Hongereni kaka Maggid Mjengwa na Alex Mayunga kwa kuonesha ujasiriamali kwa vitendo katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa raisi Marekani.
Mmeweza kutumia nafasi na wasaa ipasavyo!
Waweza kutizama CNN Video hapa:
Mdau Subi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mweee Obama atawatajirisha wengi ...kama Mjengwa ameuza vitabu more than 50,000 for a $1.50 a piece mweeeee sasa hivi si kashaukata ....Obama ushindi wake unanyanyua wengi bwana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...