Home
Unlabelled
barabara ya sam nujoma rodi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nashukuru mkuu wa Wilaya ya nani hii kutupa news lakini wasiwasi wangu ni pale Darajani kama napo wamerekebisha vizuri ni wazi foleni itapungua hapo maombi watengeneze na bara baba za mitaani hapo watakuwa wamepunguza foleni hata mjini mimi sie elewi hwa watu wanafikiri nini.
ReplyDeleteMdau
Hapo ndio mnaisififa barabara karibu inaisha na hivyo vifusi pembeni!!? barabara haijamalilizika haina sehemu ya waendao kwa miguu au waendesha baskeli kwa ujumla ni uchafu mtupu.barabara itaharibika kirahisi sana pindi mvua zitakapoleta balaa yake...jamani hamuoni barabara za wenzenu?
ReplyDeleteKweli Roma haikujengwa kwa siku moja. Halikadhalika Dar nayo haitajengwa kwa siku moja.
ReplyDeleteMji unazidi kupendeza. Miaka 50 ijayo itakuwa kama New York
...waweke na drainage system, siyo mvua ikinyesha maji yote yanazagaa barabarani
ReplyDeletenaona ma-engineers wengi humu ndani...hehehe
ReplyDeletePia naona mafisadi wameamua kusamehe chache zitumike kuleta maendeleo kidogo
WEWE 6:47 UNAUHAKIKA KUWA NEW YORK HAIZIDI KUJENGEKA? HIVYO SISI TUTAWEZA KUIFIKIA? HILO SAHAU KABISA, KWANZA TUANZE KIFIKIA BAADHI YA MIJI ILIYOPO AFRICA KITU AMBACHO PIA NI NDTOTO KWANI NAYO INAZIDI KUENDELEA. WAZO LAKO NI SAWA NA LILE LA WATANZANIA WALOTAKA TUSIJIUNGE KATIKA SOKO LA EA MPAKA MIAKA ISHIRINI IJAYO TUTAKAPOWEZA KUIFIKIA KENYA, LAKINI KENYA NA UGANDA ILYOKUWA SI LOLOTE WALA SI CHOCHOTE ZINAENDELEA KWA KASI, ILA KITU KIMOJA TULICHONACHO NI UBISHI WA KUTOKUBALI UKWELI, HUO NAO UNAENDELEA KWA KASI HAPA NCHINI.
ReplyDeleteWabongo hawana shukurani, hawabebeki, hawaambiliki, hawaeleweki, hawaoni!! Angalia kama huyo mtoa maoni wa 2! Kwa taarifa yako barabara hii Tanzania hakuna nyingine!
ReplyDeleteKweli wabongo hatuna shukrani.Mimi nadhani serikali ikifanya kitu kizuri tuisifie.Barabara za Kilwa,mandela,na hiyo ya Sam ni hatua nzuri.Majengo ya kisasa yanajengwa.Forget about America,Europe,Mimi binafsi nimetembelea miji mingi ya Africa.Dar inazidi majiji mengi ya Africa!Majiji mengi ya Africa yalijengwa na wazungu wakati wa ukoloni,sisi tunajenga wenyewe(Hatujihamini ndiyo tatizo).Tumeshakuwa na dhana mbaya eti Dar haitaweza kuifikia New York(Pourquoi?).Mdau kasema ukweli.Kidumu chama cha mapinduzi.
ReplyDeleteNadhani hao wanaodhani ulaya na marekani barabara zao zilikuwa safi mara moja nadhani wanachemsha. Pia hao jamaa hawakujenga barabara siku hizi mbali wanakarabati tu kwani barabara zao nyingi zilijengwa zamani. hawana ujenzi mpya kama sisi so huwezi kulinganisha mtoto aliyezaliwa akarithi kila kitu toka kwa babake na yule ambaye kalelewa na wazazi wakambo kisha wakamuibia kila kitu, including wamewafanya watoto wake wasiwaze mapya mbali ya kusifia familia ya baba wa kambo.
ReplyDeleteNasikitika sana nikisikia watu wanaoisifia kenya kimaendeleo utadhani kama kuna kitu kikubwa sana. Nawaambieni tembeleeni kenya na mujaribu maisha kenya kama mutaweza. Serikali yao inapesa lakini watu wake afadhali bongo watu wanabangaiza wakatoka.
wakenya wengi walio huku walikuja kama wakimbizi baada ya maisha kubana kule, just ongea nao and uende ukaone. sasa uganda inakipi chakusifiwa!!!
Please bongo inaprospect safi sana tukitulia tukafanya mambo badala ya majungu!!
G7
!!!!!!