Habari kwa wadau wote wa Blog hii. Mimi mdau wa Lipokela, Songea, nawatakia heri ya Noël na furaha ya Mwaka Mpya 2008 wadau wote. Pia nawapongeza wapenzi wa Real Madrid kwa ushindi mnono usiku wa leo pale Nou Camp baada ya kuwatungua Barca, Hala Madrid.
ni mimi mdau Tengeneza
"Be Strong and of Good Courage"


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Penye haba bwana wewe
    bombii hii nyumbi hii
    unanikumbusha sana songea.pale bomba mbili.Mery Christmas.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...