habari toka mji mkuu wa zambia, lusaka, zinasema kwamba rais wa nchi hiyo mh. levy mwanawasa hajadedi na bado anadundwa na anaendelea vizuri kwa matibabu kwenye hospitali moja ya kijeshi huko paris, ufaransa.


uvumi huo ulioanzishwa na redio moja mbao huko sauzi na kudakwa na vyombo kibao vya magharibi zimekanushwa vikali na serikali ya nchi hiyo ambayo imesema umbea huo sio wa kweli.


mie inglishi iz noti richebo, vinginevyo ningewatafsiria stori nzima kama ilivyo. kwa hiyo anayetaka kujua zaidi na kama kinanihii kinapanda bofya hapa




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 04, 2008

    TOT band ya Zambia inafanya mazoezi kwa kasi (KUJIANDAA KWA MAOMBOLEZO) muda huu pia Ikulu,Barabara,Vichaa na ghasia zote katika mji wa Lusaka haswa maeneo ya Kabwata,Cairo Road,Mutendere bila ya kusahau Burma Road zinasafishwa...
    Inanikumbusha mwaka ule wa(1999)
    Mpenda Keroro...

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 04, 2008

    It is a relief to have him alive. I wish President Levy Patrick Mwanawasa a quick recovery. May the Zambian President get well soon.
    Am remained with one question. How can one publish such a shocking news publicly without confirmation? Very sad.Some people have no morals completely.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 05, 2008

    i know people may find me weird or intimidating but i HATE this behaviour of people kuzusharing rumours.why did people say hes dead in the first place without confirming the news!?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...