Home
Unlabelled
nondozzz nottingham
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
jamani "Chuo Kikuu cha University of Nottingham" ni sawa na kusema Chuo Kikuu cha chuo kikuu cha Nottingham sasa hiyo ni lugha jamani?
ReplyDeleteWaschana bwana kwa kumechisha, ona dada Halima alivyotilia kipochi kinachomechi na jalada la graduation...
ReplyDeleteHongereni na karibuni nyumbani.
JK
hivi ndio vyuo watu wasome uk sio affiliated college.
ReplyDeletehongereni
ReplyDeleteKUMBE WAISLAM NAO WAKO KWENYE ELIMU? SAFI SANA.
ReplyDeleteOngera sana Halima...am proud of you. Aramais wa Netherlands ;)
ReplyDeleteMkuu hii blog pamoja na kazi yake ya msingi ya kupashana habari pia ni darasa la lugha na sio kijiwe kisicho na mwelekeo. Ndio maana watu wengi wanatembelea hapa ili kujijuza na hayo niliyoyataja hapo juu. Inasikitisha sana wewe mkuu wa kaya kuendelea kwa muda mrefu kupotosha lugha yetu ya kiswahili, mfano unaposema 'Chuo kikuu cha university of Nottingham',tunaweza kuvumilia unapochanganya lugha lakini sio huu upotoshaji wako. Chukulia hii kama changamoto na sio kuanza kujitutumua kuwa unafundishwa kazi
ReplyDeleteWe unayesema ''hivi ndio vyuo watu wasome uk sio affiliated college'' NAona unamlenga kaka Alli Abdallah anayewakilisha london school of commerce (afltd uni of wales.) mambo hayo sio mwanangu, Mind your business... waafrica bwana, Affiliated uni ya UK utafananisha na zile za mlimani kwenye camera moja wakati mnasoma degree ya Multimedia? au mnafundishwa na maprof wasiogundua hata dawa ya ukoma na Muhimbili kuna kitengo cha utafiti????? exposure muhim unaposoma kaka, libraries na full equip ziejaa huku, (mind you sipondi vyuo vya africa ila nashangazwa kila siku kuona maprofesa wanaota vitambi tu wakati raia wanakufa kila siku kwa magonjwa ya kutibika.... mpaka leo hata neti ya mbu wanaagiza wataalamu kutoka china.. na kama zinatengenezwa nchini ni za kuzuia mbu wa ukubwa wa mende), sio kufelishana makusudi kwakuwa prof anamtaka dem, huku ulaya hakuna mambo hayo, chuo hakisajiliwi kama hakina standard na vifaa vya kutosha... affiliated UNi ni sawa na Uni yenyewe manaake wakifanya vibaya kwenye affiliated ndio hayo hayo.. cheti hakiandikwi affiliated cert.... Halaf Kuna mshamba kasema Eti waislamu nao wanasoma siku hizi.... Hivi udini mtaacha lini wajameni... get your life dude......Hongereni Wadada kwa kumaliza MSc, lakini ushauri ni kwamba mkijue mlichosoma tu manaake ujuzi sio kwenye cheti, ujuzi ni yaliyobaki kichwani na kuput in practice...
ReplyDeleteMdaU
Mimi mkristo lakini bwana hapo juu anayehoji kusoma kwa waislamu kwa kifupi ni MJINGA. Wangapi miongoni mwetu tumepata fursa ya kusomeshwa hata mpaka chuo vyuo vikuu na waislamu waliobobea katika fani mbali mbali. Hii inadhihirisha tu ubaguzi na mapungufu ya mtu. Inasikitisha kwamba wakati ambapo ilitupasa kusherekea mafanikio ya dada zetu hao watu wajinga kama huyu bwana anapewa nafasi hapa
ReplyDeleteHalima we una akili saana, we si ndiye aliyepata GPA=5.0 pale coet. Hongera saana.
ReplyDeleteannon wa 18,2008 11:32PM wacha mambo hayo!
