wakazi wa baghdad wakisoma habari za viatu alivyotupiwa rais bush
Rais Bush akikwepa kiatu cha kwanza
Mwandishi Muntazer al-Zaidi TV binafsi ya al-Baghdadiya akimpopo Rais Bush kwa viatu


Mwandishi wa Iraq aliyempopoa Rais George W. Bush kwa viatu amekuwa gumzo la nchi hiyo, ambapo waandamanaji wamemsifia kama shujaa wa taifa lakini serikali imemwita 'mnyama'.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 23 mpaka sasa

  1. Hapa inabidi nikubaliane na Bush aliposema kwamba, hayo ni matunda ya kuwa huru !

    Je hiyo ingewezekana wakati wa utawala wa Saddam Hussein ? Ama tungeshuhudia mwanahabari huyo na ukoo wake wangebadilishwa kuwa "endangered specie "

    ReplyDelete
  2. HAHAAA IT IS SO BAD THAT IT DIDNT HIT BUSHS FACE HAHAHAAAA

    ReplyDelete
  3. ndugu yangu unasema nini wewe?hata mimi ningefanya hivyoni uonevu tu iraq,hakuna kitu wamarekani walichopeleka huko zaidi ya kunajisi nchi ya watu.

    ReplyDelete
  4. ndugu yangu unasema nini wewe?hata mimi ningefanya hivyoni uonevu tu iraq,hakuna kitu wamarekani walichopeleka huko zaidi ya kunajisi nchi ya watu.

    ReplyDelete
  5. JOJI ANAJUA KUKWEPA UTAFIKIRI NINI SIJUI AU WALIPANGA NINI?....DU MEI BI..

    ReplyDelete
  6. Bush anajua kukwepa hadi inafurahisha. Kweli jamaa mjeshi

    ReplyDelete
  7. anonymous wa kwanza, na unaadhani hivi sasa yupo salama? serikali zote mbili zinamchubuwa ngozi kwa sasa na si hasha hata akarushwa cuba kisiri siri

    ReplyDelete
  8. Ili kuonesha wako tofauti na Saddam, wamwachie huru au ahukumiwe watu wote wamuone kwa kosa la utovu wa adabu kwa Kiongozi basi! Ama sivyo hakuna tofauti kati yao na Saddam! Jamaa alishikwa na ghadhabu kwa maneno yao!

    ReplyDelete
  9. litizame lisura lake hapo mwisho limetahayari kwa aibu!
    kupigwa viatu ni matusi/dharau ya mwisho kwa waarabu!

    ReplyDelete
  10. hahahaaaa
    jaman bush mbona kazi anayo??ila yuko fit "bizzare moment",ni kweli annon ulosema yan now anasulubiwa kufa mtu mayb eshanyongwa kbs na asipatikane milele mwishoniii miaka ata 5 mbele ndo mayb tutajua ilikuwaje.yan wavomnyakua dah!!!
    jamaa alimtukana hadharani "wee mbwa hii ni busu la mwisho la kukluaga"
    ehsachubuliwa ngozi kbs

    ReplyDelete
  11. Hayo ndio matunda ya sera mbovu za nje Marekani kujifanya wao ndio waungu wa dunia.Wameharibu Iraq pia wanauwa watu,wanabaka hata mimi ningefanya kama huyu muandishi.

    ReplyDelete
  12. I believe that Journalist received the beat of his life after the scene...dayuum!!!

    ReplyDelete
  13. hahaaa yaani ktk funga mwaka yangu naona hii imechkua namba,nampa big up kijana mjonalist aliyetumia silaha ya kiarabu kumtoa nishai hahaaaa aah naye amezidi ugaidi then anaona wenzie ndio magaidi,bt namie ningefurahi zaidi km kingempata,ila nifunisho la kuiaga dunia hiyo hahaaa

    ReplyDelete
  14. Huyu jamaa kanifurahisha sana, japokuwa serikali yake wamemwita mnyama, mimi naungana na wananchi wa Iraq kuwa ni shujaa. Big up sana.

    ReplyDelete
  15. yaani mshkaj angekuwa na gun sasa hivi bush ni maiti,da! dunia ya wapenda amani ingefurah kwa sababu hakuna njia ya kumuhukumu bush zaidi ya kifo kwa mauaji yake kule afghanstan na iraq ya watoto na vikongwe wasio na hatia yoyote kuuwawa kwa mabomu ya B52,ni nani jasiri wa kumfungulia mtu huyu mashtaka kwa maovu yake dhidi ya wanadam,kwani hiyo Un ipo nyumbani kwake new york. imani yangu asipouwawa siku moja basi Mungu Mwenyezi atamuhukumu kifo cha udhalili kama alivyokufa Ronald Reegan.unajua reegan alikufaje? dunia haijaambiwa ukweli.

    ReplyDelete
  16. MIMI NAMPENDA BUSH NI MTOTO WA MJINI . BABA YAKE MWENYEWE ANAKOMA NAE . LAKINI SIO UTANI SASA HIVI MNAOGOPA AMERICA UKISEMA NYOO HE IS UP TO YOU . BUSH ATAMWACHI KWA SABABU MAREKANI FREEDOM OF SPEECH NA HUYU KAKA ASHAENDA JELA SANAAAAAAAAAA. SIO MARA YAKE YA KWANZA

    ReplyDelete
  17. Wallah huyo bwana akitoka huko sehemu za siri "Kengele Za Bwana tena"

    ReplyDelete
  18. Mamaaa... Bush enzi za Marede angeliza watu. Maana watu wangezinga paka wakome, machejo yake ni hatari.

    ReplyDelete
  19. Jamani mkumbuke Bush ni mshikaji wetu wa karibu. Watu si tulijipanga kumpokea na mamilioni tukayala. Rafiki ni wakati wa shida na raha, kama alivyosema mzee hii inaonyesha kwamba Iraq sasa kuna uhuru.

    ReplyDelete
  20. hahahaha safi kabisa thats wat u get paid for when u decide to treat people like animals sijui kwa nini mjonalist hakulenga vizuri amtoe macho yote hayo amezidi sana hahahahaah still cant stop laughn too funny my highlight for 2008 wamsamehe tu mjonalist hilo likichaka linabahati haikuwa silaha la sivyo cha moto angekiona lol

    ReplyDelete
  21. duh,asije akajaribu kwetu,atagombaniwa kama mpira wa kona,tena mechi yenyewe liverpool na manyuu.umtupie kiatu mheshimiwa???

    ReplyDelete
  22. we anon wa kwanza unasema nini hata baadhi ya wamarekani wenyewe wamefurahi kuona huo mchezo, na kwa jinsi Bush alivyoiweka nchi na hali ya uchumi hakuna anayempenda kwa sasa ni basi tuu.... mi nimecheka nilivyoona nikajuwa kweli jamaa COWBOY teh teh heeee

    ReplyDelete
  23. to bad he missed i wish he will hit his ass!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...