A-salaam aleikum, Kaka Michuzi,

na wadau wote popote milpo.


Nimekuwa mchangiaji mkubwa katika maswali na matukio tofauti yanayotokea nchini kwetu na duniani kwa ujumla, ila kwa masikitiko makubwa napenda kutoa kero zangu kwa wenzangu ambao pia ni wasomaji na wachangiaji katika hii blog. Ingawa baadhi wanakuwa ni waungwana na wenye busara, asilimia kubwa ya wachangiaji ni watu waliojaa jazba na hasira zisizoeleweka.


Mimi ni mwalimu kitaaluma, na hizi tabia na hisia naweza kufananisha na za wanafunzi wa darasa la kwanza.

Nchimbi aliligusia swala la ushirikiano na kwa bahati mbaya Wengi walimtupia maneno yasiyo na maana na kumuita majina yasiyostahili. Ukweli ni kwamba hatuna upendo wala ushirikiano. Chuki na majungu yanatududumiza kimaendeleo.
Sina malengo ya kutaka MWANAMME (Ninaye Mchumba. Langu ni tofauti na la Manka na Jovinata. ingawa nawapaongeza kutokana na ujasiri wao) ila nafungua jarida la mjadala linalohusu maendeleo.

Nikiyarejea maneno ya Nchimbi, ni dhahiri kwamba ndugu zetu, Wakenya, Wanigeria hata na Wahindi ingawa wana udhaifu wao, wametupita kimaendeleo kutokana na ushirikiano na Upendo walionao tofauti na sisi watanzania.
Hapa Canada, Wakenya ni baadhi ya Waafrika wachache wenye nafasi nzuri za kikazi. Wengi wetu watanzania ni wasanii (matapeli), wanavijiwe, vibarua, na wapenda starehe. Vijana wetu wa kitanzania wamekuwa aibu tupu, kwa maana hiyo sikuwa na budi kama mwanamke wa kitanzania kuwakosoa.

Nilikuwepo Tanzania wakati Richard alipokuwa akiwania taji la BBA-2. Jamii ilipagawa na kumuona kama shujaa. Wengine walijigundisha kwenye luninga ili wamuone shujaa wao anashinda, lakini mtu mwenye upeo wa kifikra hakuona ushujaa wa Richard, ukizingatia kwamba ni mtu ambaye angeheshimu ndoa yake badala ya kuzini na mshiriki mwenza katika jumba la BBA. Je hawa ndio watu wa kuigwa katika jamii ya Kitanzania?

Mahojiano aliyofanyiwa kaka yetu (jina Kapuni), na Michuzi yalijaa maneno ya busara na hekima kwa yeyote aliyechukua muda wake kuyasoma, lakini wengi wakamuona kama mwanasiasa anayejisafishia njia ya kwenda bungeni bila kutafakari ya kwamba watu kama hawa, kama kweli anayatenda anayoyatenda kutoka kwenye moyo wake. Ni watu wachache sana hasa ukizingatia umri wake. Nadhani aliyeyafanya haya mahojiano alifanya jambo la maana sana kutupa vijana tulioelemika changamoto ili tupiganie mabadiliko nchini Tanzania. Msidhanie kwamba najipendekeza kwake, au kumpigia debe, aliyosema ni ukweli mtupu.
Mtanihukumu, na kunikashifu, ndiyo nitakubali maneno makali yenye jazba lakini ukweli ni kwamba, ili tundelee, ni lazima tubadili tabia zetu za uchoyo, wivu na majungu.
Kama mwanamke wa Kitanzania ni swala la aibu kuwasagia vijana wetu, ila muda umefika wa ukweli kuitwa ukweli. It would be prudent if we could consider issues on the positive side rather than dwelling on the negativity.
Mungu IBARIKI Tanzania.

Kwa Ujasiri nipo tayari kuyakubali maoni yenu; Naomba mtongozaji yeyote asiniandikie

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 104 mpaka sasa

  1. WEEE Mwajuma sijui, huna mpango wowote una mtu sio,lakini naona hapa unatafuta bwana.maoni yako mbona yamebase kwa wabongo wanaume tuu, mbona husemi wanawake walioko huku majuu ambao nao wengi wao ni kufanya umalaya na kujiuza kwa west africans???Kwa ufahamisho tuu wabongo wengi huku sio vibarua au sijui nini WENGI WETU HUKU NI MA STREET FIGHTERS umenipata hapo na midolla tunayo pia na bongo tunajenga vilevile.FYI ungeweka na wewe kama Manka au Jovinata sio unazunguka zunguka kutaka kutongozwa.
    Cha chandu - UK

    ReplyDelete
  2. Mdogo wangu Mwajuma hongera sana na uliyoyasema mimi nakuunga kichwa asilimia 150%, mimi pia ni mdau mkubwa wa hii blog yetu na kwa kweli huwa nasikitishwa sana na baadhi ya maoni humu ndani hususan ya kutukanana na mtu hata humjui kumvunjia heshima online, na hii ndio tabia na hulka zetu wabongo, tuna CHUKI binafsi na ndio mana hatuendelei na hatutaendelea. Basi nakwambia hapa kaa sawa sawa ngoja mitusi na kejeli watakazokumwagia hao wajaa lana na mafidhuli , lakini kwa kweli ukweli umewapa na kama wana utu watajitafakari kabla ya kujibu.Hongera mpenzi wa ujasiri uliouonesha. mdau Mam.

    ReplyDelete
  3. Mwaj mtto wa mwaka 78 na wewe unataka kutuletea dharau humu unatuweka kwenye vungu kama dagaa na gauni lako la valentine. hivi huyo uliyenae ni mjamaica eh mtu wa msuba ndio maana unakandia kaka zako atii jina kapuni yaani nyie kusikia jamaa yuko wall street ndio kila mtu mdada anakaa... mnaonesha jinsi gani mlivyo milupo. Usidharau watu katika open furums kama hizi atii mtongozajji yaani umeona watu wanakuja online kutongoza na hawa tuliona hapa broadway tuwapekele wapi mwalimu wewe wa vidudu au? Alafu picha ya Emmy jina mwaj???kulikoni?

    ReplyDelete
  4. Inatia moyo kuwa ana akina dada wenye ujasiri wa kiasi hiki.
    Kila la heri dadaa Message Delivered nahisi imefika!
    Uzuri ni kwamba wachongaji hawakakawii kuzoea Mbona Chibiriki kazoeleka siku hizi na anakamua tuu!

    ReplyDelete
  5. Dada hongela sana mimi pia nashangaa sana watanzania tuna fitina sana na wala atuna maendeleo huku majuu hasa kaka zetu wanatia haibu sana wamekuwa wambea kama wanawake tena hafazali na sisi kinadada tunajitaidi sana.Hata hapa denmark ni walewaliokuja kusoma wanamaendeleo lakini wamakalatasi aibu tupu.

    ReplyDelete
  6. Nimekukubali kwa stle uliyotoka nayo! Kweli dada we mbunifu!

    ReplyDelete
  7. I know you bored baby gal with all that lonelyself. Go ahead and get you some blog time I know you gonna have much to read and laugh about. It seems to me that this blog is of no more significant than just a teenage blog with nothing constructive to share about. Brother Michuzi have another blog dedicated to these teenagers with their teenage stuff.

    ReplyDelete
  8. Hi Mkuu wa wilaya ya Tegeta,
    Mwalimu tunashukuru kwa ushauri wako,Ila inaonekana ni walewale tu ila unakuja kwa style nyingine ya aina yake ya kudai una mchumba kumbe hamna kitu,,"sitaki nataka" hii ni kawaida ya walimu huwa wana kitu kinahitwa "ahiba"...!!.Umewafagilia wakina Mashaka,Nchimbi na kutukandia sie...madamu umewapa email watakucheck .Mhhn uzuri wako kwakweli siwezi kukulinganisha na dada yetu Waridi,(Miss blog)pamoja na kulamba kipodozi lakini baaaado kabisa labda jaribu natural kama ya waridi waweza kutoka...!!!
    Baba Richard,
    USA.

    ReplyDelete
  9. Pole da mwaJ manake saizi,box ndo zimechanganyia..ngoja wenyewe wapate break ya dkk 10 tu utajuta..
    Anyway, hongera kwa ujasiri.

    ReplyDelete
  10. we binti hapo si montreal hapo ni bongo usitudanganye huoni aibu kwa tunaokujua?????????????acha matata

    ReplyDelete
  11. Hongera dada Mwajuma kwa mawazo yako mazuri, tatizo we are (sic)' very sick, really sick maana asikudanganye mtu huu USENENE ni ugonjwa mbaya sana, lakini unaweza kutibika, tunachohitaji ni tiba, na ikitokea mgonjwa mmoja mwenye kupenda matusi akatibiwa akapona, basi wengine nao watapona maana huu ni ugonjwa unaoambukiza.

    Kingine ni ulimbukeni tulio nao na ubinafsi na kukosa uzalendo, msikie Mkenya anavyisifia nchi yake akiwa nje utafiki si wale tunaowacheka hawana sjui hicho tunajidai sisi tunacho kumbe sisi ndio masikini wa kutupwa masikini wa hali, mali, mpaka nafsi. Masikini wa roho, lakini hao wenzetu wanaosaidiana ni matajiri wa roho na nafsi na kinawasaidia kuwa matajiri wa mali na hali. Nafsi zetu chafu zinapenda kusengenya na kuona mwingine akipata tabu we are evil! Hasa hiki kizazi hiki, sijui kimelaaniwa na nani. Yaani mtu akiona picha kama hakusengenya basi atatukana hata kama mtu ana umri wa kumzidi, kizazi kimeoza kabisa, kinahitaji kusafishwa kama kidonda, ili kuzuia kansa isisambae mwili mzima na kunusuru mguu kukatwa!

    ReplyDelete
  12. Mwajuma mzima dada yangu nina swali mmoja lakini unamjua dada mmoja anaitwa LINDA sio haya basi sina neno ni hayo tu .

    ReplyDelete
  13. Haya Mwajuma, tumeshakuona, na gauni lako la Valentine... hata sisi wengine hatuna haja ya kukutongoza, na sisi tuna wenza wetu wa NGUVU tu....

    ReplyDelete
  14. Wacha hizo we mama mwenye mtoto mwenyejina la Ilda. Kama unafikiri wa Kenya ni bora kuliko Tz huo ni mtazamo wako na siee hatulazimiki kuufahamu. Pia fahamu wazi UCHUMBA SI NDOA. NA AISHIE KWA UCHUMBA NI MZINIFU KAMA WALE WASIO NA WACHUMBA UNAOWAHUKUMU KUWA NI WENYE TABIA MBAYA.JIESHIMU NASI TUTAKUHESHIMU NA USHINDWE KATIKA JINAMIZI LA KUPENDA UGOMVI NA WATU.

    ReplyDelete
  15. Mbona mimi sikupati wazo lako haswa ni nn? Zaidi ya kujihami kabla ya kushambuliwa!! Mimi ni machinga, kwa uzoefu wangu, nia yako ni hiyo unayojihami nayo kabla hujashambuliwa!!!!!Kweli mama, Biashara Matangazo!!!!

