Home
Unlabelled
ze original comedy watinga mahakamani kisutu kurekodi kipindi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
NIMEFURAHI SAAAAAAAAAAAAANA KUMUONA HUYO JAMAA WA KATIKATI AMERUDI ITAKUA NZURI SASA KAMAMWAZO ZE COMEDY
ReplyDeleteAngalia ze original comedy wakifanya mambo yao www.eastafricantube.com
ReplyDeletenyie nyie nyie!
ReplyDeleteDu! hawa watoto kazi kwelikweli!
ReplyDeleteHawa jamaa ni wazuri sikatai, lakini sasa ni kama sifa zinawazidia wanaanza kuigiza kupita kiasi.. mkumbuke too much on anything is always hamful, igizeni kama mlivyokuwa mwanzo, namkubali zaidi Joti kwa sababu hajalewa sifa kama masanja... Mh Masanja is too much.. halafu the most boring ni Mpoki especially anapoanza kuchora uso wake kijinga, unajua sio kuvaa kijinga ndio uchekeshe
ReplyDeleteAHA, KUMBE INARUHUSIWA KUCHEZA NDANI YA ENEO LA MAHAKAMA WAKATI KESI ZIKIENDELEA. HII SAFI SANA.
ReplyDeleteHivi wanatapa ushauri wa Manji kabla ya kucheza michezo kama hii?
ReplyDeleteTumeishaiona hii yao ya mahakamani.....ki-ukweli walishindwa kuiweka vizuri labda kutoka na unyeti wa eneo lkenyewe waliloamua kuchezea...ila kwani ilikuwa ni lazima mchezee pale kisutu?.....Halafu nyie mbona mmelewa sifa....kile kimbelembele cha kuanza kuingilia status za mashirika ya ndege (ATC)...mlitumwa na nani nyinyi??...kule hapana bwana...SIYO KAZI YENU.....subirini FUTUHI wawatoe JEURI yenu......HOVYOOO!!!!
ReplyDelete