
Jumapili 22 February 09 at 14.30
Tunafurahi kuwakaribisha kwenye Ibada ya Kiswahili, itakayoongozwa na Mchungaji Tumaini Kallaghe, kutoka Ibada ya Kiswahili London akishirikiana na Ev. Felix Kallaghe na Moses Shonga
Njoo tumwabudu Mungu katika Roho na Kweli, mapambio na nyimbo mbali mbali. Wagonjwa na wenye shida mbali mbali wataombewa.
Baada ya ibada tutashirikiana kwa vinywaji na vitafunio.
Watu wa madhehebu yote mnakaribishwa.
Hexham Community Centre
1a Bamburg Close,
Whitley Reading, RG2 7UD
http://www.stanneslutheranchurch.org/
020 7606 4986 or 07983087998
For information:
http://www.stanneslutheranchurch.org/
020 7606 4986 or 07983087998
For information:
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...