    ReplyDelete
  16. Naungana na dada huyu 100% watanzania tuanze kuona thamani ya wenzetu. Msimtusi bali anasema kweli, watu wengi walokuepo ughaibuni wamebadilika sana. Tena nakumbuka yule kaka aliokua akifanya survey kuhusu urudi nyumbani na wale wengi walosema hawawezi rudi sababu ya matatizo ya nyumbani, ukiangalia wamekulia kwenye matatizo hayo, lkn dharau nyingi mno...tuacheni majigambo jamani eh.

    ReplyDelete
  17. U have made some good points there dada, i hope this time haters hawataanza kuandika pumba umu ndani nakuanza kukutukana. I just hope some people see sense and realise kuendelea kwa jamii yetu ni kwa kupeana points za maana sio kukandamizana.

    ReplyDelete
  18. Naomba usinitupe kapuni Bro Misupu!

    Mada hii imekwenda shule imejaa mbolea ila ni lazima mwandishi ajue kuwa wa tanzania tuna upendo zaidi ya hao aliowataja! kwani kama watani zetu ni wabaguzi wa kikabila, wanajeria wasanii na wahindi wana matabaka yao kulingana na "caste".ukitaka zaidi tembelea nchi zao uone.
    Kuhusu uchu wa maendeleo unatofautiana kulinga na sababu nyingi mojawapo ni mfumo wa siasa,elimu n.k.(kwa leo ni haya nitajaribu kuyaeleza).siasa zetu
    toka enzi zile za mwl J.K, yaani ujamaa;zimetulemaza kwa kiasi fulani. Tu wategemezi mno, ni aibu hata sirikali bado 49% twategemea hisani za kichaka na wengineo;Je tutafika;watani wao wategemea 2%.utegemezi huu unatufanya tuwe vilaza;wapiga majungu; watu wa kulidhika n.k. hapo nakubaliana na mtoa mada! vingine NO NO...Utegemezi umesabisha wengi Wa TZ kuwa maskini na kushindwa kupata elimu. kwani hata shule zilikuwa chache TZ, lakini nchi ulizotaja zilisha piga bao siku nyingi!
    siasa zao ni za kibepari; kila mtu anaishi kwa jasho lake no dependence...OK! hii imesababisha kuwa kuna kuchakarika sana kwa wananchi..No time to waste; ndio maana unawaona wapo vivyo unavyosema wachapa kazi! nakubaliana naye kwa hili!
    ......nimelizia hapa nitarudi tena ngoja nikale BOOK!
    Kikubwa tubadilike kwa kuiga watu wengine ila inaitaji kutoa damu kwani ni kufanya kazi kufa kupona!kama enzi zile za kilimo cha kufa na kupona!!

    ReplyDelete
  19. ONGERA !!!! NADHANI WEWE NI MZARAMO KWA KABILA , MAANA MAJINA KAMA HAYA HUWA WANAPEWA KUKU WA KIENYEJI KULE MSANGA. UMEPATA ZALI LA KUFIKA MTONI BASI UNAJIDAI WEWE NDIO MJUAJI, TUNAJUA LENGO LILIKUWA KUANIKA HICHO KIPICHA, DESIGN UMECHAGUA THE BEST ONE ILI UUZE SURA. MBOOOVU TU

    ReplyDelete
  20. Dada maneno yako mazuri na ya kweli lakini naomba next time usiweke picha yako kwani unababaisha watu haswa vitongozi na kwa jinsi ulivyopendeza

    ReplyDelete
  21. Umejireta!!!!11

    ReplyDelete
  22. Dada maneno yako mazuri lakini usingeweka picha yako kwani unababaisha watu kwa jinsi ulivyo hongera

    ReplyDelete
  23. hee dada unachanganyikiwa kweli taalauma ya ualimu unaidhalilisha sasa! nani akutongoze mwanamke full of makeup, u not real dada. we komaa na wazungu huko bongo tunataka natural beauty siyo wewe u ware makeup kama maiti imeeandaliwa kuzikwa.

    ReplyDelete
  24. e bwana michuzi ebu waambie hawa jamaa, maana wanataka kuazisha mijadala ya kijinga, wanaiba picha za warembo wengine na wana create email address ili kuazisha mizengwe tu, huyu ni dume, wal;a hiyo picha sio yeye. ahh tumechoka sasa, maana kaanzisha mchezo huu mdau mmoja basi kila mtu anaiga. upuuzi mtupu. Mwajuma gani huyu.

    ReplyDelete
  25. Hiki ni kijiwe dada kuna wastaarabu na wala taarabu. Na siyo ofisi ya chama cha chukua chako mapema, watu wanapoogopana kuambiana ukweli. Ukitia kinyaa unapakwa tu. Any way umependeza na nguo yako ya "SENDOFU".

    ReplyDelete
  26. mwajuma, sisi hatuna maoni yoyote. naona maoni yote umeyatoa kwenye ujumbe wako huo.

    ReplyDelete
  27. usituyeyushe unauza sura tu,watu tumepinda usawa huu dada. hakieleweki kitu bongo alafu unatutoa stimu.Kama mchumba utapata tu wakware watakutokea soon si umemwaga contacts.

    ReplyDelete
  28. Ngoja watu warudi kwenye box utakoma! sasa ushauri unatoa na kuweka picha kama sio kutafuta watu ni nini, yalaaaaaaaaaah na email umeweka. sasa kama ni maoni tu si ungeacha yawekwe ubaoni, hii email ina utata! au na wewe uko kazini pia? maana picha na email mhh!

    ReplyDelete
  29. mmh kazi ipo.. dada umeongea point sana.. ila jiandae kufunga email yako.

    manaake...nasubiri kilio tu. mwenzio alipata 6000 sasa wewe sijui zitakuwa ngapi.. itakuwa vizuri kama na wewe ukitoa feed back.. hhehee eti watongozaji no.. heheheh... umeniacha hoi.. sana hapo... LOL

    kipitup

    ReplyDelete
  30. Safi sana Aunt humewapa ukweli wabongo mmezidi,kila kukicha kukandia watu.wape wape heee vidonge vyao.Mwanaume hata siku moja hutakiwa kukamkandia mwenzio haya mambo ni yawanawake ndio mana mungu hakawapa koromeo.

    ReplyDelete
  31. Vijana wengi wa kitanzania hatupendi kujadili kwa hoja issues nzito za kijami, kisiasa, kiutamaduni na muhimu zaidi zile za kiuchumi, sielewi kwa nini, hili nimeliona sana kwenye Blog nyingi watu tunapenda kuchangia zaidi simple issues kama sura za watu, muonekano wao, umbea na mambo ya aina hiyo lakini masuala muhimu yanayotuhusu watanzania analysis zetu ni za ajabu zenye muegemeo hasi na zinazokosa uwanda mpana wa uelewa wenye kutoa suluhisho au muelekeo wa kutatua matatizo ya watanzania wengi hususani umaskini na elimu. Siyo kwamba hakuna vijana wenye uwezo huo la! ila tunapenda kupayuka tukidhani tunapunguza stress zetu lakini hiyo ni dawa ya muda mfupi. Maendeleo ya Tanzania yanatuhitaji kutokaa pembeni bali kutoa michango yetu kwa faida ya wengi.
    Pengine wakati umefika tuanze kubadilika.Blog hizi zinasomwa hata na marais ambao wanaweza kuguswa na michango mizuri na hivyo kuongeza au kupanua mawazo na mtizamo wa hao watungasera. Jamani tubadilike.
    Mdau, Likoko - 'Kisiju'

    ReplyDelete
  32. Vijana wengi wa kitanzania hatupendi kujadili kwa hoja issues nzito za kijami, kisiasa, kiutamaduni na muhimu zaidi zile za kiuchumi, sielewi kwa nini, hili nimeliona sana kwenye Blog nyingi watu tunapenda kuchangia zaidi simple issues kama sura za watu, muonekano wao, umbea na mambo ya aina hiyo lakini masuala muhimu yanayotuhusu watanzania analysis zetu ni za ajabu zenye muegemeo hasi na zinazokosa uwanda mpana wa uelewa wenye kutoa suluhisho au muelekeo wa kutatua matatizo ya watanzania wengi hususani umaskini na elimu. Siyo kwamba hakuna vijana wenye uwezo huo la! ila tunapenda kupayuka tukidhani tunapunguza stress zetu lakini hiyo ni dawa ya muda mfupi. Maendeleo ya Tanzania yanatuhitaji kutokaa pembeni bali kutoa michango yetu kwa faida ya wengi.
    Pengine wakati umefika tuanze kubadilika.Blog hizi zinasomwa hata na marais ambao wanaweza kuguswa na michango mizuri na hivyo kuongeza au kupanua mawazo na mtizamo wa hao watungasera. Jamani tubadilike.
    Mdau, Likoko - 'Kisiju'

    ReplyDelete
  33. Sawa, Da Mwaju.

    Lakini na mimi napenda kukuuliza hilo vazi na pozi ulilovaa ni vazi la kitanzania? au unataka kuexpose sehemu gani za mwili wako. Na una lengo gani kufanya hivyo.Na hizo nywele zako pia nataka kujua kama ni mtindo wa kitanzania au ni mambo ya kuiga utamaduni wa watu?

    Wakenya walioko Canada sio sawa na watanzania na ndio maana wakapata kazi tofauti. Ni sawa na Zanzibar. Kazi ambazo wanafanya watanganyika walioko Zanzibar ni tofauti kwa asilimia kubwa na wanazofanya wahindi, au wamakunduchi.

    Salaam zao huko.

    ReplyDelete
  34. huna lolote unauza sura tu, tena bora kina Manka na Jovita kuliko wewe unaficha wakati MTAFUTAJI. Sasa gazeti lote hilola nini? Nani kakuuliza kwamba una mchumba, jamani! Subiri waamke waosha vinywa

    ReplyDelete
  35. Dada umeongea uliyonayo akilini mwako lakini mimi bifasi nimeangalia hali halisi nikagunduwa kuwa matatazizo unayosema ni ya muda kwani itafika wakati hata watanzania nao watafikia mahali kama walipo hao wakenya watu wakae(NIGERIA)na wahindi kwa watanzania tatizo limetokea wakati wa tawala zilizopita kwani ilikuwa na kitu kigumu kwa mtanzania kutoka nje ya nchi kama ilivyokuwa zile nchi za kijamaa za kule ulaya ya mashariki Tanzania milango imeanza kuwa wazi kwa kuona ulimwengu ni mwishoni mwa miaka ya 80 kabla ya hapo akili zetu zilitekwa na watu wachache na sisi tukawa tunawamini kwa kila wanachotwambia na ndio leo hii utaona ulimbukeni umekuwa ndio sehemu ya maisha kwa wengi ikiwa ulaya au hapa bongo

    ReplyDelete
  36. Je Mwalimu wa level ipi? kama wewe ni mwalimu basi ujue uhuru wa mawazo hata kama ni critical. ndiyo uhuru wa mawazo ati. usitegemee kukubaliwa kila neno utakalosema. Mbona unajihami na wataongozaji au ndiyo unadvertise ki aina? wot uchumba ndoa tu zinamwagwa chini. kwi kwi kwi.

