
katuni mvumilivu hula maumivu. Kwa hawa wazee wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki nadhani kwao ile methali ya mvumilivu hula mbivu sasa inakuwa mvumilivu hula maumivu! Katuni zaidi wadau karibuni www.nathankatuni.wordpress.com
nathan mpangala akiwa oslo. anauliza sanamu kama hizi zingekuwa manzese ingekuwaje? 


Je na sisi wenyewe ukilinganisha tabia zetu- zinabadilika tunapokuwa ughaibuni na tunpokuwa Manzese?
ReplyDeletemanzese wala hawaitaji hiyo wanahitaji bomba za maji
ReplyDeleteWewe Nathan,
ReplyDeleteMbona unatukandia sisi wakazi wa Manzese? Kwa taarifa yako hayo masanamu sisi hatuyamind kabisa tena kama ya chuma tungeyauza vyuma chakavu ASAP! Vipaumbele vyetu si masanamu ila ni ajira tupate japo msosi mmoja wa kueleweka kwa siku, maji safi na salama ya bomba, zahanati zenye dawa na wauguzi wasio na matusi, mitaro ya maji taka, eneo la kutupa taka, viwanja vya michezo ili watoto wetu wasivute bangi...
Kaka Mpangala hawa jamaa waingereza nadhani kwao maadili F kabisaa maana hata masanamu kama haya yamezagaa karibu UK nzima hadi Library. tena ziko uchi kabisa
ReplyDeleteweee chizi nini???ulotoa sura yako apo
ReplyDeleteyan ushawaona wezio wa manzese ndo wanataka huo ujinga wa mipicha yenu ua uropa tena unapiga picha apo kuonyesha nyie wabeba box kazi mnazofanya uko ~~'''@@**'###zako sana,,,
yan ukienda nje baaaaasi wajiona umefiiiiika,,watu twaenda km sokoni tuuu na bado tunawathamini tulikotoka,,
annon ulomjibu apo nini manzese twaitaji SAAAAAFI SAAAAANAAA
dont bring here this crap ever again