tuko kwa jide na obama wetu paul james wa power breakfast ya clouds 88.4fm na wengine toka shoto ni kassanga bwalya, saidi tuli, nanihii, paul james 'obama' na zamunda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. mhh,,, na wewe! hiyo fulani ulipewa na mganga wako wa kienyeji nini!! Kila kona unayo na sijui kama huwa unafua! Lohh

    ReplyDelete
  2. Daaah,kumbe huyo ndo PJ, wa clouds FM? Afu jamaa anaonekana chapombe kishenzi. Ashaanza kujiita Obama kwi-kwi-kwi

    ReplyDelete
  3. Oyaaa Zamunda Njoo Utusaidie Kulea Watoto Zako Ulioacha Sweden

    ReplyDelete
  4. zat is a new fulanazzzzz!!!!!

    ReplyDelete
  5. Chapombe nini anaonekana "TEJA"!

    ReplyDelete
  6. OBAMA ATAMBE

    ReplyDelete
  7. Naomba kuuliza huyu Zamunda ndio yule aliyekuaga na DCM_daladala Songea, Lililokuwa nilafanya safari kati ya Songea Mbinga??? miaka ya 94-95??

    ReplyDelete
  8. Ebwana huyo ndio PJ kumbe,dah jamaa anaboa ile kinyama.Kipindi kimekuwa hakina mvuto tena maana jamaa anajifanya kujua mambo kibao wakati ni Zero,Gerald kila wakati anamshushua,halafu wameleta na binti mwingine Barbra ndio awe kama Fina vile.Yaani sio siri,kutokuwepo kwa Masoud and Fina kwenye kile kipindi ni bonge la pengo.

    ReplyDelete
  9. Habari za Saa hizi Michuzi, huyo wa kwanza ni Nyauba au John Mwansasu sio Bwalya kama ulivyoandika.

    ReplyDelete
  10. e bana paul james mbona umechooka babu........ umechonga sana sikuamini nilivyokuona obama... nakukumbuka enzi za azania

    ReplyDelete
  11. PAUL JAMES WA FLORINA KAMBIRA OHIO CLEVELAND

    ReplyDelete
  12. kwa jide wapi nyumbani kwake?

    ReplyDelete
  13. PAUL JAMES SIMU YAKO NGAPI TUKUPIGIE MAANA YOU LOOK LIKE YOUR GOOD IN BED

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...