Home
Unlabelled
pinda akiwa namibia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hii style ya kuweka mkono mfukoni wakati unasalimiana na watu ambayo mheshimiwa rais anayo sasa naona na mheshimiwa waziri mkuu anaiga. sio tabia nzuri jamani
ReplyDeleteMAZUNGUMZO KWENYE PICHA YA JUU KABISA:
ReplyDeleteMh Pinda: Kuna Bwana mmoja alikuwa anapiga piga picha sana itakuwa ulishamwona kwenye Sherehe mbalimbali pale Dar.
Mh Zindonga: Ehee kafanya nini tena huyo Bwana?
Mh Pinda: Naye kateuliwa kuwa balozi kama wewe
Mh Zindonga: Kapelekwa Nchi gani?
Mh Pinda: Zain
Mh Zindonga:Zain ni nchi gani?
Mh Pinda: Ni Kampuni ya Simu, alianza na ukuu wa Wilaya
Mh Zindonga: Wilaya gani?
Mh Pinda: Kuna Wilaya mpya tumeanzisha Njia ya kwenda Bagamoyo kabla hujafika Bunju
Sie TANCUT tumeiua bila sababbu za msingi na tuna madini zaidi ya aina 100 yote yanakatwa nje ya nchi.Aibu gani hii?Hebu viongozi wetu TAZAMENI!
ReplyDeleteJamani,swali kwa wadau mliosoma Mlimani shule ya msingi (Chuo kikuu) miaka ya 90-2006: Hamuoni kama Mh.Pinda anafanana na mwalimu Nyamzaba?
ReplyDelete