"East Africa Summer nite!"
Ile 'party' inayosubiriwa kwa hamu na
East African waishio Houston Tx
is around Tha corner,
bila kusahau Mr. East African In H-town(handsome) atatafutwa siku hiyo, na pia 'couple'ambayo itapendeza zaidi watajipatia zawadi nono (surprise)
Date: 25th July
Venue: Brenda hall
3720 Westpark n' Gesner
(Behind Valero gas station)
Time: 9pm til dawn
Cover: $ 10 Gents,
$5 Ladies
($ 3 u call it a drink!)
tha hottest dj in town dj kaycee gon make it happen!
Pia kwa wale ma'handsome' ambao wangependa Kushiriki katika
'Mr E.A Houston'
wanaombwa Ku'register'
through 281 236 5204
( dj kaycee)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2008

    mwano niliwalaumu sana wale walio wapelaka kwenye warehouse, sasa kiingilio dola kumi utaiingia pary gani ya nguvu? hapa bongo sisi kiingilio kwenye party ya nguvu ni mpaka tshs 50000/= kwa kichwa na bado hata red carpet hupati. Leo dola kumi unataka upate msosi na red carpet? Kweli hawakufnaya makosa kuwapeleka warehouse.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...