
----------------------------------------
Kaka, Mambo vipi.
Kuna picha katika blog yako ikiwa na maelezo ya kuwa Kijitonyama Stars ni kiboko katika mechi za Mchangani lakini nakuabalisha ya kuwa wiki mbili zilizopita timu hiyo ilifungwa na timu ya Mlalakuwa Academia katika faianali iliyofayika katika uwanja wa Mwenge kwa kuhudhuriwa na mbuge wa Kinondoni Idd Azzan
Kaka ilikuwa ni aibu kwao kwani walipelekwa mchaka mcahaka sana Muulize Majuto Omary ambaye ni mfadhili wa timu hiyo ya Kijitonyama Stars
Regards
Baraka Karashani
Nakuona bwana evans
ReplyDeleteHilda
DAAAA..NAKUONA MWALAMI UMETULIA M2 WANGU...KWANI ULIKUWA UNATISHA UKIWA GOLINI,,WAPE HI AKINA SHABANI, NA SAID MIOGO...HEHHE
ReplyDeleteSUNDAY KASSERA
hapana bwana kwaw yeyote aliye upload hii hicha ni uongo kwani week 2 zilizopita katika uwanja wa mwenge shooting tulishuhudia kijitonyama starz chini ya hemed ngwesa wakipigwa bao katika final ya kombe la jezi na mlalakuwa.kwa hiyo hilo ni fagio tu hawa watoto mpira hawajui kabisa ...kwaslee
ReplyDeleteANONY WA 3 KWELI UNATISHA...YAANI ULIVYO CHANGANYA LUGHA....(kwani week 2 zilizopita) HII SENTENSI YAKO NIMEIKUBALI....
ReplyDeleteMADAU
MIMI
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm manyanya kijana wa ushirika Moshi
ReplyDelete