Kwa mara ya kwanza hapa Denmark, TANDEN ikishirikiana na DJ Prince Anil, inawaletea live koncert ya msanii wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongo Flava Ali Kiba.


Koncert itafanyika tarehe 02.05.2009,

Kulturhuset Kilde,

Nygårds Plads 31,

2605 Brøndby (ni karibu sana na Brøndbyøster Station)


Uchakavu ni Kr. 150

Koncert itaanza 21.00.


Baada ya koncert kutakuwa na Disco litakalopigwa na DJ Anil(TZ), DJ Dennis (Kenya) pamoja na DJ DizzoB(TZ). Fikeni kwa wingi bila kukosa.
Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti yetu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Poa ok Anil mzee wa totoz. Jamani wabongo mkiona tangazo hili basi muwaambieni na wengine mimi nishakaaa mkao wa kula......

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 07, 2009

    jamani ali kiba yuko ulaya mpaka lini??kuna mtu anaweza kusaidia kunipa contacts zake,au promoters wake?!?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...