timu ya taifa ya wanawake twiga staaz leo imeibenjua eritre bao 1-0 uwanja wa neshno katika kusaka tiketi ya kucheza ubingwa wa wanawake barani afrika. mwapewa mtumwa alipiga shuti la mita 25 dakika chache kabla ya mapumziko. sasa watapambana na cameroun katika mchezo unaofuata wiki ya pili ya mwezi wa februari mwakani . tukiiondoa cameroun tunatinga fainali

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mlizidi kuosha vinywa.Ohh Bwawa la maini, ohh Torres!! leo bwawa la maini limegeuka bwawa la mawashiwashi.Wacheni mdomo nyie bado cha mtoto kwa Man.Zifungeni hivyo vitimu saizi yenu.Na bado mtakuja Old Trafford tuwachape tena.

    ReplyDelete
  2. Kwa Man Liverpool ni kama kumsukuma mlevi.Michuzi weka picha basi.Au bwawa la maini likiloa basi unateremsha bendera nusu mlingoti??Nyie bado sana wacheni kutamba mnapofunga vitimu dhaifu.

    ReplyDelete
  3. Anfield ni home ground yetu ya pili sisi Man united.Liverpool watachacharika lakini kamba ni yao tu.

    ReplyDelete
  4. Michu umesahau kwamba mtoto yake ni nepi siku zote?. Ulikuwa unaifananisha Man U na Marseille, hembu pitia French Ligue 1 uone wako nafasi ya ngapi. Nyie hata tuchezee wapi siku zote ni wetu huwa hatuwapigi nyingi sana kamoja tu kanatosha kuwapa maumivu. Kimyaaaaaaa! Bwawa la maini limekauka ghafla. Pole ila next time usichonge kihiiiiiivyo!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...