Ndugu wapendwa,Sasa radio yenu ya TIMES FM 100.5 imewaletea kipindimaalumu kabisa LIVE from USA kiitwacho Sunday NiteSlow Jams.
Kipindi hiki kitarushwa kila siku za Jumapili kuanzia saa 2:00 (8pm) hadi 6:00 (12 Midnight) USIKU hivyo mnaombwa msikilize kipindi hiki mashuhuri kabisa kutoka huko USA.
Kipindi kitapiga nyimbo laini zikiambatana na salamuORAL EXPRESSIONS au DEDICATIONS hivyo tumia nafasi hiyo kumkumbuka umpendaye popote pale DUNIANI.
pigasimu sasa +1 877 2090631 kutuma salamu zako aukuchagua nyimbo au Ingia katika WEB www.slowjams.com
NA HAPO utatuma salamu zako ambazo zitasikika kote DUNIANI na hapa Nyumbani kupitia radio yako yenye MGUSO WA JAMII " TIMES FM 100.5" iliyopo Dar essalaam.Anza sasa kutuma salamu na tafadhari watumie wengine ujumbe huu ili nao wafaidi kusikiliza kipindi hiki.
Mgori JT
Senior Marketing Officer
Sunday Nite Slow Jams-Tanzania
0773 223152,
0784 291697
kuna vitumbua kwenye picha
ReplyDeleteE bwana ee je mkate wa kumimina upo? au kalimati poa tu.
ReplyDelete