Haya Kaka,

japo zako zimeniacha hoi, lakini nami nikuoneshe hizi nilizotungua a while ago nilipoanza kujishikisha Canon yangu.

Ni machweo niloyanyaka kule Betsville MD. Ila nilikimbia jua kiaina.

Salamu zao Chinyoya, Kibaigwa, Mnadani + Nkuhungu. Lol.
Thanx for your help Brother.
Blessings

Mdau Ughaibuni


-------------------------------------------------------

Mdau Ughaibuni,


asante kwa majibu ya snepu la nguvu. Sijaona tatizo kwani kwenye upigaji picha kila mpigaji ana jicho lake na tafsiri yake. Hizo zangu zinaweza kuwa mbaya kwa wengine na za kwako zikanyakua zawadi. Japo unadai ulikwepa jua lakini kwangu mie kwenye kioo cha kompyuta yangu imetoka chicha kinoma, haina kishawishi (distraction) ambapo kwangu ni hilo jua. Hahahaa.


Nakaribisha picha na majadiliano ya picha kwenye globu hii ya jamii kwa wadau wote mlio wabovu wa masnepu kama sie


Michuzi


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. kaka hayo maeneo unayoyataja mwishoni ni ya dodoma kaka,du!! umenikumbusha mbali sana.

    umesahau maeneo ya kizota,kikuyu,hazina,majengo,makole duuuu na vyeyula.

    duuu siku nyingi sana

    ebwan wadau wa dodoma tuwasiliane kwa titusboniface@yahoo.com

    ReplyDelete
  2. michuzi,i can't hold up any more,speaking of your landscape photos ,men.. they re way over the top ! iam completely blown away! dynamite!
    kwa kweli picha hizo ni za kitaalamu muno! i have seen tons of work from many great photgraphy icons and i must admit your work couldn't be compared!
    kitu kimoja nikuulize sijui kama umeshawahi kusikia kitu kinaitwa 3d textures? basi hizo ni picha eidha za landscapes au ojects surfaces nk siwezi kutaja vyoote hapa picha hizo hutumiwa na 3d animation artist nikiwapo mimi mwenyewe kwenye fied hiyo na nyingi ya hizo huwa zinauzwa na ktk uuzaji wa picha hizo sijaona textures za tropic countries
    jaribu tafuta ktk google uangalie soko la textures wazungu wengi wapiga picha wanshiba kwa hiyo kazi na wakati mwingine wakijua kwamba wewe umespecialise kwa textures za tropic coutries basi wankupa custom order
    kaka michuzi you could be working from home na kutengeneza dollar
    kama unafahamu basi ignore hii messege yangu
    raceznobar

    ReplyDelete
  3. dodoma mambo ni mswano....mnadani raha tupu,...jamani "one way" mnaikumbuka lakini?
    mdau USA

    ReplyDelete
  4. jamani nime up grade toka n95 8gb. to canon 450d nimechemsha?niko happy na speed ila siwezi vuta ngoma kama navotaka!! ni nunue lens ya aina gani? huwa napenda kupiga picha za michezo. na mie si mwandishi hivo najikuta jukwaani mbali na wacheza. naombeni ushauri wa kitaalam but muu weke in way kihiyo wa picha kama mimi ntaelewa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...