    ReplyDelete
  37. Acha ujinga wewe sister duu! Kwani nani kakwambia kwamba unataka mwanamume? Ama ndo unauza sura kiaina? Wewe toa maoni yako na unyamaze, hayo mambo ya kutaka wanaume yanatoka wapi? Watu wengine bwana!!!! Kujihami kwiiiingi!

    Usikonde dada, tulia, hakuna atakaye kutongoza. Mbona hujiamini? Kama katoto vile! Natamani nikuone!!!!!!!!!!!!1

    ReplyDelete
  38. Nakufagilia dada yangu! Hata mimi niko hapa USA na ninawaona vijana wengi waliokuja kusoma wameingia mitini na wameng'ang'ania kazi za dola 6 hadi 10 kwa saa. Wenzetu wa Afrika Magharibi na wachina, wamejaa na wanaitwa DR soo and soo, Professor so and so. Hii hali lazima tuizungumzie kwa uwazi, it's a shame wasichana wameng'ang'ania kushindana kubeba designer pochi na kuvaa nguo kama malimbukeni waliosahau mila na desturi zao, kujitoboa na kujichora kila mahali ukimwuliza cheti cha shule atakuonyesha kile kile alichobeba kutoka bongo (form four or six). Kuna vitu vingi tu vya kujifunza siyo lazima uwe professor but something to show that you have a profession! Ikiwa certificate ya mechanic, LPN, computer programm, just something hata ukiamua kurudi bongo you gat something to show and somewhere to start. Inahitaji discipline na wengi hawana. Tuliobahatika kuja baada ya kupitia kasheshe za makunji ya mlimani tunaelewa umuhimu wa elimu na kujua value yake.IT IS POSSIBLE BUT IT NEEDS DETERMINATION. Tafadhalini watoto wa kitanzania hizo bia na kunyang'anyana mabibi na mabwana haziwasaidii, WAKE-UP AND DO THE RIGHT THING FOR YOURSELF AND YOUR PARENTS ULIOWAACHA BONGO WAKIDHANI UNAFANYA LA MAANA. Hamutokaa vijana milele! IT IS SO SAD AND DISAPOINTING. ITISHA PARTY UTAONA WATAKAVYOMWAGIKA! Shukrani kwa kuanzisha mada hii najua chamoto tutakisikia lakini huu ni ukweli we all gat to face it.

    ReplyDelete
  39. HA! WAOSHA VINYWA MKO WAPI??????????

    ReplyDelete
  40. Naona Mungu kakupa sura na hasira Nakubaliana na mengi uliyosema pichani waonekana ni kijana sana lakini nafikiri you are full of the grey matter upstairs. Lakini kumbuka Mwenyezi Mungu kwa hikma zake katuumba kila namna kuna weupe na weusi kuna wanene na wembamba warefu na wafupi na pi wenye akili na wapumbavu sote tungekuwa sare dunia ingekuwa bokoboko.Tanzanians surprise me why dont we shine.Siku moja tulikuwa mpirani na jamaa Ashley Cole, Makelele, Essien, Obi, Drogba walituonyesha ujuzi wa kusisimua, mzungu akaniuliza ,are any of these guys from your country. the answer is NOOO
    Michuzi au mdao yeyote niambie why not

    ReplyDelete
  41. Kwanza nakupa hongera kwa kujionyesha shujaa hata kutoa maoni na fikra yako hii.

    Nikusadie kidogo Watanzania au Tanzania ndiyo nchi peke yenye upendo na ushirikiano zaidi,kuliko nchini nyingine. Kama utakumbuka tumewahi kuchangia pesa wakati shule ya msingi kwajiri kuwakomboa wezetu wa Msumbiji,Uganda hata South Africa enzi za Mwl Nyerere wataka wa ukombozi wa Nchi za Africa kwahiyo SIO KWELI KAMA SISI HATUNA UPENDO WALA USHIRIKIANO ila ni baadhi ya watu.

    Na ninasikitishwa tena eti Watanzania ni wasanii matapeli, nakuwa na wasiwasi inawezekana wewe sio Mtanzania, na Watanzania uwajuwi vizuri.Ukiniambia ni baadhi takubaliana na wewe . Hata hivyo me naamini ambao wako vijiweni huko Canada na kwingineko na wanaofanya vibarua ni baada ya kukosa elimu bora Tanzania kwani mfumo wetu si mzuri sana vijana wengine hushindwa kupata elimu bora sasa wenzetu wakenya wako mabiuli kielimu ndiyo maana wanapata kazi za kueleweka. Lingine linachangiwa na baadhi wa Watazania kama wewe ambao umepata fusa ya kusoma badala ya kurudi nyumbani ujenge nchi ili kusaidia vijana wengine sasa umekuwa wa kwanza kulalama kwahiyo umekwepa wajibu wako.

    Nakushangaa tena sijuwi uliangalia TV gani au nani kakwambia mshindi wa BBA Richard kama alizini ndani ya jumba lile me ndiyo nakusikia wewe leo hizo habari si za kweli kabisa kilichotokea Richard na Tatiana ni comedian ili waweze kuwavuta watazamaji ili waweze kuwepo ndani ya jumba lile ni mbinu tu waliitumia walifanya sinema tu pale dada yangu amka….!

    Me bado nasimama kwenye msimamo wangu kwa swala la Manka na Jovinata, huwezi kupata mchumba bora kwa vigezo kama vile sasa hiyo hatakuwa ndoa ni kazi ambayo unatakiwa kufanya kwenda kwa lawyer me naamini hawa dada zangu wanamatatizo ila wao wajisome wajielewe mchumba atapatiakana tu lakisi sio kwa uiinga wao, kama bora mchumba am sure tayari wamepata sasa.

    ReplyDelete
  42. Usijishaue hapa huna lolote umekuja kwenye blog kutafuta wanaume. Hamna chochote cha maana ulichoongea ila kutaka kutongozwa kwa staili ambayo ni tofauti na waliokutangulia. Tumekuona na email yako tunayo, tutakutongoza usihofu

    ReplyDelete
  43. you akina mwajuma and co,naona you are taking us blog readers for granted,your comments just dont seem to add up and furthermore you just seem to be using this blog as a platform for self advertisement,in future i would suggest you keep your views to yourself

    ReplyDelete
  44. SALAAM SANA KAKA MICHUZI, DADA MWAJUMA NA WOTE HUMU NDANI....

    NAANZA MOJA KWA MOJA NA POINT. NAMSHUKURU HUYU DADA KWA KUTOA MAONI YAKE, KAMA RAIA HURU, BILA MATUSI, JAPO NASIKITIKA (NAOMBA UKUBALI) KUWA UMETUMIA LUGHA YA KASHFA BILA WEWE KUJUA. MWISHONI KABISA UMESEMA UKO TAYARI KUYAPOKEA MAONI YETU, SIDHANI KAMA UNAJUA UNACHOSEMA! LAWAMA ULIZOWATUPIA WALE WANAOKUUDHI HUMU NDANI HAZIONYESHI UTAPOKEA MAONI.

    1) NAOMBA NIKWAMBIE DADANGU, NAMI PIA HUWA NAKERWA NA BAADHI YA MAONI WANAYOTOA WENZETU, LAKINI SIWEZI KUTUMIA LUGHA KALI KAMA YAKO, HATA MICHUZI AMETUONYA MARA KADHAA, NA WALA SI KWA LUGHA KALI KAMA YAKO.

    2) UNADAI WEWE NI MWALIMU? HIVI KWELI? UMENIAIBISHA, NAMI NI MWALIMU PIA. UNASEMA UNATOA KERO, KWANI BLOG NI YAKO? NENO KERO UNGESEMA UNATAKA KUTOA CHANGAMOTO, NA UJUMBE UNGEFIKA TU, AMINI USIAMINI. ILA UNA JAZBA KAMA HAO ULIOWAELEZEA DADANGU!

    3) KUWAITA WAKOSAJI WANA JAZBA ZISIZOELEWEKA NI KUTOKUKUBALI KUWA PENYE WENGI PANA MENGI. ULITAKA JAZBA ZAO ZIELEWEKE KWAKO KWANI WATU WENYEWE UNAWAJUA?

    4) Naomba nikunukuu...... "Mimi ni mwalimu kitaaluma, na hizi tabia na hisia naweza kufananisha na za wanafunzi wa darasa la kwanza".

    DADA, UNAWADHALILISHA WATOTO, WATOTO WA DARASA LA KWANZA SIYO LAZIMA WAFANYE HAYA WANAYOSEMA WATU WA BLOG. LABDA SHULE ULIYOSOMA WEWE. NIMESHANGAA HATA KUFANANISHA MAMBO HUWEZI. UNAPOLINGANISHA WATOTO NA WANAOCHAFUA HEWA HUMU NDANI, LAZIMA USEME MFANO HALISI, USIJUMUISHE TU VINGNEVYO NAWE UNAOMEKANA KAMA MTU ASIYE MWALIMU.

    5)WALIMTUPIA KAKAKO NCHIMBI MANENO YASIYO NA MAANA. HIYO NI DHARAU SANA DADANGU, KWANI ULITAKA WACHANGIE VILE UNAVYOTAKA? CHA KUKATAA HAPA NI MATUSI NA SI JINSI WANAVYOMTUPIA MANENO (How can you prove Nchimbi not being wrong?).

    MANENO MENGINE MAKALI DADANGU YANAYOFANANA NA WANAOCHAFUA HEWA HUMU, NI LAWAMA HIZI ULIZOTOA: NANUKUU:
    ".......Ukweli hatuna upendo wala ushirikiano...." THAT'S TOO MUCH OF HATRAGE DADANGU. LABDA WEWE HUNA UPENDO.

    6) DADANGU, WAKENYA, WANINGERIA, NK HAWAJAFANIKIWA AU KUTUPITA KIMAENDELEO, NAFASI ZA KAZI, SABABU YA UPENDO WALIONAO. UNAWAJUA WANIGERIA DADA? MAENDELEO GANI UNAONGELEA? UMAARUFU WA KUIBA HELA ONLINE NI MAENDELEO?

    7) WATU KUGANDA KWENYE TV KUMWANGALIA RICHARD SIYO DHAMBI. KAMA ALIFANYA UFUSKA, HAIMFANYI YEYE ASIPENDWE KATIKA MACHACHE ALIYOFANYA MAZURI. KWANI RAIS WETU AU KIONGOZI YEYOTE AKIKOSEA, ULISHAONA TUNAKOMA HATA KUSIKILIZA HOTUBA ZAO? UMEWADHARAU WATANZANIA KWA UJUMLA MNO DADANGU. NAPENDA CRITICISM, LAKINI LABDA KWA NJIA TOFAUTI KIDOGO.

