Salamu nyingi kwenu,
Mr.Michuzi na wapenzi wote wa blogspot hii. Salamu za X-mas kutoka hapa Cesena-Italy, tunawasalimu sana na kuwatakieni heri nyingi za sikukuu hii, ni sisi marafiki Baraka, Filippo na Gloria. Salamu hizi ziwafikieni huko kwetu Bongo na sehemu zote.Sikukuu njema na yenye utulivu.
UJUMBE: Tusherekee vizuri pamoja! Salamu sana sanaaaa....Tanzania!!!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Brother Baraka si unaona kuwa mola ni mkuu wa mataifa yote?angalau hajakuacha ukasheherekea x-mass peke yako kakupa watishi ujisikie nyumbani,heri za krisimasi na mwaka mpya,ciao,ciao.

    ReplyDelete
  2. Brother Baraka si unaona kuwa mola ni mkuu wa mataifa yote?angalau hajakuacha ukasheherekea x-mass peke yako kakupa watishi ujisikie nyumbani,heri za krisimasi na mwaka mpya,ciao,ciao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...