
Hii ni katika kuadhimisha mwezi huu mtukufu wa Ramadhani pia ratiba hiyo imebadilika kutokana na Tufani kubwa iliyoukumba mji wa Houston Texas ambao kutokana na ratiba walikuwa wamuhost Kiba wikeend hii.
Kwa kukubaliana na ombi lao basi Ali Kiba atakuwa Houston tarehe 20 na atakuwa Atlanta tarehe 25 mwezi ujao.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu wowote uliotokea!
helpers10 Ent. Inc.,
Shakaentertainment,
JFC Ent.
Akhsanteni!!
Ali Kiba umejitangaza na umepata pesa pia tunakuomba ukirudi Bongo endeleza mziki sio matanuzi wakati ndo huu.
ReplyDeletesababu kuu ya kubadili tarehe ni huo mtanange wa Hurricane na sio mwezi mtukufu.usione wadau humu kama watoto wadogo kwa kutoa sababu za kudanganyia pipi.
ReplyDeletei hope ndugu zetu wote huko Houston wako salama salimini.
Na kweli hata mimi nilimuona huyo aliyeandika hilo tangazo kama mswahili vile. mmmmm
ReplyDeletemara ni kuunga mawazo ya wengi mara ni Ike. Mashow yote ya nyuma kwa nini msiunge mkono mawazo ya watu toka mwanzo......
Acha kudanganya watu and be honesty to yourself na acheni unafiki
Naomba kukusitiza kuwa onyesho litafanyika October 25th na sio September 25th kama mkuu wa wilaya alivyoweka. Tunazidi kuomba radhi kwa usumbufu.
ReplyDeletenadhani kijana Ali ameona kuwa atafanya makosa mbele ya mungu wake kwa kudharau mwezi huu mtukufu kuliko miezi mingine na ameamua kusubiri mwezi mtukufu upite ndio aendelee na kazi yake.
ReplyDeleteAli kiba yuko kazini, acheni kumsakama, watu wengi wanafanya kazi maeneo ambayo madili ya dini zao yanawafunga, LAKINI HUWA HAWACHUKUI LIKIZO katika vipindi hivyo.Muacheni Ali K.
ReplyDeleteI think H-town wanahitaji kujirusha baada ya Balaa la mzee IKE. Ali Kiba usiwangushe.Poleni jamaa yoooooooooooooote huko mlioathirika kwa namna moja ama nyingine.
ReplyDelete