Home
Unlabelled
hepibesdei ya kuzaliwa kingoba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Vp kaka Michuzi, KWIKWI imeishaaa??
ReplyDeleteKaka Michuzi
ReplyDeleteNamtakia maisha marefu bwana mgaya, Leo pia ni besiday ya ngosha aka mwanza mwanza aka Fid Q aka fareed kubanda.
Regards
Mdau
Happy birthday Kingoba#
ReplyDeleteMzee hujabadilika kabisa, uko vile vile kama ilivokua Bwagamoyo...hahahah
Paskazi
jamani huyo wa kwanza mwenye shati nyeusi ni halima mlacha?dada anajituma sana jamani Mungu azidi kumbariki daima kama ni yeye.halim a pls tuwasiliane kama ni wewe kwenye emunthali@hotmail.com
ReplyDeleteDaaaaaaaaaaaaaa nimeitamani FANTA hiyo
ReplyDeletebasiday ya uzeenimakubwa
ReplyDeletesweet
Arusha
hongera kingoba, lakini nimefurahi kumuona yule dada wa mwisho mwenye shati nyeusi maulid ahmed, demu bomba yule nilikuwa nampenda miaka mingi lakini nilishindwa kutupa karata yangu nikihofia atanikataa baada ya kusikia ameolewa wakati nilikuwa nataka kutupa karata yangu nikiwa nimeshajiandaa kifedha na maisha mazuri nimeumia sana roho yangu.
ReplyDeleteheheeee! wewe kaka uliyempenda maulid ungepoteza muda wako huyo alikuwa akimpenda boyfriend wake ambaye sasa mumewe na alikuwa haangalii pesa, hata ungetupa karata usingefanikiwa kwanza huyo jamaa yake hata hana pesa lakini demu anampenda tu
ReplyDeleteDada wa pili kulia ni wewe uliyewahi kwa GOORYONG(T) LTD?
ReplyDeletejamaa wa maulid ahmed mlevii lakini demu kafika sio kawaida. lakini jamaa baba yake ni fisadi mmoja hivi pesa ipo kwa jamaa. ndio maana demu unajua tena kafika . elemu napesa sasa hivi hazikupatii demu . kama mwanaume baba mama pesa mwanamke anatokomea . mimi nilimpenda mtoto mmoja wa fisadi aliniacha vibaya hewani kwajamaa ambaye hana lolote. watoto wamafisadi wanapata demu yoyote yule tanzania.
ReplyDeletejamani mimi nilijua tanzania tambarare mbona mmechoka hivyo alhandullilai. maulid pale tsj ulikuwa bomba imekuwaje jamani . hali ya hewa au michuzi mbona unapendeza kila siku waeleze wenzio wapi viragooooooooooooo daaaaaa
ReplyDeletebongo bwana na masiraha(chupa) yenu mnagonganisha kwenye midomo mnaponywea wenyewe mnaona poa tu
ReplyDeleteKuna mdau ametaja kampuni moja Gooryang (T) Ltd nina shida kubwa sana ya ya kikazi nataka kufika ofisini kwao kupata taarifa fulani. Waweza kunisaidia ilipo?? Pia Grphtan Ltd. Telephone no je?? NISAIDIENI WADAU!!
ReplyDelete