mdau akiperuzi toleo la Kwanza Jamii kwa makini kabisa. Wachunguzi wa mambo ya habari nchini wameelezea kwamba tayari gazeti hili limeshajikita katika chati ya magazeti yanayosomwa sana nchini, japokuwa lina umri wa chini ya mwezi moja.

Katika KWANZA Jamii juma hili soma yafuatayo;

-Wabunge 27  hawajawahi kuuliza swali lolote tangu
mwaka 2005 wakiwa Bungeni, Ni akina nani hao na kwa nini? Soma KWANZA
JAMII juma hili.

-Je,Wajerumani waliacha mali za  thamani katika
misitu na ardhi ya Tanganyika? Eliaman Laltaika,  Mchambuzi na mtafiti
wa masuala ya mali- bunifu anakupa majibu.

-Usikose pia makala elimishi na zenye kuburudisha za
wachambuzi na waandishi mahiri kutoka ndani na nje ya Tanzania kama vile;
Professa Charles Muttabazi Bwenge, Professa Masanzu Matondo Wa Nzuzullima,
Dr. Bukaza Chachage , Bi. Subira Feruz, Bi. Subi
Sabato, Jeff Msangi, Freddy Macha, Padri Privatus Karugendo, Joseph
Mihangwa, Maggid Mjengwa na wengineo.

Wahi nakala yako ya KWANZA JAMII leo hii!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. wakubwa kila nikijaribu ku google hili gazeti jipya sipati,naomba mwenye kujua link aweke hapa tuendeleze libeneke, naona lina wataalam sio mchezo... inabidi wamuajiri mashaka pia... kidding!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...