Balozi wa Misri Nchini Tanzania Bwana Wael Adel Nasr akijadili jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mh Dkt Batilda Burian, alipotembelea Ofisi yake iliyopo Mtaa wa Mkwepu Jijini Dar jana, kwa mujibu wa mdau Evelyn Mkokoi wa Ofisi ya Makamu wa Rais

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...