Home
Unlabelled
safarini (sio vekesheni) mwanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Naam...hapo bora kuliko San Francisco...na kweli MZ / TZ tambarare, Mungu ibariki TZ...hata kama watoro wabeba maboksi wanaikosoa nchi yangu!
ReplyDeletebadala ya kuweka sign za barabarani wamejaza matangazo ya simu, sasa tutaendelea lini wakati tunahitaji kuzijua sheria za barabara?
ReplyDeleteNa utakosa sana visa kaka anon wa kwanza hapo juu,najua visigino vya viatu vitakuwa vimesagika soli upande mmoja,mbu wako inzi wako.. lazima malaria na typhod viwe vinakuhusu tu wewe..na samaki wa mafungu gengeni wale wenye chachandu (pilipili ya limao)nyiiiingi ukila inawasha tu ukiwashwa ndio unakuja hapa kuwapaka hao unaowaita wewe watoro kumbe mtoro ni wewe ulietoroka raha ukazikimbilia shida zikakugeuza ndio rfk yake kipenzi sasa umezizoea kiasi unazipigia debe zipate rfk wengine wapya kama wewe vile
ReplyDeleteWabongo bwaba. Yaani kama toto tundu wote. Check annon number mbili juu hapo. badala ya kusifia kuwa kweli mwanza bomba anawezka vizingiti! Bongo fujo tupu.
ReplyDeletewe Anon 12:35am u made my day!
ReplyDeleteMheshimiwa MiGRAVY umeniacha hoi sina mbavu!
ReplyDeleteHa!ha!ha!MBalozi umenikumbusha Boogie Disco hapo Deluxe Hotel mwanzoni mwa miaka ya 90, nilikuwa sikosi kila jpili mchana. Kwa kweli mwanza inabadilika sana, si ajabu kusikia ndio mji unaokua kwa kasi east and central afrika
ReplyDeletekwa kweli naungana na mtoa comment hapo juu. Matangazo ya biashara yamezidi hasa hasa za simu barabarani kuliko sign za bara bara.ndio maana ajari kibao barabara aina sign yoyote .speed limit, zebra cross wamakaria tu kutangaza biashara.
ReplyDeleteCOOl COOl COOL!! I like this God bless the one who fight for it to make it done.
ReplyDeleteBro. Michu usisahau kupata SAMAKI CHOMA mwanza institute pale wanakuwa fresh na bei poa, vijana social, ua kurumba Lakairo au vizani kwa waneneee huko kama pochi inakubali nenda mwanawane, utafurahi mtoto wetu, kitu roho inapenda.
ReplyDeleteAh kwani sikuhizi kuna mushkeli abui kila kona mataa utapenda, yaani pale jiji siku hizi kukabana hamna tena, mambo hazarani tuu tangu machemba road mviringo, balewa road mpaka isamilo airport road panameremeta khuyui, hehehehe hivyo ndovyo tutakavyo sio kiza totoro.
ReplyDeleteyan mwanza apa naskia ni uzunguni mboni maendeleo???
ReplyDeletekulikua vumbi,mabonde balaa.now swaaafi km nini!!!
sasa michu ndo nini unajipiga picha alone??airhostess hawakuwepo kukupiga pic???dah teh teh teh,,cheki nyuma mhindi mimachona uyo wa pemben waogopa pic sijui ni wale washtakiwa wa EPA nao???hahaaa
umefikia wapi???apo???
sasa izo gorofa ndo pekee mwz nzima
we Michuzi na wewe kafisadi! kila siku safari! haukai ofisini, itabidi tukuchunguze.
ReplyDeleteohoooooo! usihofu just jocking!
Hivi kuna mambo ya soli kuisha?? Duh, sijaenda bongo siku nyingi sana
ReplyDeleteMnaolalamika kuhusu ukosekanaji wa alama za barabarani,hebu tuambieni mlitegemea kuona alama gani zaidi ya hizo chache zinazoonekana pichani?
ReplyDeleteBy the way,hayo matangazo yote yanalipiwa na ndizo pesa zinazotumika ku-"maintain" hizo taa.
NOW YOU KNOW!!!
halafu mbona mnaokaa huko nje ya tanzania mna ashuo sana! nyie wakimbizi wa kiuchumi mna tofauti gani na sisi ambao tumesettle in tz.
ReplyDeletemi nimeshaona watu wangapi wana toka marekani / uk, wana shangaa shangaa na kutamani kurudi bongo. i quote " bongo siku hizi kuna kila kitu"
acheni kujishaua, u r just cheap labourers for the wazungu.
why don't u come to bongo and we'll see how long you are going to last. kama wengine hamtaishia kuolewa tu... si lolote si chochote.