asubuhi nilipita kwa bitebo kufanya mambozzz. unaambiwa bush mwenyewe atazimia. ila kwenye suti kuna zali, jamaa ninayemuazimaga ana harusi, kaivaa mwenyewe. noma!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. vaa kanzu, si bola kufananisha juu na chini?

    ReplyDelete
  2. Ukitaka utoke mchicha zaidi waambie wakufanyie scrubbing halafu wanja na lipstick,mpaka Bush aipatepate,manake lazima watu waewe sopusopu

    ReplyDelete
  3. Suti ya nini na wewe ni mpiga picha!

    ReplyDelete
  4. oya utawahi kwali kupiga picha wakati bush ameshatua we ndio unanyoa hapo kwa bitebo.halahala kaka tusikose picha

    ReplyDelete
  5. kaka sipati picha wala benefit na wabeba box wakija kutoka kwenye mihangaiko hasira zote watamalizia hapa,kwani wanatabia ya kujifanya wasafi wakati wao ni wachafu kichizi kwenye hizo council flat zao.

    ReplyDelete
  6. michu "umi'nifurahisha" sana,kukosa suti ni soo sio zali hahahaaaa,zali maana yake bahati aiseee kumbe hata ukikaa mjini waweza kuwa mshamba hahaaaa teh

    ReplyDelete
  7. Sawa kaka kupunguza muhimu ila hiyo chini hiyo suti ni bora ungekula kanzu. Najua ina ile business suti yako ambayo ni nyeusi na ndani unakula sharti jeupe na tai nyekundu au blue kaka. Hako kakaunda kameanza kukubana kufanya mazoezi ni bora ili hicho kitambi kipungue. Haya kaka fumbo Nyumba yangu haina mlango ......

    ReplyDelete
  8. Michizi wacha uhindi. Hiyo PUA si ununue mwenyewe mashine ijichokonoage? Kwanza unahitaji kujifeel mwenyewe pale unapojinyoa pua sio mtu mwingine.
    Bora hata mavu.. weza yapelekwa sallon. Sio PUA men!

    ReplyDelete
  9. Piga hata kaunda suit... km huna basi hata msuli... ila msuli utafukuzwa,watajua kuna bomu...

    ReplyDelete
  10. Michuzi acha ushamba.
    Si ungevaa ile Ze Fulanazzzzzzz ya ngazingazi tu?
    Tosha kabisa ile mwanangu

    ReplyDelete
  11. Michuzi, Hii ya Bitebo sasa TUPUMZISHE kidogo. Kila baada ya wiki Bitebooo, Bitebooo! una hisa nini hapo kwa Bitebo?? Give us a break, Maan!

    ReplyDelete
  12. Kweli Michu lazima atakuwa na Hisa Hapo Richmond ...aaaaah sorry Bitebo!! Haishi kuitangaza Bloguni! au labda ananyolewa bureeeee...akitangaza mara moja ananyolewa bure mara moja!!!akifika hapo anawauliza..oyaa si mmeona nilivyowarusha??? sasa mnashangaa nini???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...