ReplyDeletewatu munaumia saaana na waislamu!ulegee na dhana zako potovu hizo kua waislamu wako chini kimaendeleo!
watu kama nyie ndio huwa chanzo cha ubaguzi wote unaotokea tanzania...
akiona majina ya kiislamu tu oo sijui hivi sijui vile!
shut up and live your life...
hivi watu wengine kweli wako serious au vipi. kwa mfano huyo anaeuliza kama wasichana wa kislam wanaenda shule. for your information my friend hapo tanzania kuna wanawake wengi wa kislam
ReplyDeleteambao ni madaktari, lawyers etc. na hii haikuanza wakati huu peke yake. pia kuna wanawake wengi wa kislam ambao wako kwenye madaraka
serikalini. sina haja ya kuwataja. fanya reserch yako
Kwa kweli mimi sijaona kwanini mnakuwa mnabishana kwa watu ambao hawatawasaidia jamani...hivi watanzania kwanini mnakuwa watu wa kujadili maisha ya watu kila siku wakati kwenu kule Mpunguti au Segera watua wanakufa kwa kukosa tu msaada wako huo mdogo unaopata kwa kubeba mabox hapa ulaya....hawa kama wamepata Masters ni za kwao na ndugu zao na nawashangaa kwanini wameziweka hapa kwenye notice board ni ujinga na wala hakuna ishhu ya maana kwa wao kujianika hapa........Mimi mbona nina PhD kutoka Quebec University lakini sijaamua kuianika hapo? Wadogo saaana ndio wanaoweza kujikweza tu lakini wakubwa huwa wanakwezwa na wakati huo hawataki kukwezwa.Na wewe unayesoma chuo cha Affiliated pole sana umeacha vyuo vya maana kule Africa kisa unasaka Exposure unakuja kusoma VETA za Ulaya? Pole sana kaka kwani kule kwetu sijui kama watakitambua hicho chu na nafikiri ni vyema usake kazi za kusukuma mabox huku huku Ulaya.....pole sana kaka....kisa ulaya ulaya....ulaya yenyewe ndio hiyo? Na wewe na GPA yako ya 5 sisi haituhusu kwani hicho cheti ni chako na wazazi pamoja na familia yako nina maana wewe na mumeo ndio mnatakiwa kujua GPA zenu jamii hii haihitaji kwani kila mtu akiamua kuonesha GPA yake hapa na kuscan vyeti vyake na kuvituma kwa michuzi itakuw balaa sana kaka.....poleni saaaana watanzania----wasaidieni wadogo zenu waliopoteza dira kule tanzania..........nawewe unasema kule ud kuna camera moja tu ya kuoneshea ni noma kaka.
ReplyDeleteAnon unaeshangaa waislam kusoma elimu dunia kwa kweli mbona bado hujashangaa, utashangaa sana tangu primary na secondary school zote za misheni a.k.a St. watoto wetu wamejaa kwa sana na maandalizi na changamoto mliyotupa ndo yanaanza kuzaa matunda hapo unapoona na kushangazwa,Mji ninaoishi shule zinazofanya vizuri ni zaidi tatu ni za kiislam na ndugu zetu wakristo, wanasomesha watoto humo humo na wanafata maadili yetu mpaka ushungi wanavaa ili apate muradi wake, bila kuangalia tofauti na misingi ya dini yake na hatubaguani, Ah tunakusamehe tu, kwani baada ya miaka kumi mbele mshangao wako utakwisha kabisa kabisa, Rai yangu kwako jifunze kumuelewa na kuheshimu kila mtanzania mwenzako.
ReplyDeleteHajjat mtarajiwa
we anonymes wa sa 11:32 acha upuuuuzi na ushamba kwa taarifa yako wasomi wakubwa wote watokao katika nchi yako ni WAISLAMU usitake tukaanza kubishana mambo ya dini hapa eboooo huoni aibuu umewaona waislamu ndo vilaaza eeh!
