Utafanyika mkoani Dodoma kwenye ukumbi wa Royal Village Hotel siku ya tarehe 24/12 ambapo itakuwa ni mkesha wa krismas.

Wasanii watakaokuwepo siku hiyo ni Mangwear, Dully Sykes, Mchizi Mox, Jay Moe pamoja na Makamua.
Wakazi wa Dodoma hii ni zawadi yao ya krismas.
Asante
Saraphia(Mratibu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...