    NAKUOMBA MSAMAHA SANA LAKINI. LENGO LANGU NI KUTAKA UJUE NAMNA YA KUONGEA NA UMMA. KAMA UKIWA KIONGOZI HAWATAKUSIKILIZA. KUMBUKA NAO NI BINADAMU. NDIO MAANA MCHUMBA WAKO HATA UKIKOSEA ANASEMA TU UMEKOSEA KWA MANENO YA KAWAIDA NA UJUMBE UNAKUFIKIA.

    MDAU,

    UGHAIBUNI.

    6)

    ReplyDelete
  45. dada umesema ukweli na hakika umenikuna hasa

    kwanza nakuunga mkono jinsi ulivyotuchambua sisiwatanzania hapo kwa kweli ni ukweli mtupu!
    hasa ulipotulinganisha na watu wa afrika wa mataifa mengine.
    ninayo experience ya utanzania nje ya nchi ya Japan,India na hapa Canada kwa kweli tabia za utanzania ni za ajabu sana kama ulivyosema tunatabia za wivu,umbeya na KUSHEHEREKEA mabaya ya wenzetu.
    Pia nilitaka kuongezea kwamba watanzania sisi tuna utamaduni na asili ya unafiki kama umenotisi.
    hii inakuja kwa kisingizio cha uungwana
    Utakuta mtu amefarki kwa gonjwa la ukimwi lakini habari zikiripotiwa utaambiwa baada ya kuugua muda mrefu na tena mbaya zaidi mtu mzito au mashuhuri anapaofariki kwa gonjwa hili
    Mfano mwingine ni ile hali ya kutokubali ukweli ktk maoni au hata mitazano binafsi ya kimaisha mtu akiandika ukweli ktk blog humu basi he will be stormed with insults,name calling and all sorts of nasty criticism you could and you couldn't ever imagine
    Hatuna utamaduni wa kukubali maoni tofauti mara kwa mara nimekuwa nikisoma very constructive great opinions hapa kwa michuzi lakini sasa matokeo yake huishia kupata matusi ya nguoni as opposed to positive criticism.
    Na katika maisha tuu ya kawaida ya watanzania wengi huku nje kama wewe you are not part of the mainstream social trend even though you actively play your role within the tanzanian community but ofcourse within the set paramitters ,it does not take much before the community (individuals) shun and demonise you on the pretext of "uncoperative" or "unajifanya bab kubwa " hili nimeliona huko japan miaka ya tisini na mbili na hapa canada pia hasa kwenye miji mikubwa
    Kuhusu unafiki haushii hapo tuu angalia nyumbani watu tulivyokuwa na tabia ya kupamba na kupongeza hata kama mtu ameshindwa kuwakilisha vyema ktk matukio ya kiushindani eitha michezo ,uwanamitindo soccer na mambo mengine mengi tuu ,sifa kibao! na japo lakini akitokea mtu aliyefanya analisys yake ya kina na kuona kwamba no! give me a break hapa kuna uozo na kuna kitu au kosa limefanyika .sasa ukiamua kutoa maoni tofauti na kwa kukosoa na kuelezea kile ambacho kiufundi ni sahihi na kitatujenga vema in along term yaani ukweli wa kiufundi basi wewe utaitwa mwanga,mshenzi ,na most of all SIYO MUUNGWANA!
    Angalia wenzetu wa mataifa mengine japo wanamataitzo yao kuzingatia mila zao na tamaduni zao lakini huku nje bwana wapo very positive ,pragmatic,surpotive ,understanding nk
    kwa ujumla wanamtazamo wa kimaendeleo wa kiupendo nk na ambao si lazima umanifest ktk vikao vya pombe ,nyama choma au birthday za watoto wa fulani(double standards za kitanzania)
    Hii nimeiona huko Canada
    kwa maoni yangu
    Criticism in any public domain should always be welcomed with two hands .The same goes to acceptance of different views on matters that matter or anything to that effect
    However in my opinion we need to draw a clear line between insults, nasty personal issues and the real criticism
    Kukosoana ni jambo zuri sana kimaendeleo linatusaidia ktk kuyaona maisha yetu kama watanzania ktk mitazamo tofauti ambapo labda tunaweza kujifunza moja au mawili kutokana na analisys za wenzetu
    Pia nilikuwa na ombi kwamba watanzania jamani tubadilike,tujifunze kuita spade ni spade without fear kwa kuogopa kuenekana mbaya we need to recognise the overwhelming adavantages of openness,truthfulness in anykind of public debate or issue if you will,outweighs the disadvantegs in many ways that most of us possibly have never thought of before
    Kama huna cha kusema ,wewe huna tuu na hakuna kosa kuwa silent .
    Tena ni vema ukawa kimya kama huna cha kusema kuliko kuanza kutukana wengine hii haitujengi
    Pia hakuna kosa na wala si dhambi kutofautina na kuonyesha tofauti zako wazi within the acceptable paramitters though.
    ninamwunga mkono mtoa mada hii
    Michuzi changamoto ninakupa you are doing a great job isipokuwa kimoja tuu wacha kubania maoni ya watu kama hayana matusi kama ni matusi brother do ya thing ,no doubt they better find a better place else where period!
    asanteni
    mchangiaji

    NB criticism to my comment is most welcome...bring em on!

    ReplyDelete
  46. Nakubaliana nawe kuna wachangiaji wenye jazba, na maneno ya kashfa ambazo hazijengi sanasana ni kujaza nafasi kwenye blog naona hao wapo just as an entertainment kwa wale wanaopenda kusoma vitu vya namna hiyo.

    Lakini Sikubaliani na ulichosema kuhusu kina kaka wa Kitanzania naona umetumia "HAPA CANADA" ume-generalize -nadhani sio kweli kwa kutumia statistics labda ni hapo ulipo wewe. Mimi ni Mwanamke(MRS), in my early 30’S- Statisticians by professional, Nimeishi na kufanya kazi Toronto, Winsdor, Ottawa na London Ontario. Dynamics za African immigrants in terms of education, income and social cohesiveness ni tofauti sana na jinsi tunavyoona kwa macho yetu mitaani na ku-draw conclusions . Mbona wapo wakina Kaka wengi Watanzania ninao wafahamu -Financial Analysts, Scientist, Engineers, Professors, Phamarcist Dentist wanaoishi Ontario licha ya kusema CANADA. Unaweza kupata ukweli kwa kuangalia on line -statistics Canada.
    Ni kweli swala la upendo na ushirikiano ni muhimu hasa huku ugenini ila ndhani nadhani kwenye ushirikiano inabidi ku Identify ni ushirikino kwenye nini? (Misiba? Elimu? Harusi? Kikazi? au Information sharing?) Kwa mazingira niliyoishi ushirikiano kwenye misiba na harusi kwa kweli ni mzuri sana.

    Kuhusu Nigerias kuwa karibu -Nadhani kuna jambo ambalo unalisa hau Wale walio na marafiki sana huwa wengi wanafanya biashara za SIRI na hiyo inawasaidia kutokugundulika maana ni njia mojawapo ya kucontrol information zao zisijulikane. Kwa experience yangu mimi - Clean Nigerians huwa Wanaogopa kijiassociate na wenzao maana huwa hawaaminiani.
    Kwa majirani zetu wakenya- Kwa kufanyiana Harambee kwa kweli huwa wanajitahidi sana ILA pia ambao nimekuwa nao karibu kuwa wakiongelea kuhusu wenzao huwa wanasema Vitu kama “Yule MK

    ReplyDelete
  47. Wape vidonge vyao, ni kuna baadhi wana vijiba vya roho na chuki zisokuwa na mpango.

    ReplyDelete
  48. Sasa picha ya nini??? Ujumbe wako ungefika bila hata ya picha yako....Some people bwana....

    Mkielezwa ukweli mnalalamika...

    Watu wengi sana wanatafuta publicity kupitia hii blog mpaka sasa inakua haina hata ladha tena

    ReplyDelete
  49. Watanzania wana hitaji kitu kimoja tu .to grow up or man up not phisicaly but mentaly.watu wazima wengi wana tabia za kitoto.mizee mizima ina mambo ya kike ya mijungu siku hizi kila kona.kwahio wale wanaume kama mabinti badirikeni tusaidiane kimawazo.na wanawake pia kuweni kimawazo na muache kuangamizana kwa njia yoyote hile.

    ReplyDelete
  50. Nafikiri neno sahihi ni MWANAMUME na siyo MWANAMME au nimekosea. Just in time to protect our language...

    ReplyDelete
  51. Wewe nawe unataka kutukanwa tu, Email adress yako ya nini wakati umeona mwenzio alivyotukanwa? The end justify the means.

    ReplyDelete
  52. MUNGU IBARIKI TANZANIA

    Wewe mwalimu yaani unaita watu wanaochangia maoni yao humu kwenye blog kuwa wana akili ya watoto wa darasa la kwanza ....Shame on you..

    Mwenyewe umeanza kwa kusema unataka kuzungumzia maendeleo ya nchi yetu.... mbona insha yako imejaa majungu na masimango?

    Hao vijana unaowasema huko Canada unawalipia Rent au kuwalisha? Wakenya, wanigeria wanasaidiana kimawazo, matendo na sio kimasimango...Kama unajua mahali pana ajira nzuri kuliko hiyo wanayofanya huko Canada ulishawaambia wakakataa kufanya?Ulishawapa mawazo ya nini cha kufanya ili angalao nao wawe walimu kama wewe au unakuja kuwasema humu tu ili iweje? Uzidi kufurahi...???? Mtu mwema kama akiona mwenzake anaangamia anamweleza ukweli bila kujali jinsia...Na angeongea haya mambo ya "mimi mwanamke" siruhusiwi kusema hivi, siwezi kufanya hivi mtu aliyeko TZ ningemwelewa...lakini wewe uko nje ya nchi na bado unazungumzia mambo hayo ya jinsia sikuelewi.

    Wewe maendeleo uliyoyapeleka bongo ni yapi kwa jamii na kuwaona wenzako wamezubaa?

    Ujue pia kuparty sio kujisahau....kama watu wanastarehe baada ya kazi sioni kwanini unawasema watu wa watu. Wewe umeona baa zilivyo nyingi bongo sasa hivi na zote sinapata wateja mbona haoa huwasemi?

    Mbona unasimanga wenzako kama vile wewe ndio umewin saana na una akili kuliko wengine wote humu.....Yaani michango yako ndio ya maana lakini ya wengine sio....????

    Na ujue sio kila mtu aliyemwona Richard shujaa bongo...Kama ni kulalamika ni kuilalamikia govt au wizara ya habari inayoachia mambo ambayo yapo x rated kuonyeshwa hata kwa watoto wadogo..

    Lakini kama una jambo la muhimu la kuiendeleza nchi mbona husemi ...umequote maneno ya wenzako na kulalamika ....watu watashirikiana vipi kama hamna la kushiriki na kila anayeandika humu ni kulalamikia wenzake......Watu walale nyumba moja ndio ijulikane ni ushirikiano?

    Anzisha jambo la muhimu la kuwafanya watu washirikiane au kujadili na sio kuwasimanga watu au kucompare watu na wakenya, wanigeria au wahindi....

    Kama mwanamke wa kitanzania ni wajibu wako ukiona watanzania wenzako wanateketea kuwashauri na kuwapa motisha.