ReplyDeleteMhh, naona mnasifia Halima tu, na Habiba Je, Na kwa taarifa yenu huyo aliyemechishia Pochi na Gauni ni Habiba na wala si Halima.
ReplyDeleteHongereni sana. Wote mna aakili sana.
kwa yule aloleta comment ya waislamu, mimi nasema nilidhani wajinga kama wewe hakuna tanzania.
ReplyDeleteHONGERA HALIMA!
ReplyDeleteKG.
Ladies hongereni sana!!! I was proud to know of your graduation, please keep up the good work and may the Almighty Bless you in your future endeavours.
ReplyDeleteBrother Michuzi, nadhani uwe una-screen vema comments za wadau wako. Huyo jamaa ” anon. Wa December 18, 2008 11:32 PM” anayeanza kuleta masual ya dini ni mtu mbaya sana na anastahili comment yake hata isionekane kwenye public. Please, screen all comments and leave out garbage. Publish sensible and educative or constructive comments. Anaposhangaa wasichana wa kiislam kusoma, namshangaa sana. Kuna maprofesa wengi sana akina mama wa kiislam au graduates katika levels mbalimbali. Huyu jamaa yamkini hata form four atakuwa aliferry mitihani na anaanza kuleta mambo ya ajabu ajabu hapa.
ReplyDeleteMdau
annon wa 18,2008 11:32PM hivi wewe unaishi ulimwengu upi? unakinaisha na unasikitisha sana. sikudhania kama kuna watanzania wenye akili finyu kama wewe.
ReplyDeleteHABIBA ISSA!!! Hongera sana! hivi kwanza umeacha kucheka you Miss Genius. longtime Kinondoni Primary School, text me ur number I miss your laugh 00353876777717.
ReplyDeletewewe anonymous wa december 19, 2008 10:22 am unaejidai una PhD kutoka Quebec University kama kweli una PhD basi nakupa pole kwa muda wote ulopoteza kusoma maana hujaelimika. umeandika utumbo mtupu, wewe umeona wapi kama wameweka masters zao hapa?walichofanya ni ku-share their joy with us, kufuzu masomo sio mchezo na unapofanikiwa sio kosa kufurahi na wenzio. hapo kosa lipo wapo? wivu mbaya ndugu yangu.
ReplyDeleteHalima na Habiba hongera sana. Mmekula nondozzzzzz la kikweli kweli. MSc. Computer Science sio mchezo. Na pia Halima unaoneokana unamvuto sana binti. Kweli Mwenyezi Mungu aliumba maana mtu akikuangalia mara moja tu tayari posa linapelekwa kwa wazazi. You are so beatiful. Pozi uliloonyesha nadhani wadu wengi watakubaliana na mimi. Brother Michuzi leta basi contact na detail za hyu binti tafadhali!
ReplyDeleteMdauzzzzzzzzzz
1.Mnastahili pongezi.
ReplyDeleteakina dada.Hongereni sana
2.ninatofautiana kidogo na mchangiaji anaesema "karibu nyumbani".Si lazima kurudi Tanzania .They can be anywhere where they find greener pastures.After all,elimu haina mwisho.
3.Nimeskitishwa sana na mchangiaji aneyeoji ikiwa ndugu zetu waislamu wanaenda shule.Inaonekana bado hajafumbuka macho.Wapo waislam wengi sana nchini kwetu ambao ni wasomi na wanaendelea kusoma.Ninamshauri wakati mwingine afanye research kidogo kabla ya kutoa maoni yake.
4.mtizamo wangu ni toafauti kidogo ni mchangiaje anaependekeza kuwa maoni kama haya kuhusu dini yasiruhusiwe.Mimi nahisi ni vema maoni kama hayo pia yanapoandikwa,Michuzi asikatae kuyatoa.Kwani mwandishi ameandika kile anachokiamini.Na kwa njia hiyo,wadau wengine wanaweza kumsaidia.Na hii pia inasaidia kujua sentiments ambazo zipo ndani ya jamii yetu ambazo lazima kuzi-address kikamilifu ikiwa tunataka kujenga jamii mpya yenye mtizamo chanya.
prince aba wa ruba.the son of africa.
mwaka 2010 hauko mbali sana, ni miaka arubaini na ushee toka tupate uhuru na bado kuna watu tanzania kama anonymous December 18, 2008 11:32 PM, hivi kweli tanzania tutaendelea?
