Mtoto wa Mama Bishanga Bwana Kilian Kamota mgosi wa Tanga alimeremeta pale Walsh University Ohio alipokabidhiwa nondozzz ya MASTERS OF FINANCE AND STRATEGIC MANAGEMENT. Mama Bishanga aliwachanganya wazungu pale alipopiga kile kigelegele cha kiafrika huku akipepea kitenge chenye bendera ya Tanzania hicho alichoshika hapo kwenye picha.
mdau Kilian Kimota baada ya kula nondozzz zake
Mama Bishanga akiwa na Kilian Kamota baada ya kula nondozzz. Wengine kwenye picha ni Papaa Martin Yohana na Mr Joe Ngwilizi.
Congratulations Kilian. Job Well Done!
ReplyDeleteDuuuh Huyu Jamaa alikuwa Mwenyekiti wa serikali ya wanafunzi Minaki enzi zetu. Hongera kaka. Mgeta - UK
ReplyDeleteMuya naona mambo si mchezo.
ReplyDeleteMama Bishanga tabasamu mpaka jino la Christmas limeonekana. Mtakuwa mlizinywa mpaka asubuhi
ReplyDeleteHongera Sana Muya...Mungu akujalie maisha marefu na kukuongezea busara mara dufu. Many are called but few are chosen one who is the object of choice or(of divine favor : an elect person.Wakilisha Kaka...Mwezako akinyolewa nyele tia maji... I Salute you Comrade !!! Mama Hongera kwa kutupa Kamanda.Aluta Continuer...! Gluck Muya!!!
ReplyDeleteA pie/chapati too many?
ReplyDeletejamani wadau wa ughaibuni niambieni, maana napenda vigelegele lkn ninavyosikia huko ughaibuni hawapendi makelele sasa kupiga vigelegele sio kelele kwao? maana naskia wenyewe hawapendi makelele, sasa hapo haiwezi kuwa ishu ukafatwa hata na police? nisaidieni wandugu.
ReplyDeletemdau dar
Kumbe mpaka Marekani kuna akina Papaa .......! Mi nilifikiri ni Tanzania na Congo tu!
ReplyDeleteJAMANI NISAIDIE WADAU HICHO KITENGE NIMEKIPENDA WDAU NIELEKEZENI WAPI NAWEZA PATA KWA HAPA DAR, MAANA KARIAKOO ZIMEJAA WAX ZA NIGERIA NA CONGO
ReplyDeleteWasambaa wamezidi!!!!!
ReplyDeleteKaka nimekubali kaka.
ReplyDeleteKeep it up man!!Naona darasa letu linazidi kutesa tu(form 6-Minaki).
Hongera sana kaka.
Nduguyo,
Hamza.
Kilian,
ReplyDeleteHuyo jamaa wa pembeni hapo sio Lushinge huyo?
Duh,Long time mazee.
Hamza.
Watoto wa Canton naona mnajitahidi kufuata nyayo za kaka zetu. Good job vijana
ReplyDeleteMzee muya naona bado mwendo ni uleule-kasi ya unyoya. Safi sana.
ReplyDeleteMusa
Sweden
Naona timu ya makamanda wote wa Canton mli-gather 2gether. Samahani sikuweza kufika wazee.
ReplyDeleteSaleh
Naielewa furaha ya mzazi kwa mwanae kufanikiwa hivyo,natamani mama yangu angekuwa hai anione mwanae nikigraduate soon,umenitoa machozi mama.
ReplyDeleteHongera zenu wote wewe na mwanao kwani si safari rahisi,
Mungu azidi kuwajalia.
Kilian
ReplyDeleteHongera mwanangu, Watoto wa Mjale naona tuna muhenzi sana Mzee wetu.
Kazi haiishii hapa Kijana! Lazima gurudumu tulisogeze kuelekea kwenye Mvinyo Town.
Those year ilikuwa Serikali ya Wanafunzi, 2015/2025 itakuwa ni serikali ya Wananchi.
Good job
Mdau AL
Hongera Kilian! Hongera Mama Bishanga! Aisei, hata mimi nikienda kwenye shughuli za wanangu napigaga vigelegele. Watu wengine wanaogopa....mama moja (tena mweusi) kaniambia, "I'm scared of you!".
ReplyDeleteMama Bishanga I know you are proud today! Mungu awabariki.
hongera sana kaka yetu kilian.big up sana and stay blessed......dada yako itika mwakasula..
ReplyDelete