    Inabidi tuanze kudiscuss mambo ya maana sio kila siku ni kulalamika tu na kusagia wengine....


    Suala la maendeleo nchini mwetu sio kwa wasomi tu bali ni kwa kila mtu....

    ReplyDelete
  53. KWANZA MWAJUMA NAPENDA KUKUFAHAMISHA KWAMBA HAPA UJATOA POINT YOYOTE YA WATU KUTOA HOJA...NASHANGAA UMESEMA WEWE MWALIMU,JE MWALIMU WA SHULE GANI UWEZI KUJA NA POINT?????PILI NATAKA KUKUFAHAMISHA KUHUSU MATAIFA ULIYOTAJA YANA UMOJA....KWELI UMEKOSA IMANI KUSEMA WANAIJERIA WANAUMOJA?????WEWE UNAWAJUA WANAIGELIA AU UNAWASIKIA??????KUNA MTU MWENYE ROHO MBAYA KATIKA BALA LA AFRICA KAMA MPOPO??????MWAJUMA UMETAJA MUHINDI PIA ANAUPENDO...DADA UJAWAJUA WAHINDI KABISA USIONE HAO WA HAPO TORONTO UKAZANI NDIYO TABIA YA MUHINDI HIKO HIVYO MIMI NIMEKAA INDIA DADA WAHINDI HAWANA MPANGO KABISA . ANMVUNJA MTOTO MKONO ILI APATE KUFANYA OMBAOMBA MTAANI NI UPENDO HUO????? UNAVYOWASIFIA...SIJUI UMETAJA TENA KABILA GANI?????KUHUSU KUTOA MAONI,KAMA WEWE MWALIMU UNAJUA MAANA YA MAONI NINI?????SEMA UNACHOONA KWA UHAMUZI WAKO...KAMA MTU KAPONDA NI MPANGO WAKE NA MUHIMU SOMA POINT ZITAZO KUSAIDIA...NILITUMA KWA MICHUZI HISTOLIA YA KWANINI WAPOPO AU UNAWAITA WANAIGERIA HAWANA MPANGO LAKINI KANIBANIA MICHUZI HAJATOA...NITAKUFAHAMISHA UNYAMA WA MANAIGERIA KWA MAIL YAKO...USIPONDE VIJANA WA KIBONGO KABISA KWANI KWENYE SHIDA WATASIMAMA NAWE...HIYO KUMBUKA SIO HAO WAPOPO UNAWAONA WA MAANA....UMETAJA MKENYA...UPENDO WAO HUKO W¨PI NA MAENDELEO YAO???HAPO ULIPO AU U.S KOTE NIMEPITA WANAUBAGUZI TU NA KUJIFANYA WAKO MBELE KWA WABONGO LAKINI KIUKWELI HAWANA MPYA...TULIA MWAJUMA KAMA UNA ISSUE NYINGINE AU PIA UNATAFUTA MTU KINYEMELA SEMA TU USIOGOPE...MIMI NAITWA MDAU 00316 ULAYA....

    ReplyDelete
  54. JOHN MASHAKA, TUNASHUKURU SANA KWA KUWASHA MOTO. NAONA WAKINA DADA WANAKUJA

    KAKA MICHUZI ASANTE SANA, KUTULETEA STORY KAMA YA MASHAKA. NAONA WATANZANIA WANAAMKA SASA !!!!

    ASANTE SANA MWAJUMA KWA UJASIRI WAKO, WALA HAKUNA SWALI

    ReplyDelete
  55. MIE BADO SIELEWI, HIYO PICHA INA UHUSIANO GANI NA MESSAGE ULIYOANDIKA? MIE NILIDHANI PICHA INAHITAJIKA PALE TU UNAPOTAFUTA MCHUMBA? SASA KAMA UNA MCHUMBA KISA NA MKASA CHA KUJIANIKA UANI NI NINI? MESSAGE PEKE YAKE INGETOSHA, HATUNA HAJA YA PICHA. BY THE WAY, HIYO MONTREAL YA WAPI INAFANANA NA BONGO? BADO SIELEWIELEWI!

    ReplyDelete
  56. Dada samahani sana jaribu kuwa na heshima, tuheshimiane, huwezi kutuita sisi watoto wa darasa la kwanza! Wewe usizalilishe taaluma ya ualimu, mwalimu gani usiejuwa psychology? Au ndo wale waalimu wa UPE!Mgongano wa mawazo ndo hulka ya wanaadamu! Nalazima tukubali kutokukubaliana, iweje uwaite wale wenye mawazo tofauti na yako watoto?
    Hivi wewe unaushahidi gani kama Richard alizini? He he he dada I am a Lawyer by professional, kama richard akikupeleka kwenye sheria utajutia kauli yako hiyo!!!

    Hivi we dada umetuona wanaume wahumu ni mafisi eeh? Eti msinitongoze nna wangu haaa! We kinyago cha mpapure hem nyamaza nikustiri...! Hakuna anaekuja hapa kutafuta mwanamke, ukijiuza hapa watu wanakusanifu tu! Hivi ulijiangalia vizuri kabla hujaandika hivyo!Wanawake wazuri na stara zao wametulia wala hawajishauwi hapa, mara ooh Nchimbi! Kama umemmaind si umtumie email tu. Lakini nna hakika 100% atakutolea mbavuni sababu huna mvuto,watoto wamjini wanasema mvuto nehi!!
    We ndo basi tena...!ushautwanga m'bichi...!Unakataa matembere una hela ya nyama wewe? waaaaaaaapi!Ha ha ha eti hutaki mwanakwerekwe ha uzikwe wapi nawe mgeni...! Unalo hilo...!

    ReplyDelete
  57. ANAJISHEBEDUA HUYU DEMU MAPEPE
    INABIDI APEPEWE HUYU DEMU MAPEPE.

    NA GAUNI LAKE KAMA BWAWA LA MAINI
    ANAJIHASHUA HUYU DEMU KWANINI???
    KAMA UNATAKA BWANA SI USEME JAMANI.

    ANAJISHEBEDUA HUYUDEMU MAPEPE,
    MAPEPE, MAPEPE ,MAPEPE

    ReplyDelete
  58. haya mwajuma wasalimie wabongo wengine uko uliko, michuzi usinibanie hii tafadhali salimia uko canada.

    ReplyDelete
  59. Mmmhhh, YALEYALE.
    DADA!!!! MWAJUMA, MWAJ. Mbona mambo!!!

    Kwa ufupi tu nimesoma haya maelezo yako sijapata picha halisi kuhusu wewe na lengo lako hasa la kutoa picha na contacts, sijui unataka nin i, lakini naona utakipata.

    Masikitiko yangu ni kuwa haya mambo ulosema kuhusu wabongo kuwa wa roho mbaya umetumia vigezo gani? Upendo kwako ni kitu gani? Niambie Africa hii, nchi gani, na si africa, dunia hii, ni nchi gani ambayo wananchi wake hujawahi kuwasikia wameingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

    Wabongo tuna roho mbaya? Hivi si ni marais wetu waloenda kusuluhisha mauaji huko Kenya? Wewe wakenya wenye ushirikiano ulikutana nao wapi? Tupo nao kiwanja huku mkikuyu na mluo hawawezi hata kaa wakapiga stori acha kukaribishana home, hao ndo unawaita wana upendo? Wewe limbukeni na hujui hata unachosema. Haya ndo mambo unayowafundisha hao wanafunzi? elimu na ualimu gani huu?

    Hao wanigeria kwao kuuana mtindo mmoja, muislam na mkristo hawakai wakasikilizana, ni kupigana panga tu. Hivi yule mwanamke aliyehukumiwa apigwe mawe hadi kufa kwa kuwa alizaa nje ya ndoa ni wanchi gani kama si Nigeria? Jamani hii inaonesha jinsi gani dada zetu mlivyo malimbukeni na wapungufu wa akili na mawazo, hivi hawa ndo watu mnaowafagilia na kuwaita wana maendeleo? Wenye maendeleo hawachinjani na hawakai kudhalilisha na kuwachinja wenzao kwa kuwa tu si wa kabila lao na si wa dini yao.

    Kwa ufupi tu, sisi wabongo ni watu wenye maendeleo sana duniani na tunaongoza kwa upenda na mioyo ya huruma, si wakatili na hatubaguani.

    Sitaki kuzungumzia wahindi kwa kuwa kama wewe kweli umekwenda shule hadi kuwa mwalimu na umewasoma wahindi pale bongo utakuwa unajua mengi kuhusu wao. Hivi hawa wahindi wewe unaowafagilia umeshawaona kule kwenu kimara, tabata, segerea au manzese wanishi pamoja na ninyi, kwa nini? Umeona wabongo wangapi pale dar wnakokota toto za kidosi? Cheki nwao sasa wanvyotuvurugia dada zetu na wakisha wazalisha no ndoa. Mimi si mbaguzi nazungumzia hali halisi iliyopo.

    Nachelewa kukata box zangu, nitarudi baadaye, lakini katika wote waloleta mijadala humu, wewe ndo mbumbumbu kuliko wote,
    POLE SANA.

    ReplyDelete
  60. Ok...so you do have a point..but jazba ya nini dada? We agree,mambo ya freedom of speech and you; like anybody else uko entitled to your own opinion, but damn...comparison ya watu wazima na watoto wa darasa la kwanza wa just LOW!!! I don't know unafundisha nini...but I am sure among the things you received training in...Human Pyschology was one of them....you should know better.Halafu sijui kwanini hatujifunzi..wanasema mwenzio akinyolewa...tia kichwa maji..wewe huyo tena...sijui ni guts..you had to put your picture up here. Next time...una kitu chakusema..think through before posting your views kwenye blog kama hii.
    Mdau Canada Mashambani
    Ps..Kaka Michuzi please post this!

    ReplyDelete
  61. Kwanza wewe dada nakupa hongera lakini pili umekosa kazi za kufanya etii wewe mwalimu unaonekana unauza matunda kariakoo alafu unatudanganya mwalimu hahahah kweli kazii unaona laha mwenyewe lakini kuna mtu alikuuliza kwamba upo wapi?kama unataka kusema ktu sema sio unauza sura kiivyo uliambiwa uweke picha picha yenyewe kama umetoka kulala kwanza wewe upo bongo nahisi maana kingereza chako chenyewe cha form 5.Sasa nashangaa unavyosema hayo maneno etii wewe unamsapoti yule mtu si ajabu hiyo hahaha babu kubwa ok uza jina dada wapo wengi sana hapa na email utazipata kibao maana umetoa email mwenyewe nani alikuambia utoe email si unataka KUTONGOZWA kwa nini usiseme wakuandikie hapa au na wewe unalako unataka kumtukafuta unayemtaka?Haya hongera sana
    Mdau kutoka U.k

    ReplyDelete
  62. Nakubaliana na unaposema ili tuendelee tunahitaji kuacha majungu na ulimbukeni. Hizi ni sifa ulizo nazo wewe. Naomba uwe wa kwanza kuziacha na upende wabongo wenzako na kuwaheshimu na kukubali kuwa wabongo ndo watu wenye upendo kuliko wote duniani.