ReplyDeleteWE KALAGABAHO HIVYO HIVYO ETI WAISLAM NAO WAKO KWENE ELIMU!!!! UTASHANGAAA SANA NA BADO
ReplyDeleteAffiliated college hazina exposure kwani huwezi kukutana na wazungu-waingereza unakutana na wafrika unaowasagia hapa.
ReplyDeleteKWELI WAISLAM WANA SAFARI NDEFU KIELIMU HILO HALINA UBISHI. WAMECHAGULIWA MAKATIBU WAKUU JUZI JUZI MBONA MUISLAM ALIKUWA MMOJA TU KAMA WAMESOMA WANGEKUWA WENGI. HAMKUONA WAKRISTU?
ReplyDeleteWAISLAM HII NI HATUA NZURI JITAHIDI MKO NYUMA AU MSOMI WENU NI ISSA MICHUZI? MKUU WA WIALAYA YA TEGETA?
hivi we unayesema kwenye hizo collages hukutani na wazungu,we unataka knowledges au unataka kukutana na wazungu?mitaani/kazini si wapo au we unatakini nini....?
ReplyDeleteMdau,
UWIC.
hiyo Phd ya Quebec University UTAKUWA TU ULISOMA ONLINE NDIO MAANA UMECOMMENT UPUUZI KULIKO WALIOLETA MAMBO YA DINI, SASA ULITAKA WAKASOME HUKO Tz MSc IT MAANAGEMENT IFM? ETI CHUO CHA FEDHA NACHO KINATOA MSc COMPUTER SCIENCE! KUMBUKA COMPUTER SCIENCE UNADEAL NA ULIMWENGU NA HII SI MBA,
ReplyDeleteMZEE KAMA WEWE BAADA YA KUWAPA MOYO VIJANA ULETA WEHU...
HONGERENI SANA DADA ZANGU MNATUPA MOYO NA SISI TUSOME..LETENI PICHA ZAIDI ZA MANONDO YA UKWELI,
CHANGE WE NEED
heeeee wewe anonymous 11:32 ni katika wale waleee wakristo wachache wenye akili finyu. Watu kama nyie you always think waislam ni wachafu, wezi, washamba, hawajaelimika na maskini. Mkimuona muislam aliye successful utakuta mnasema 'sikujua kama wewe muislam' hufananii kabisa! Maanake muislam anafania na kibaka sio...! Uzuri wa waislam hawajikwezi kama baadhi ya nyie wenzetu, ambao ni dhahiri kutoka kwenye kauli yako umejaa dharau na kujikweza. Basi kaa ufahamu kuna waislam kibao wake kwa waume walio juu na bado wanamcha Allah na wanawake zao wanajisetiri kwa shugi ndefu baadhi yenu zinazowakwaza! habari ndo hiyo...!
ReplyDeleteNimesoma komenti zoote nimegundua bado chemebechembe au mbegu za udini zilizopandwa wakati wa ukoloni hazijaisha. Hii inaonyesha japo serikali yetu ni sekyula, lakini watu binafsi wanaweza kutumia madaraka yao vibaya na kufanya ubaguzi wa kisiri usio na ushahidi.
