Home
Unlabelled
balozi young enzi zake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo hapo kati ni Mkapa?
ReplyDeleteHiyo suti ya salim ahmed salim asante sana! mkapa mbabe toka zamani cheki anavyotembea
ReplyDeleteAngalia Salim Ahmed Salim alivyokuwa na alivyo sasa, angalia Andy Young alivyokuwa na sasa then angalia Che Nkapa.....
ReplyDeletehako ka jamaa ka tatu toko shoto nina usongo nacho sana! natamani niwe na bomu kiunoni nikajitoe mhanga nikimalize kesi yake nihamishie kwa mola.maana naona Kikwete anakigwaya.huyo ni BABA WA UFISADI TZ!Tukizomee,tukilaani,tufanye kila tuwezacho kwa wale wenye mapenzi mema na nnji hii kukifutilia mbali na mkewe
ReplyDeleteby Mangi
hifi... kale kambegushi kamkapa?
ReplyDeleteKikwete enzi hiyo bado yupo sekondari! Wanoijua hii nchi kina Salim na Nkapa wanatesa si ajabu ni magwiji wa umombo. Nyerere umeibua hawa watu siku nyingi.
ReplyDeleteHivi huko ndio kutembea kidiplomasia? angalia miguu yao walivyonyanyua kwa pamoja kama vile gwaride na yote ya kushoto. Hii nchi kuna wakt ilipendeza sana. wanatembea wakijiamnini sabb ya Nyerere. Wakt huo utarejea tena??? Huyu wa kulia kabisa ni Mwandosya?
ReplyDeleteKatika hao Wanne Mwanzo mmbele kutoka kulia ni 1.Mohammed Ally Foum 2. Benjamin Mkapa 3. Balozi Andrew Young 4. Salim Ahmed Salim.
ReplyDeleteMichuzi, hapo kweli ni Balozi Andrew Young! lakini siku hizi haitwi "balozi", kama sisi wa-Bongo tunavyopenda misifa = BALOZI NI BALOZI HATA KAMA NI WA MWAKA WA UHURU!
ReplyDeleteTumwite "aliyekuwa balozi" au "balozi wa zamani" (former ambassador) na kutaka aitwe kwa jina la wadhifa wake wa sasa! Kama hatuujui wadhifa wake basi tumwite tu Bwana Andrew Young.
Mh Mkapa Ninamkubali tangu enzi hizo namnukukuu"MSIYUMBE WALA KUPOTOSHWA KWA TAARIFA ZISIZOKUWA NA UKWELI"Asante Baba Umeitoa Mbali TZ.
ReplyDeleteSurali ya Mkapa imebana hadi mambo fulani yanaonekana, "ni suruali au ni yeye"
ReplyDeleteNdio maana Mkapa na Salim wanajua umombo kumbe wametoka mbali huyu Kikwete alisoma wapi?maana waliosoma zamani wanajua umombo kasoro Kikwete na Sumaye vilevile kwa lugha ya kiswahili Kikwete hamkuti Mkapa hata maramoja,hii yawezekana Kikwete alikuwa mweupe darasani
ReplyDeleteNkapa anavyoiangalia hiyo briefcase ni kama vile anajiuliza huko ndani hamna dola? (Si unajua tena ugumu wa dola enzi ya Nyerere?) Kisha anajisemea Salim asingekuwepo ningemuambia nimsaidie kubeba.
ReplyDeletealipokuwepo baba ako suti la kimao alipokufa miradi kibao wewe maaa hapa wewe ngoja tu
ReplyDeleteAnony 8:47pm umeongea ukweli ambao nilikuwa sijawahi kuufikiria hivi ulifikiria nini?Anony 2:56pm umenichekesha sana kwa hiyo statement yako endelea na udadisi wa mambo unakufaa.
ReplyDelete