    Muache kukimbilia kutoa maoniya kukandia sisi wabongo bila hata ya kufanya uchunguzi wa kina na kufagilia wazushi wasio na maana kisa wanawahonga vihela mbuzi.

    ReplyDelete
  63. Mwajuma!(Kama kweli ni jina lako)
    Hayo uliyoyasema sidhani kama yana ukweli wowote kuhusu Watanzania, au wanaume wa kitanzania wa Canada.Kama ni ni wa hapo unapoishi wewe MONTREAL labda.
    Mwalimu Mwajuma never ever generalize watanzania.Je wewe huyo bwana wako ni MNIGERIA ?au miongoni mwetu Watanzania?
    Mimi naishi Toronto kwa muda sasa na nimefika mara nyingitu huko Montreal.Hata hatuna tatizo hilo unalolidai wewe.
    Ninachokiona ,na kilichopo ni kwa dada zetu kuzalishwa na WANIGERIA WENYE WAKE ZAO!!!Mbona huzungumzii hili?Au hali[po Montreal?
    Majungu yapi?Umbea upi?
    Watu wanafanya kazi kwa jinsi wanavyoona inafaa.Kama unaona wanaspend vibaya kwa sababu tu hawakuwachangia kwenye hizo Baby shower zenu za mimba za NIGERIANS, go get a life!!!
    Wako Respectable family hapa za kitanzania, wako well off na kazi zao za maana.STOP talk nonsense Mwalimu!!!

    ReplyDelete
  64. Dada masuala ya maendeleo usilete kwa Misupu hapa. Wabongo wamelizwa fedha zao na jamaa fulani walikuwa viongozi wa jumuiya ya wabongo hapa washington, DC. Michuzi kafunga topic tusichangie hoja. Yeye pia aweza kuwa fisadi, maana watu tuilishaomba hao jamaa wapelekwe polisi, Misupu kusikia hivyo kafunga mjadala.
    Sasa sijui tutajadili maendeleo gani kama si hayo?

    ReplyDelete
  65. HEHHEEHHEEEE! AH HHAAAHHAA EHHHHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE! NINACHEKA KICHEKO KAMA CHA YULE MTU ALIYEIBIWA LAKINI ALIYEMUIBIA HAKUPATA KITU KWA SABABU PESA ZAKE ZOTE ZIKO BENKI YA POSTA! MWAJUMA MOST OF THEM DID EXACTLY WHAT YOU PREDICTED THAT THEY WILL DO! UMEWALENGA, NA WAMEFANYA KILE ULICHOSEMA KUWA WATAFANYA. TENA WALE WALIOHUSIKA NA MATUSI UNAWEZA KUWAPATA HUMU KUTOKANA NA KUJITETEA NA KUENDELEA KUTOA KASHFA. YOU DONT EVEN NEED FORENSIC EVIDENCE!! NGOJA NIANDIKE UJUMBE MUHIMU KWA HERUFI NDOGO 'ukweli huwa unauma'; 'akili ni nywele kila mtu ana zake'; 'hasidi hana sababu'; 'akutukanaye hakuchagulii tusi'; 'asiyekujua hakuthamini'; 'mficha maradhi kilio kitamuumbua'; 'usilolijua ni sawa na usiku wa kiza';

    WATANZANIA HUWA HAWAPENDI KUAMBIWA UKWELI NA KAMA AKING'ANG'ANIA JAMBO LAKE BASI HAUBALI KUSIKILIZA MAONI YA MTU/WATU! NA NI WEPESI KUJITETEA. LAKINI PIA NAWAPA HONGERA WALE WOTE WALIOONA BORITI KWENYE JICHO LETU NA KUMUUNGA MKONO MWAJUMA.

    nAtAkA KUENDELEA KUCHEKA SANA, MNAJUA KWA SABABU? JINSI WATU WALIVYO NA TABIA ZA kinyonga! AKITOA MAONI HUMU MTU WATU HUKIMBILIA KUDAI PICHA, HUYU AMETOWA MAONI NA PICHA AMEWEKA, HEE, HEHEE HEEE HEE! WALE WALE WANAODAI PICHA WANAMKANDYA KWANINI AMEWEKA PICHA! AMA KWELI VIUMBE WAZITO! SIMNATAKAGA MTU AWEKE NA PICHA SASA HUYO AMEWEKA PICHA! BADALA YA KUJADILI HOJA MNAJADILI PICHA, LABDA MIE NINA MAKENGEZA!

    nAsEmA hivii kukataa hali halisi ni denial, cha msingi ni kubadilika basi ili twende mbelE NA tunaweza kubadilika tukikubali kwanza kuwa ni kweli tuna tatizo ambalo inabidi tulifanyie kazi kwa kubadili tabia zetu sijui ni suala la self esteem mtu anapokwambia una act kama mtoto mdogo, halafu unabisha na unaishia kweli ku act kama mtoto mdogo!

    ReplyDelete
  66. He huyu kasema mwalimu basi wengine ni lawyer by profession, lawyer gani asiye na ethics anatukana watu kwenye mtandao? Hivi unajua sheria kweli au unatupambia blogu wewe unayejidai ni lawyer huku unavurumisha matusi au ni bush lawyer? Halafu maneno yamekutoka tena yale ya kushadadia na ya kishari kama wagombana na mke mwenzio? He kama ulawyer wenyewe ndio hiyo basi iko kazi na hao wasiojua sheria wafanyeje? Halafu eti unazungumizia kuwa Richard atamshtaki kwa kauli yake hiyo basi na hata wewe huyo dada anaweza kukushtaki kwa baadhi ya kauli zako zilizo kwenye comment zako. Unaijua sheria kweli! Au unastarehesha baraza, halafu mbona watu wanajibu hii post kwa jazba kama huna dhamira inayokusuta kuhusu yaliyosemwa huwezi kujibu hiyo email kwa jazba its just a normal post. Anyway ngoja ninyamaze nisijeshtakiwa by the laywers in proffession!

    ReplyDelete
  67. Halafu naona wote mnaojidai mnatoa maoni maoni kuwa watanzania hatupendani ni wapuuzi sana, na wachochezi wa uadui,, kwani ninyi wachache ndo mmeiweka Tanzania kuwa ya amani hata sasa? na mbona mnaongelea mambo mabaya tu ya watanzania kwani hakuna mazuri waliyonayo? kama mnatafuta wachumba semani direct sio kuanza maneno yenu ya upumbavu, watu hawalali halafu wewe unakandia kwani we nani? na utaendeleza wangapi? achani upumbavu, mind your own bussiness

    kwanza kuongea haya huoni kama ni kuongeza idadi ya majungu wewe mwenyewe?
    muwe mnafikiri kabla ya kukurupuka tu sawa?
    mdau korea, south
    kelvinken81@yahoo.com

    ReplyDelete
  68. KAMA WEWE NI MTU WA IMANI, UNGEKUWA UNAOMBA KWA AJILI YA TANZANIA NA WATU WAKE, WALA SIO VINGINEVYO, SABABU WATU LEVEL YA MAISHA NI TOFAUTI SIKU ZOTE, HATA UNGETOKEA MGAWO WA PESA SAWA KWA KILA MTANZANIA BADO WAPO AMBAO BAADAYE WANGEKUWA OMBAOMBA, ITAKUWA HII YA KUJITAFUTIA?
    KAMA UNGEANDIKA KUOMBA MASAADA WA MAOMBI ningeakuachia email hii dancank@yahoo.com

    ReplyDelete
  69. Mwajuma, Habari mama!!!

    Mimi ni mwislamu kama wewe kama jina hilo ni halisi "maana si unajua tena bongo tulikuwa tukiuziana majina ukishindwa mitihani"

    Naomba nikuulize kwa mila, desturi na taratibu za kiislamu uchumba uko sehemu gani?

    Ombi kwa kuwa umetueleza wewe una mchumba tunaomba baada ya maximum 6month utuambie uko ndani ya ndoa ... ama laaahhh itabidi tukupeleke kwenye kapu lingine...

    Mawazo mengine ya ujenzi wa taifa tuko pamoja mama!!!

    Na hongera kwa Tangazo lako... ukija Dar utapewa ubunge sisi huku criteria ni kufahamika tu....

    ReplyDelete
  70. Niko na Wakenya wawili hapa wanashangaa, KUHUSU UPENDO NA USHIRIKIANO, unawaongelea wao wakenya wa East Africa au wengine?????Hawa jirani zetu wana Roho Mbaya na Wabinafsi,and they know it. Wao siku zote wanaadmire UPENDO NA USHIRIKIANO wa WATANZANIA!!!!UMOJA wetu hauna mfano, katika shida na Raha.ila Matatizo mengine TUNAYO KWELI.Wahindi wanasaidiana kidogo katika Biashara n.k, WAPOPO, U must be Kidding Me,yo du no these people.Nakupomgeza kwa ujasiri Nway Yataka moyo......WAKINA DADA HOYEEEEEEEEEEEEE

    ReplyDelete
  71. Ulitoa mfano wa wahindi kuwa na upendo kuliko wabongo.
    Pitia hii website pengine unaweza jifunza kitu na ku-sign pettition hapo. Halafu cha kushangaza haya ni mambo ya huko Canada uliko.
    Site ni http://www.justiceforjassi.com/

    KUELIMISHANA NI WAJIBU WETU WABONGO. KUPASHANA NI STYLE TU.

    ReplyDelete
  72. Muacheni Jamaniii.... Jina Lenyewe Mwajuma .. Kutoka Kuuza Vitumbua Hadi Kuishi Nyumba Kama Hio Lazima Uone Mzungu Mungu Njoo Mitaaa Ya Kati Uone Watu Tunvowatumikisha Hao Unaowaona Miungu.Nyauuuuuuu Tu wewe

    ReplyDelete
  73. send off wapi?huo mgauni mhhh

    ReplyDelete
  74. KWA KWELI MIMI NI KIJANA MWENZENU MTANZANIA KWA KWELI DADA YETU KAWA MKWELI KABISA KAKA MICHUZI MIMI NIMETEMBEA NCHI NYINGI SANA ZA ULAYA, AMERICA SOUTH AND NORTH CENTRAL ASIA AND WEST EUROPE KWA KWELI DADA NA KAKA ZETU WA KITANZANIA WANAPENDA KUVUTA RAHA SANA,KAKA MICHUZI WEWE MWENYEWE UMEONA HATA PICHA NYINGI UNATUMIWA NA VIJANA WETU NI MAJUMBA YA KIFAHARI,MAGARI YA KIFAHARI,PICHA ZA VIJANA WAKIWA WANAVUTA RAHA KWENYE CLUB ZA MAJUU ETC,ILA TUNASHUKURU SASA HIVI VIJANA WENGI WANAAMUA KUSOMA NDIO KITAKOCHOTOKOA.

    KIPEPEO TOURS.