ReplyDeleteJapo hayo hulaumiwa serikali za kikoloni lakini nahisi katika mshule ya serikali wakati wa mkoloni hapakuwa na ubaguzi. Ubaguzi ulionekana katika shule zilizomilikiwa na dini mbalimbali ambapo ni mbegu mbaya zilizopandwa kwa miaka 70. Sihisi hawa viongozi wa dini hii kama watapata ujira mzuri kwa Mungu. Kama tatizo lilikuwa ni idadi ya waumini, basi wangesomesha tuu watu halafu wakafundisha dini kama somo halafu mtu achague mwenyewe kubadili dini. Utaona bado kuna chembe za mfumo mbaya kwenye shule za seminari ambapo wasio wakristo (waislamu na wapagani) hawapewi nafasi na pia wanafunzi wanaoelewa taratibu hawasaidiwi bali hufukuzwa: huduma gani hii sasa kwa jamii?
Ndipo Marehemu, baba wa taifa, akaanzisha azimio la arusha 1967 na kutaifisha hizi shule za ubaguzi na kuzifanya za umma ili pawe na usawa katika elimu.
Serikali inatakiwa itengeneze sheria itayowabana watu wataoonekana wanaubaguzi wa kidini hasa kwenye huduma zitolewazo na serikali (shule, hospitali, mahakama, ajira, magereza, n.k.) ili chi yetu iwe ya kisekyula hasa. Nchi nyingi za magharibi zina sheria hizi ndo maana watu wengine wanasema Waislamu wahamiaji wananufaika zaidi UK na US kuliko walivyo katika nchi zao za asia na afrika.
Ndiyo, hapa serikali inatakiwa kupunguza "Dibagula effect."
ReplyDeleteDibagula effect ni nini? Ni hali ya mtu mwenye madaraka ya kiserikali kutumia mamlaka yake vibaya kwa sababu za kidini. Mfano mzuri, yule hakimu aliyemhukumu Dibagula kule Morogoro alikuwa anajuwa hukumu ni miezi 6 yeye akaongeza mwaka zaidi. Sihisi kama hili lilikuwa ni kosa lisilo makusudi kwani nadhani hakimu hakuwa mwamuzi tuu bali alicheza pia katika timu ya mashtaka. Na nadhani sababu kubwa ilikuwa ni udhaifu wake wa kidini. Japo Mahakama kuu ilibatilisha hukumu kwa kuwa adhabu ilikosewa, rufaa ya Dibagula ilionyesha hakukosea (did not ofend but critiqued). Sasa haitakiwi kuwa hizi effects zitibiwe na maandamano ya kila siku bali serikali ishughulike. Japo maafisa magwiji wa hii effect hupinga kuwa ipo badala ya kuchunguza.
Japo debagula effect inaweza kuwa inawaumiza saana wapagani na waslamu, lakini panaweza kuwa na waslamu wanaofanya mchezo huo iwe ni kwa uanzilishi au kwa kisasi.
Dibagula effect inaweza kupatikana hasa katika offisi za hudma za kiserikali kama Hospitali, polisi, mahakamani, mashuleni, kwenye vyama vya siasa n.k.
Mfano wa effect hiyo katika siasa ni pale watu wanapomkataa mgombea kwa kusema hafai kiwazi lakini kisiri ni kwamba si dini yao. Hii husababishwa na ukweli kuwa dini ni mfumo wa maisha na fikra pia.
TUJENGE NCHI YA AMANI
CHA KUSIKITISHA JAPO KUNA USHAHIDI WA LITERATURE, BADO KUNA WATU WANAPINGA KUWEPO NA UBAGUZI WA ELIMU KIDINI WAKATI WA MKOLONI. SIJUI NI KWA SABAU YA KUHISI DINI NI SAFI SAANA HAZIWEZI KUKOSEA AU KUONA AIBU ILI KUSAFISHA DINI?
ReplyDeleteWE UNAFIKIRI AZIMIO LA ARUSHA LILIKUJA KUFANYA NINI?
KIMSINGI DINI ILIYOKOSEA INATAKIWA KUWAOMBA MSAMAHA WANANCHI KAMA KANISA KATOLIKI VATIKANI LILIVYOOMBA MSAMAHA JUMUIYA YA WANASAYANSI DUNIANI KWA MAUAJI YA KIKATILI KUWA SAYANSI INAPINGA DINI.