JK akimweleza jambo Diwani wa Kata ya Mbweni Hashim Mbonde baada ya kula nao chakula cha jioni kilichoandaliwa na madiwani wa Dar usiku kuamkia leo. Katikati ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Adam Kimbisa ambaye nyuma yake ni mbunge wa Temeke Mh. Abbasi Mtemvu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Jamani Mr President is handsome..ai!White looks good on him..

    ReplyDelete
  2. kweli kiinglish is not reachable...wapi na wapi lanchi ni chakula cha usiku!
    heri mimi sijasema.........

    ReplyDelete
  3. Hivi lanchi ya usiku ndio nini?

    ReplyDelete
  4. lanch mzee ni mlo mkuu unaweza kuwa jioni au mchana, hii ni kwa wale wanaojua na kutumia hii lugha kama yao, au kwa wale wenzetu wajerumani wanatumia neno moja ''das Vesper'' wakimaanisha chakula kinachofuata baada ya ya cha asubuhi, ingawa neno lenyewe linamaana ya jioni.neno hili sio 'die Vesper' ambayo ni sala za jioni.
    Basi hii ni lugha za watu ni bora kutathimini kabla ya kuosoa.

    ReplyDelete
  5. Anonymous 11:30 pm Sasa wewe unachanganya mambo, kwa wanaojua lugha mlo mkuu wa mchana unaweza kuitwa DINNER uwe ni wa mchana, jioni au usiku. Na lunch ni kwa mchana tuuuuu.

    ReplyDelete
  6. nyie annons mnajua saaaaaaana kiinglish nawashangaa sana,,,anyway tutajuaje wee ni mbeba box?
    michuzi lunch ni chakula cha usiku?na dinner ni nini??au ndo yaleyale ya American inglishi na British inglishi??hahahahaaaaaa
    madiwani wa nchi hii!!!!ila JK kwa minuso na mizunguko shikamoo.
    WANAUME WEUPE

    ReplyDelete
  7. Nakubaliana na Anoymous 1:39 am Sisi wabeba mabox tunalipa school dinners za watoto wetu huku ughaibunui. Watoto hupata hot food na jioni watoto wa huku hupata chakula light (tea and supper) ila wa kwetu wanapata mchanganyiko ugali, wali nk... si unajua chakula cha mswahili huwa ni jioni au usiku.

    ReplyDelete
  8. haya bwana ni sawa lunch ya usiku is correct kwa wenye lugha yao! mbona siku izi tumekua watanzania wawili tena sisi tunaokaa nje tunaitwa wabeba mabox? haya wenzetu nyie wa ofisini. mr kikwete umependeza

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...