    ReplyDelete
  75. ACHENI WIVU, NA KUMSAKAMA MWAJUMA, MIE SIMJUI WALA NINI LAKINI NAMSAPOTI, KWANI AMEZUNGUMZA UKWELI MTUPU, NA WEWE ANONY HAPO JUU ULOANDIKA ETI send off wapi mgauni huo" NI KWAMBA UNA WIVU TU, DADA HUYU KAPENDEZA.
    MICHUZI WABONGO SISI NDIO MAANA HATUENDELEI, NA MWAJUMA ANATAKIWA SANA KUWAPA SOMO WENGI HAPA MJINI HUSUSANI LILY MZIRAY, TEKLA NGONI...NA KAZALIKA.
    WAACHE VIJIBA VYA ROHO, NA MAJUNGU. NA WATAFUTE KAZI ZA KUFANYA WENGI WENU NINAOSOMA MAONI HAPA YA KUMSAKAMA MWAJUMA NI WAZI HAMNA KAZI ZA MAANA ILA KUZURURA NA KUTAFUTA OFA WAPI MKAPATE POMBE ZA BURE NA KUWA MAGOLIKIPA TU KUTEGEMEA KUPEWA PESA NA WANAUME BADALA YA KUJIPATIA AJIRA WENYEWE.
    MWANJUMA DADA WASIKUKATIZE MOYO ABISA INGAWA INASIKITISHA. JAMANI WABONGO TUBADILI TABIA ZETU TUWE KAMA NCHI NYINGINE ALIZOZITAJA MWAJUMA. NDIPO TUTAPATA MAENDELEO.
    AHSANTENI.

    ReplyDelete
  76. lol nimependa hilo shahiri la mtoa maoni hapo juu ni burudani tupu

    ReplyDelete
  77. That's publicity stunt, I suppose...

    ReplyDelete
  78. Wakenya USA, CANADA and europe ndo wanaoongoza kwa kufanya kazi nursing home, group home, wanasafisha nyumba, restaurant na vibibi! NIMEFANYA RESEARCH NA NIMEONA! HUNIAMBII KITU, KAMA UMEPATA MSHUA WAKO MKENYA ALIEBAHATIKA, SIO WOTE, UME GENERALIZE BILA KUJUA NA KUWAANGUSHA WATZ WENYE TAALUMA ZAO MAJUU. SHAME ON YOU WITH UPEO MDOGO WA KUONA, UPEO WAKO NI KITCHEN PARTY NDIO INAKUFAA, KWENYE ACADEMIC NA PROFESSION I DONT SEE YOU THERE. no offense!

    ReplyDelete
  79. Blog zote watu wanapongezana,wanakosoana,wanatukanana sioni kama sisi watanzania tuko tofauti na walimwengu wengine.Tuache kujidanganya eti wakenya hawatukanani sijui nini

    ReplyDelete
  80. Ano. 2008 9:41 AM
    Thanx for link hiyo naisi kama ni mwalimu kweli atabrowse kuona ukweli wa watu anaofikiria yeye ni wa maana maana hizo ndio real stories. Mama lea huyo mtoto upatiwe mwingine

    ReplyDelete
  81. Michuzi,
    Huyu Joni Mashaka, inabidi afungiwe kwenye hii blog. Kwa maana hawa mademu wote wanmlenga yeye, ingawa wanuzunguka mbuyu bila kuwa wakweli. Wewe mzaramu, utamuweza huyo mashaka, vigezo gani ulivyonavyo? au unadhani ukimtetea atakupenda? Vipi Jovinata alifanikiwa?

    Mzee wa Madongo

    ReplyDelete
  82. Mdogo wangu Mwajuma hongera, mengi uliyosema ni kweli.Mie issue yangu iko na huyu anae jiita Bablii, comment zake kwenye picha ya hina sijayapenda na humu anajiita "LAWYER", nafikiri ungepunguza kasi ya maneno yako ukaonesha elimu yako kila nikisoma maoni yako naona kama mwanamke anae tupiana maneno na mwanamke mwenzie.Kabla hujaweka maoni yako hapo juu ungemsoma Mwajuma nini point yake halafu comment au vile jina ni Mwajuma si minal-ghal.
    MICHUZI UMEBANIA MAONI YANGU YA PICHA YA HINA ZILIKUA SPECIAL KWA AJILI YA HUYU BABLII, UMEMPA UWANJA WA KUTOSHA AND I THINK IT'S ABOUT TIME HE(THAT'S IF HE IS A HE OR A HE/SHE) STOP.Tafuta blog ya mipasho kwa ajili ya wanaume, nafikiri ushakua unaona sifa haipendezi mtoto wa kiume kujishaua namna hiyo kama mwanamke sie wengine tunakuelewa vingine.

    ReplyDelete
  83. We anon wa april 12, 6:17 PM, Nahisi si mwananume, how comes mwanaume unaingia kwa anon.. ongea, ingawa mi nishakujuwa ni nani, coz uwezo wangu wakufikiri ni wakiwango kukubwa (mpaka najiogopa),Ngoja nijaribu kukuheshimu, sitaki kufika mbali, ingawa umeanza kunikashf kwa kunifananisha na msichana (mie muungwana), otherwise ungenichukia maisha. Samahani sana, nikianza kukukashif, kama ulivyo anza itakuwa kama narusha mawe kwenye mayai! Get a life!

    ReplyDelete
  84. hii ni kwa Cha chandu - UK (na wenye majungu na wanafiki wote wasiopenda maendeleo ya watanzania), nadhan inaelekea wewe inaelekea ni mtu mzima hapo ulipo lakini utumbo umekujaa akilini mwako... Hivi huko kubeba mabox uk ndo kunaweza kumfanya mtu akawa chiz kiasi hiki unajua hii sio sehemu ya kupunguzia mastress yenu kama unapoint ongea sio kukashifiana na kutoka out of the point... wewe toa hoja yako unaona nini kifanyike kuboresha maisha ya mtanzania sio ya wazungu kwa kuwabebea mabox huko kama watumwa msiojitambua... thinking you are living a goodlife. Tuwe wazalendo jamani nchi inauzwa kwa wahindi.

    ReplyDelete
  85. Ha ha ha eti naomba mtongozaji asiniandikie! Sasa anatongoza nini hapo? Mbona mimi sioni cha kutongoza!

    Kama kweli unaishi Montreal naomba ujibu maswali yafuatayo. Montreal kuna chama cha Watanzania je unakijua jina lake? Nitajie majina ya mwenyekiti, katibu na mwka hazina wa chama hicho. Balozi wa Tanzania sasa hivi ni nani? Na kabla yake balozi alikuwa nani? Na kilitokea nini mpaka ikabidi balozi mpya achanguliwe?

    Mbona Watanzania wengi wanaoishi Montreal na miji ya jirani hawaifahamu sura yako na jina pia hawajawahi kulisikia? au ndio umeshuka Montreal siku za karibuni? Maana hawajawahi kukuona kwenye misiba au sherehe mbali mbali za Watanzania au hawakualiki?

    Haya kila la heri na huyo mchumba wako, lakini kama kweli unaishi Montreal basi ujue kwamba Wabongo wakikujua watakuwa wanakukimbia kama mwenye ukoma maana hukawii kuanika data za uwongo hadharani.

    Canada kuna Watanzania wengi wenye kazi nzuri na familia zao pia na maisha yao pia ni bam bam, ukilinganisha na wale wachache, lakini labda huwajui unaowajua wewe ni hao wachache ambao unadai wanatia aibu.

    Kwa mara nyingine tena kama ulifiri kutililia hilo gauni lako la unyagoni kutawafanya watu wakupigie maspeed basi UMEREWA WE URIE TU! hakuna cha kutongoza hapo!

    Msalimie huyo mchumba wake wa hadithini.

    ReplyDelete
  86. Huyu anon wa April 12,6:17PM anaemkandia Bablii, nna wasi wasi nae ni VOCHA au LIMAU, kama sio Limau basi DAFU! Naona anajikomba kwa wanawake tu anakandia wanaume, halafu anaonesha kama anaelimu basi, haina manufaa, ingawa elimu ya bablii siijui, lakini huenda huyu bablii ana hekima kuliko huyo anon!
    Kipimo cha hekima ni maoni yake anayotuma kwa michuzi, kama unatuma maoni yanakuwa hayana busara mpaka michuzi anayaweka kapuni, duh jihesabu wewe kilaza sana, yaani jihesabu zero kabisa, sababu maoni nnayo yaona hapo, ikiwa yako ndo yamezidi ubaya basi wewe, hufai hata kuskilizwa na mwanao kama unae! Hivi we unaishi wapi? mpaka umfuatilie mwanaume mwenzako post zake, maana mimi nshasahau kwenye hina ali comment nini, wewe utakuwa na matatizo au huwa yana kutach?
    Tumia busara bwana mkubwa nadhani bablii huwa anaongea kutokana na mada husika, sababu nimemkuta kule bongo celebrity anatuchambulia mada kiutu uzima, sasa nahisi ngoma ipigwavyo ndivyo ichezwavyo, kama post ni yahina hawezi kuelezea uchumi...! Bablii big up mi napenda sana misemo yako, yaani kwenye kiswahili uko juu sana!

    ReplyDelete
  87. Hellow Mkuu,
    Hivi wewe Mh.Mkuu wa Wilaya kwani unamuhurusu huyo jamaa anon April 12,6:17 atuchafulie mazingira...??!!,Kwanini aanzishe mijadala ya kipuuzi kwenye blog ya watu wenye akili zao,kwani yeye amewekwa ku-Edit comments zetu.Iweje arukie comment za jamaa na kuanza kuzikandia,kwanza huyo jamabaa Bablii comment yake ni nzuri sana,very constructive.Anatuletea habari ya hina kwani hajui post ya hina ilipo...???!!!/
    Mdau,
    MN.

    ReplyDelete
  88. michuzi usinibanie hii, mimi niko hapa alberta hiyo ofisi kipindi w atu wanabadilisha passports ilikuwa ni usumbufu, kupenda kuhangaisha watu. wengine hapo wamekaa mno wanahitaji kurudi haraka.

    ReplyDelete
  89. We anon unaemshambulia Bablii,
    kama umekasirika basi kanywe bahari, na kama umechoka tu kanywe sumu ufee!
    Binafsi napenda na najifunza mengi kutoka kwa wachangiaji wa hii blog hasa Bablii na Kithuku wanaonyesha ni watu makini na wanakijua wanachokiongea. Kama maoni ya hina yamekukera basi kapake na wewe upendeze. Bablii achana nao hao tupe vituz. Sisi wengine tunamtembelea Michu Boy every time kwa ajili yako tu!.

    ReplyDelete
  90. HAWA WNAOSEMA KUWA WATU HAWAKUBALI MAONI TOFAUTI NDO WAO HAWAKUBALI MAONI YA WENGINE.

    Kumbukeni watu tunavipaji tofauti, wapo wanaona positive points kwanza wapo wanaoona negative kwanza, wapo wanaotambua points zisizolala upande wowote kwanza na wapo wasuluhishi kila kona humu ndani.

    Siku zote wale wazushi watakuwa wakwanza kulalamika kuwa watu wanadhalilishwa na kuonewa. Lakinin ni wao ndo wasokubali maoni ya wengine.

