ujenzi wa jukwaa la kisasa la kubeba watazamaji takriban 500 unaendelea katika makumbusho ya taifa na jumba la utamaduni. pembeni yake upande wa kulia kutakuwa na studio za kurekodia muziki za kisasa. hii sehemu pamoja na mgahawa na ukumbi wa michezo kwa watoto vinategemewa kukamilika tayari kwa matumizi mwezi desemba mwakani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hilo jukwaa nackia ni km lile la SUNCITY south africa!!! heheheheeeelo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...