JK akimkaribisha kwa mazungumzo Rais Paul Kagame wa Rwanda hotelini jijini New York kwake leo
JK katika mazungumzo na Rais wa Burkina Fasso, Blaisse Compaore
JK akisalimiana na aliyekuwa mayor wa harlem ambaye alijitambulisha kuwa yeye alikuwa rafiki mkubwa wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
JK akimkaribisha waziri mkuu wa Denmark (samahani, sio Norway) Mh. Anders Fogh Rasmussen
JK akifanya mazungumzo na profesa Michael Kazatchkine, mkurugenzi mtendaji wa global fund, mfuko unaoshughulikia masuala ya ukimwi, kifua kikuu na malaria. pich zote na mdau John Lukuwi wa Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kaka Michuzi hapa naona umekosea kidogo huyo hapo juu ni Waziri Mkuu wa Denmark siyo Norway.

    ReplyDelete
  2. shukrani za dhati kwa Bw.Lukuwi idara ya Habari Maelezo kwa update.

    ReplyDelete
  3. Mmh sasa mbona tunadanganyana...MAYOR WA HARLEM???? e bwana mbona hivyo wewe

    ReplyDelete
  4. Na yeye anafanya speed dating kama Sarah Palin? Tulionyeshwa picha tu hihi hihi bila sauti....Tuambie basi wanaongea nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...