    Tuseme we ni mtu unapenda maendeleo, tambua kuwa yapo maoni ya kuunga mkono, yapo ya kuvunja moyo na yapo ya kisuluhishi. Ukiwa na busara utapenda yote kwa kuwa utatumia yale ya kuunga mkono kusonga mbele, utatumia yale ya kuvunja moyo kurekebisha mapungufu na yale ya kisuluhishi kubalance mambo yaende ipasavyo.

    Ukiwa mjinga kuliko wote utataka watu wote wakuunge mkono, na kuhusu hili ukiwa madarakani utaishia kuwa dikteta kwa kuwa wapingaji utataka kuwaondoa hata kwa lazima.

    Werevu wote siku zote hupenda maoni
    yanayokosoa kuliko yanayojenga kwa kuwa huwafanya warekebishe mapungufu yao na kuwa na nguvu zaidi.

    KINA DADA FUNGUENI MACHO. Kama Adam asingelikubaliana na Eva

    ReplyDelete
  91. Wadau, mimi nimechelewa kutoa maoni kwa sababu nilikuwa nasubiri wadau wa Montreal watoe maoni,kwa sababu wametukanwa sana lakini hawasemi chochote,Je ni kweli wanakaa tu kujiweni, je ni kweli hawafanyi kazi? kwa nini mnaruhusu huyu dada anawasema hivi?
    Na pia kama unataka uone Wakenya wanapendana [lol] njoo Lowel,Massachussets. utaona maajabu.Unajua kwa nini ligi kuu Kenya ilikufa? kwa sababu Wajaluo na Wakikuyu kila mtu alitaka awe na ligi yake. kitu ninachokusifia ni kwamba una mwelekeo wa kasi, ila kasi yako inaelekeo shimoni!! geuza mwelekeo !!

    ReplyDelete
  92. Yale yale.....!!wanayoambiwa wayaache ndo wanayoyaendeleza ..lol wabongo bwana...!!

    ReplyDelete
  93. Wadau hailipi hii watu kutumia id za watu wengine, sasa wewe unajiita ngwe ngwe, vipi ukitafuta jina lingine ili
    tutofautishe kkati yako na yangu. Maana sasa itakuwa haieleweki, kama ni mimi Ngwengwe au ndo wewe. Hii ngwe Ngwe juu ya Babii mimi sihusiki wadau.

    Ngwengwe

    ReplyDelete
  94. Nanyinyi mliomsapoti mwajuma mnaona raha sana kupelekwa kama watoto wadogo hatutaki mambo ya kitoto hapa mara leo hivi kesho hivi tunataka watu walioendelea sio mtu anakwenda hi5 anakwenda kuchukua picha tunaletewa hapa na bahati yako mzee MISUPU anabania comment zetu msitake kuleta ujinga wenu wa kibongo hapa NA wewe ulisema watu wa majuu tunatumikishwa umewahi kufika ulaya na kuona maisha yapo vipi na wewe kaachini na mwajuma katunge habari lete hapa maana sitokuweka tena katika kundi la watu wenye akili timamu ok poa lakini mambo ya kijing awanaomsapoti Mwajuma musiendelee tena na sisi tutaponda sana hatutachoka kabisa alaaaaaa.

    Mdau kutoka
    U.K

    ReplyDelete
  95. Ndugu yetu Michuzi sasa hii imekuwa too much na ndio maana wakati mwengine watu wanakushushia matusi kwa sababu ya roho yako mbaya . tunaandika comments zetu lakini kwa UFISADI wako unaziweka kapuni. au sababu sie sio wajanja wako kina mzee melaborn, chamenya na Gidemi ? lakini haina noma ipo siku utaziweka mwenyewe. nakutakia kazi tambarare. Paka la jikoni.

    ReplyDelete
  96. michuzi usibane si wameajiri mzungu kwenye ofisi, ambaye ana haki zote kuliko watanzania, kweli unaweza kuajiri mgeni kwenye ofisi ye serikali wakati watanzania ni wengi, usibane.

    ReplyDelete
  97. Mimi binafsi namshukuru dada-etu kuwa na ushujaa kukosoa kasoro tulizonazo binadamu wote.Pia kwa dada-wetu wengine na kaka zetu walioandamwa,nawapa pole, ila wasikate tamaa wanachokitafuta au kukifanya katika jamii husika.Ninachotaka kukumbusha katika hili linaloongelewa hapa, ni kwamba mtu hasijisikie vibaya.
    That's why is called "blog".Watanzania ni watu wazuri sana,hii lazima tukubali.Maneno kama majungu na mengineyo yapo kila jamii!Nimekuwa na marafiki wa mataifa mbalimbali ambao wana mambo yale yale ambayo tunajaribu kukosoana hapa!Waliotajwa wote: wa-Nigeria,Wahindi,Wakenya wengine Ethiopians,Wazungu wenyewe,Wa-Latino,Wa-Asia wote wana tabia hizo hizo tunazoshangaa!I came to realize,it's human nature to gossip!
    to feel envy!kukwaruzana!even wild animals do the same if I'm not mistaken!So, don't be disappointed!Nowadays, huwa sichukii,baada ya kuona kila jamii na makundi wana tabia hizo.Ni hali ya kibinadamu.Pia,kuhusu kazi, ni kwamba utakuta mtu hajapata direction,hana paper au sababu nyingine husizozijua.Hivyo wa Tanzania ni watu wazuri sana sana.
    MwanaKijiji

    ReplyDelete
  98. hivi mi nashangaa watu kukaa kusifia wakenya,kwa lipi haswa?mimi nimeishi kenya hamna watu wasiosaidiana hata kwa madogo kama wakenya nchini mwao,labda wakiwa ughaibuni wanaaamua kuwa ndugu.ila wakiwa nchini mwao hamna kusaidiana hata kwa madogo.mimi naweza sema watz tunapendana hapa nyumbani ila labda kwa wanaoishi nje ya nchi ndo wanafanyiana fitna.watz tupendane tuache majungu tunapokua ugenini tupendane kama tunavyopendana na kushirikiana tukiwa tanzania.

    ReplyDelete
  99. Anon wa Apr 12, 6:17. na wewe pia punguza kasi ya mameno yako. Unapoongea uongee taratibu utajatukana mpaka mama yako, dadako na shangazilo na wewe mwenyewe bila kujijua unaposema babu Ali "kama mwanamke anatupiana maneno na mwanamke mwenzie," kama wewe mzee wa busara usingepaswa kugusa hisia za watu, kwa kuchanganya waliokuwemo na wasiokuwemo.
    Kwanza hiyo mada ya Hina unayoisema, alieleza ipasaavyo kwani anaonekana anaijua na aliielezea kiasi hata asiyeipenda
    angetamani kuipaka, au kuiona vile aliyokiiongelea, ndipo kwa maana michuzi alimpa ruhusa ya kusomeka humu, kwani alikuwa anafundisha wengine kwa usahihi.Kama uliingia kutoa pongezi kwa mdogo wako da Mwaju ingetosha na wanaokuunga mkono wangekuona una busara na hasa pale ungekumbuka kuwa usilotaka wewe kufanyiwa usimfanyie mwenzako.

    ReplyDelete
  100. Mwl.Mwajuma, hongera kwa kuitumia vema nafasi ya mwanamke katika jamii, but the most, kwa utaifa!

    Maendeleo ya Tz ukilinganisha na wenzetu wa Kenye na Uganda (say, for this tune) hayako chini kwa sababu tunakosa 'upendo' miongoni mwetu. La hasha! Naelewa unachojaribu kufuta ni lugha mbaya humu bloguni, pengine ukitaka pia watu wawe wanatoa mawazo chanya. Naungana na wewe kwa hili.

    Fahamu, tunachotakiwa sasa ni kukazania elimu (ndio maana huko uliko wenzetu wanafanya 'vibarua'), kuitumia vema ICT na kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha vijana wanashika hatamu. For changes! Haya mawazo ya humu blogini watu wengine wanatoa 'kujiburudisha' tu, na sio kweli kuwa WOTE wanaishi wasemayo.

    Perception & Conceptulization! Kila mtu ana fikra zake kimtizamo. Wakati tunafanya juhudi kuondoa uchafuzi wa hali ya hewa humu blogini, ni muhimu pia tuwaze namna ya kuwawezesha vijana, kuwaandaa kuwa viongozi wa rasilimali. HILI NI SULUHU KWA MABADILIKO CHANYA YA HARAKA, nionavyo mimi.

    Nakushukuru, nawashukuru nyote.

    Sev.

    ReplyDelete
  101. We acha kuonyesha uzuri wako. Aisee Kweli ni mzuri lakini. Au Angle michuzi unamwonaje wewe. Halafu ni mwalimu. Duuuuuu!!!! Sijui kashindwa kwenda kusomea Umisi au Law!???? Anastahili kuwa kwenye Kitivo cha Sheria UDSM.

    ReplyDelete
  102. HUY DADA NI MZUSHI, ANALALAMA WATANZANIA OHHO HAWAPENDANI, WANATOA MAONI YA KASHFA, WANATUKANA NA SIJUI HAWANA USHIRIKIANO. MIMI BINAFSI NILIAMUA KUMUANDIKIA E-MAIL DADA MWAJUMA KUMJULIA HALI NA KUMUOMBA TUWE MARAFIKI ILI TUWEZE KUSHIRIKIANA NA KUSAIDIANA KATIKA SHIDA NA RAHA.
    MATOKEO YAKE, KANIJBU E-MAIL YA MITUSI NA DHARAU NYINGI SANA.

    NASHANGAA SANA KUONA MTU AKIHUBIRI USHIRIKIANO NA KUPINGA MATUSI NA KUSISITIZA KUSHIRIKIANA, YEYE AWE NDO MSITARI WA MBELE KUTUKANA WABONGO NA KUWADHARAU. SASA HAYO MAHUBIRI YAKE ANATAKA NANI AYAFUATE WAKATI YEYE MWENYEWE HIYO DINI HAIWEZI?

    UNAFIKI, UNAFIKI, UNAFIKI. TUTAMBUE KUWA WATU HAWA WANAOLALAMIKA HUMU KUWA WABONGO NI WATU WABAYA, WAO NDIYO WABONGO WANAONGOZA KWA UBAYA NA NDIYO SABABU HASA HUAMUA KUSHUTUMU WENGINE KUWA WABAYA, KWA KUWA UBAYA WANAO WAO WENYEWE.

    ReplyDelete
  103. huuyu dada anatuzengua tu.kajishebedua eti yy mualimu maana tunajua montreale hamna kazi wote wanakaa vijiweni nakusubiria miela ya social.hali ikiwa ngumu wanakimbilia toronto kusaka kazi.kwani ww unaongea kifaransu maana hilo jimbo kifaransu tu fisadi mkubwa

    ReplyDelete
  104. montreal mji wa wafaransa, dada vipi hujajifunza kifaransa bado?? ila nasikia ni mji mzuri sana jaribu kutembea miji ya jirani, montreal wanasema one of the sexiest canada.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...