

    ReplyDelete
  5. Nauliza huu mchanga una vitu gani hadi utolewe nje? kwani sisi hatuna mchanga?mmh!!! hehehe jamani kaazi ipo mbona

    ReplyDelete
  6. anon wa October 3, 2007 11:05:00 AM EAT

    totoz zipo huku we si unaona tuna mamiss mpaka wa kiasia"patel ni bomba sana wewe unakula "vikongwe" huko miami mpaka lini?utazeeka?we haya we!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...