KUSITISHWA KWA UCHAGUZI WA WAJUMBE KUMI NA TANO (15) WA HALMASHAURI KUU - NGAZI YA TAWI LA CCM LONDON (UK)
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi, Tawi la London (Uingereza)
Nachukua nafasi hii kuwafahamisha kuwa uchaguzi wa viongozi wa kudumu wa Wajumbe Kumi na Tano (15) wa Halmashauri Kuu - ngazi ya Tawi la CCM London (UK), kama ulivyotangazwa awali kuwa ungefanyika pamoja Mkutano Mkuu wa Tawi huko London, Jumapili tarehe 16 Novemba 2008 umesitishwa (postponed), mpaka hapo tarehe mpya itakapotolewa.
Hii ni kutokana na sababu zilizoshindikana kupatiwa ufumbuzi wa haraka. Tutawajulisha mapema kuhusu tarehe mpya. Tunaomba radhi kwa usumbufu uliotokea, na pia tunashukuru kwa ushirikiano wenu. Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mdau hapo kiswahili naona kinautata.labda na mimi pia sielewi vizuri..ila nadhani hiki kikao kimehairishwa sio kusitishwa.
    Asante

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...