toka shoto ni mashaka, adolf mbinga, prince mwinjuma muumini na deo mwanambilimbi.
hawa ni wanamuziki ambao walikuwa Mchinga Sound and ambapo leo jioni katika ukumbi wa Vaticani City uliopo sinza wataikumbuka bendi hiyo ikiwa ni pamoja na kumpa pole aliyekuwa mmiliki wa bendi hiyo Mudhihiri Mudhihiri ambaye alikatika mkono kwa ajali ya gari wakati alipokuwa ikielekea jimboni kwake.
kisiki cha mpingo, fadhila kwa wazazi..oh I cant wait
ReplyDeleteLilikuwa gunia la misumari baadaye likamshinda Mh. Mdhihir!!!
ReplyDeleteJamani wana mziki wetu sijui wakoj wamechoka mbaya.
ReplyDelete