PASSAGES OF CULTURE :
CALL FOR PHD APPLICATIONS

TO THE INTERNATIONAL PARTNERSHIP NETWORK ON MEDIA AND MEDIATIONS OFCULTURE IN AFRICAN SOCIETIES
Please send your application by September 30, 2008 as a word orpdf-file by
e-mail to: passages@unibas.ch

To discuss your application or any other details please contact
Prof.Liz Gunner at WISER,
email

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. NANI ANATAKA KWENDA SOUTH AFRICA AMBAKO WATU NI WABAGUZI WA WA-AFRICA WENZAO WALIOWAFADHILI WAKATI WA SHIDA, SASA WAMEPATA UHURU WANAUA WA-AFRICA WENZAO KAMA KUKU. MWAMBIE HATUTAKI AENDE ZAKE HUKO.

    ReplyDelete
  2. Profesa Liz Gunner ni mtaalam anayetambuliwa na kuheshimiwa duniani kote katika masomo ya fasihi na fasihi simulizi za Afrika na somo la utamaduni wa Afrika kwa ujumla. Amefanya utafiti kwa miaka mingi na amechapisha makala nyingi na vitabu muhimu sana. Kwa miaka alikuwa katika Chuo Kikuu cha London, upande wa masomo ya Asia na Afrika (School of Oriental and African Studies). Ushauri wangu, nikiwa ni mtafiti na mwalimu katika masomo hayo, ni kuwa fursa hii iliyotangazwa ni muhimu na ya pekee kwa yeyote anayetaka kujielimisha kwa kiwango cha juu katika masomo hayo. Imebidi niseme hayo kutokana na ufahamu wa miaka mingi wa kazi za Profesa Gunner, kwa manufaa ya wadau wa blogu hii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...