Michuzi,
Hebu wewe na wadau chekini hii. Sijui kweli au watu wanatuchafulia CV wa TZ!!??

A machine that catches thieves was invented in the United States of America ; it was then installed in different countries for a test.
USA , in 30 minutes it caught 500 thieves,
Zimbabwe , in 20 minutes it caught 2000 thieves,
Kenya , in 10 minutes it caught 600 thieves,
Tanzania , in 5 minutes the machine was stolen!!!!!!!!!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. What's wrong with it? It is a mere joke... Relax & Take it easy bro

    ReplyDelete
  2. Ni kwa sababu ya rekodi zetu za kuiba Benki Kuu kama vile EPA, Meremeta, n.k

    ReplyDelete
  3. Its a funny joke,i actually thnk there is some truth in that....Tz noma aisee

    ReplyDelete
  4. Please naomba utoe proof ya hiyo test: nani aliifanya? wapi ndani ya tz ilifanyika? lini? na pia haina maana kama wezi walikamatwa zimbabwe inamaana wazimbablwe and vice versa!!

    Hii hoja haina misingi ya kuaminika mpaka utoe ufafanuzi zaidi. please achana na hadithi za abunuwasi hapa...

    Mpaka utakapoleta uthibitisho wa hoja ndio hoja yako inaweza kuwa na umuhimu wa mjadala. PUMBAAAAVU

    G7
    UK

    ReplyDelete
  5. Hahahahahahahah very funny hii inaonyesha jinsi gani wabongo tulivyo na BONGO !! clever people ....

    ReplyDelete
  6. HII SIO UONGO KWANI WATANZANIA NDIVYO TULIVYO NA HAKUNA PINGAMIZI LOLOTE KWA HILO !!!!!

    ReplyDelete
  7. Hizi ni story za vijiweni baada ya kula ugali wa bure mna pass time. ACHANA NAZO.
    Hata hivyo angalia hata ww unaweza kuibwa

    ReplyDelete
  8. ths is just a humour, bro G7 wa ukerewe acha kupaniki mpaka unatukana watu. Cant u thnk and understand that this is a mere joke. By the way, the guy has made my day, tz pple are brainy esp in ufisadi

    Big sam

    ReplyDelete
  9. Wow!!
    Wabongo tuko juu kinoma , kwani mtengenezaji hiyo machine mawazo yake yalikuwa on DETECTION akasahau PROTECTION.

    ReplyDelete
  10. Mimi nilipata email yenye message hiyo kutoka kwa rafiki yangu yuko Malawi lakini hapo mwisho haikuwa Tanzania ...ilikuwa South Africa
    Kwa hiyo unaweza kuandika nchi yeyote unavyojisikia

    ReplyDelete
  11. haha, hii imenikumbusha joke nyingine niliisikia zamani. Bush, Gorbachev na Mwinyi wako ktk small commuter place. Katikati ya safari anga zikachafuka na dira ikawa imeharibika. Kukawa hakuna njia ya kujua wapo sehemu gani. Gorbachev akaamua kutoa mkoni nje, akapigwa na baridi kali. Akajua yuko USSR. Basi akamwambia rubani ampe parachute aruke. Safari ikaendelea, Bush akaweka mkono nje naye. Akagusa paa la jengo refu. Akamwambia rubani, itakuwa tupo New York, nipe parachute niruke. Wakaendelea mbele; Mwinyi akatoa mkono nje. Saa yake ya Gold ikaibiwa. Akamwambia Rubani tupo Dar, nipe parachute niruke :-)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...