mie na wewe tu, wanaonekana kusema wadau euince na felician baada ya kumeremeta wikiendi hii katika kanisa la mtakatifu theresa na baadaye kwenye mnuso hoteli ya naura springs
felician akimbeba mai waifu wake ambaye ni potebo

mapozi ya nguvu


maharusi na wapambe


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Hivi ni we mtoto wa marehemu mzee Nyabamba aliyewahi kufundisha kule Utegi,Tarime.

    ReplyDelete
  2. felicien hongera sana karibu utu uzimani kaka.mimi nimekukumbuka kutoka pale makumira high school kumbuka mambo ya CONSO BOYS? pia nilikuwa jeshini na kaka yako pale OLJORO combania moja ya DANGER.
    mwambie MIWANI KIJANA WA KINAMA tuwasiliane
    1-780 756 4863
    hongera sana karibu wa uvumilivu kila la heri wewe na mkeo

    ReplyDelete
  3. TUMSIFU YESU KRISTO! Hongereni sana maarusi mmependeza sana nawatakia kila la kheri mungu ailinde ndoa yenu.

    ReplyDelete
  4. Ukosefu wa bahari Moshi na Arusha unapelekea watu kupiga picha zao kwenye vifuta shoto (Vi- keep left" "round about". Moshi wanapigia pale Mnara wa Azimo la Arusha au Askari kasheshe ilitokea walikuwa wanapigia askari siku moja gari ikakosa break ikaua mtoto aliyekuwa anasimamia kweli ni hatari tuwe makini

    ReplyDelete
  5. Hii tabia ya kupigia picha kwenye round about ni mbaya sana. Moshi mtu alikufa. Kwani Hotel zenye madhari nzuri wanakataa mkienda??? Mmependeza

    ReplyDelete
  6. Bwana harusi ameoa katika umri mzuri sana nadhani utatulia na mkeo hongereni

    ReplyDelete
  7. Bibi jinsi ulivyomkumbatia iwe hivyo siku zote. Hongra

    ReplyDelete
  8. Mmependeza sana na inaonekana sherehe ilikuwa bomba sana! Felician hongera kwa kupata jiko potabo, sasa ulilinde, ulitunze na uliheshimu ili liendelee kukuhudumia bila kuchakaa. Mchezo wa viwanja na pombe sasa uishe kwani sasa umeingia katika kundi jingine. Ninafurahi kuona mmoja wetu pale tulipokuwa tunazisaka nondozzzzz pale St. Joseph kapiga hatua muhimu ktk maisha. Ninakutakia mema katika yote. hebu tutumie picha zaidi.

    ReplyDelete
  9. Anthony majembe hongera sana kwa mdogo wako kufunga ndoa tunawakaribisha wote kwenye maisha ya utu uzima
    kila la kheri
    Anthony majembe,kijana wa kinama,nipigie basi namba hiyoo hapao juu au 1 780 756 4863
    heri na fanaka ktka maisha yenu mapya

    ReplyDelete
  10. Jamani Felician HUyu ni yule ninayemfahamu aliyewahi kuishi sinza kwa akina Nyangarya Makoba?
    Kama ni wewe hongera sana.!!!!!

    ReplyDelete
  11. Mr.and Mrs.Felician hongereni sana mlivyopendeza hivyo na mlivyofurahi hivyo iwe hivyo for the rest of yr life. Namshukuru Mungu kwani nilikuwepo na nilishuhudia mkiapa kanisani na jinsi tulivyojichana pale Naura.
    All the best.

    ReplyDelete
  12. hongera sana NYANGALIA.
    BIG UP. Umependeza bro umerepresent st. Jose nasi tuko nyuma ako

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...