Charles Gadi Promotions & Entertainment
Inawatahadharisha wapenzi wa Bongo Flava Kukaa Mkao wa Kula.
Vunja jungu la Nguvu 29 Aug.2008.
Kwa Mara ya kwanza Inawakutanisha wakali wenyeweMATONYA(Tan.)v/s LOLILO(Burundi).
Venue:Den haag Holland Spoor.
Baada ya hapo kama kawaida 30 Aug, 2008 Beach party na nyama choma Utrecht(Hakuna kulala hapo).
Maelezo zaidi yatapatikana hivi karibuni.
Info.
Tel:031634236408
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...