Home
Unlabelled
membe na bendera washiriki kili marathon
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hongereni kwa kutoa misaada pia,
ReplyDeletehii marathon niliiona mara ya kwanza kwenye 2002/3 sikujua kama ingeendelea na kuwa maarufu hivi.Nilichopenda zaidi ni point ya kusaidia yatima.
Sasa jamani utakimbiaje Marathon na Mkanda na suruali ya kawaida badala ya Track-suit? mbona makubwa haya..si suruali itakukata nanihii zako wakati unakimbia?
ReplyDeletewaziri alikosa track suit ya kukimbilia wajemeni?kaulamba na mkanda halafu marathoni wapi na wapi?
ReplyDeleteHata mie nimeshangaa yaani Waziri kapiga suruali ya kaki na mkanda juu as if anakwenda pub jioni:-)
ReplyDeleteWangalimpatia track suit kama Mzee mzima Mgosi Bendera...
YANI ANNON WA #1 NA #2
ReplyDeleteKAMA MLIKUA AKILINI MWANGU,,YAN KUONA TU IYO PICHA NKACHOKA KABISAAAAAA!!sooo funny hahahahaaa
"kweli kusoma si kuelimika" yan alikulupushwa au hana track?au ndo uzee?
hii ni aibu tena pic iko published ktk newz-pepaz zinazosomwa na watu wenye akili zao
hahahahaaaa,bongo mteremko