Habari yako Bro' Michuzi,
Naomba Unimwage Kwa Blog kuna rafiki zangu nawatafuta nili-school nao Tambaza Secondary School 1992-1995, Juma S. Mfumia, Honory Severin, Ramadhani Kassimu, Remmy Kibanga, Salehe Mahmoud (Kipengule) na wengineo wengi wanaonikumbuka...Naitwa Tikilo Bartholomew Mwelupungwi, E-mail yangu ni: tikilobarthy@yahoo.com
Shukrani Kaka!


Honory Severin yuko Makongo Juu. Mshikaji safi sana yule!
ReplyDeleteHi Saleh mahmoud nenda kaulizie pale nyumbani kwao magomeni mwembechai nadhani unapajua pale kwenye mabasi yao sijui kama siku hizi yapo .Hata mimi nimemmiss dada yake kipengule nackia aliolewa sinza .
ReplyDeletemamuu.
Remmy Kibanga anafanya kazi D-Link pale harbour View ulipokuwa mgahawa wa Nandozi.
ReplyDeleteTikilo, nitakutumia namba ya Honory kwa email.
ReplyDeleteTikilo, nitakutumia namba ya Honory kwa email.
ReplyDeletekutokana na maoni yalioyo tolewa hapo juu inaonyesha karibu watu wote unaowatafuta wako hapo dar, sasa sijui wewe uko wapi kwani inaonyesha kama uko dar vile vile, sasa kama wote mko dar halafu hamuwasiliani inawezekana wenzio wanakukwepa wewe, kwani umesha pata kazi? usikute wemzio wana kwempa kugongewa fegi
ReplyDeleteMbega
Mdau Tikilo hao jamaa siwafaham ila tu nakupa big up,umejieleza vizuri umeweka watu unaowatafuta na umeweka jina lako pia na contact.hii itasaidia kuwapata jamaa zako. kuna wadau huwa wanaweka tu majina ya watu wanaowatafuta na email zao tu lakini hawaelezi wao ni kina nani. Ulimwengu wa sasa mtu hawawezi kukueleza tu pamkumpata mtu bila kujua anayemtafuta.
ReplyDeleteSamahani, kwa mnaomjua Honory Severin, naomba kuuliza, kutokana na jina la mwiso la huyo ndugu, Je ana dada yake mwenye jina linaloanza na herufi F(sina hakika kama atapenda niandike jina lake kamili au la, nadhani mnanielewa)ni rafiki yangu tulisoma Zanaki miaka ya 90,Pia kuna mtu ametaja Makongo, na huyo rafiki yangu walikuwa wanaishi Makongo Juu,kabila ni Wachaga, tumepoteana tangu tumalize shule,kama kuna mtu anaweza anamfahamu,naomba taarifa zake ampatie Michuzi kwenye email yake na mimi ntazipata toka huko, Asanteni wote wenye moyo wa kusaidia.
ReplyDelete