pamoja na utambarare wake dar ina makwangua anga kama manne ama matano ayanayoonekana hapo pichani na refu kuliko yote halijaenda juu zaidi ya ghorofa 20.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mimi niko vijijini mashimo kuinama sehemu ambazo hata dudu prufu (kwa wanaozikumbuka)nikiona hayo majengo roho inaleta raha. Ila niambieni mshamba mie: Vipi usalama iwapo kutatokea moto? Owners na wakazi wanajua nini cha kufanya? Je, zima moto wetu wana utaalamu na vifaa vinavyolingana na urefu wa majengo hayo?
    Nisahihisheni. Blackmpingo

    ReplyDelete
  2. heheh magorofa siyo maendeleo, maji yapo? umeme upo?

    ReplyDelete
  3. Sahihisho michuzi. Jengo linaloonekana upande wa kushoto (ex-mafuta house now Benjamin Mkapa Towers) lina ghorofa 21. Kwa hiyo Bongo kiwango cha ghorofa 20 kimeshapitwa. Mdau

    ReplyDelete
  4. Bado tuna safari ndefu!Hayo maghorofa yanatakiwa yasambae hadi mbuga zote pale mbele,ghorofa tupu na sisi tuwe angalau na jiji moja la kujivunia katika karne hii!Kidogo sasa ukiingia DAR unaipata harufu kwamba umetoka Tanganyika sasa unaingia Tanzania ya Dar es salaam!Vipi maji ya kuoga yapo jamani?Au tuje na madumu yetu toka Bara?Maana jasho la DAR paka kaoza!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...