2134: FULL-TIME Chelsea 4-4 Liverpool (agg 7-5)

2133: FULL-TIME Bayern Munich 1-1 Barcelona (agg 1-5)

brother Michuzi,

Kabla ya wengi hawakuanza kuleta bwabwaja zao juu ya matokeo ya usiku huu nimeamua kukuleta email hii kukupa pole sana tena sana, lakini pia kuwapa hongera timu zote mbili kwa kutuburudisha ya kwa mechi safi, speed na magoli mazuri. kusema kweli timu zote mbili zimeonyesha udhaifu wao katika ulinzi, na kirahisi tungeliona jumla ya magoli zaidi ya kumi na mbili usiku huu.

Mdau Zenj


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 34 mpaka sasa

  1. Tehe Tehe tehe, Weka na picha sasa....

    ReplyDelete
  2. Subirini mpaka mwakani!

    ReplyDelete
  3. Pole sanaaaa mzee wa " You will never walk alone". Ndo ukubwa huo. Muhahahahah

    ReplyDelete
  4. Baba UbayaApril 14, 2009

    gemu ilikuwa tamu mno kuiangalia.raha ya mpira magoli lkn pia ile hali halisi ya mchezo ndo ikaongeza chachandu zaidi.
    CL izi ova sasa iliobaki turudishe nguvu ktk EP.
    walete hao wachonga magobore hiyo J4 tuwape mkono(5).

    "LFC 4 LIFE"

    ReplyDelete
  5. Sio mbaya sana kwa sababu mmeendeleza ile kanuni ya 4 * 4 * FAR lakini mmetolewa nje ya OUT kwenye kombe la UEFA cup

    ReplyDelete
  6. tehetehetehe, yaani muwatoe Real Madrid halafu mkachukue kombe, nani kasema. huo ni utaratibu mkuu ukimtoa Real Madrid manake umejilaani mwenyewe.

    ReplyDelete
  7. chelsea hamchukui ubingwa timu yenu bado, hiyo nina uhakika anayebisha tupinge

    ReplyDelete
  8. Mbona husemi vizuri mkuu?? au usingizi umekushika??

    ReplyDelete
  9. Pole sana Bwana Michuzi..ndo ukubwa huo,maana asiyekubali kushindwa si mshindani..ndio mjifunze next time msiwe mnaongea sana..maana kuwafunga Real Madrid mliona ndio mmemaliza kila kitu..kumbe kazi iliyokuwa mbeleni mlikuwa hamuijui..teehhh..ehhehe..weka picha basi..

    ReplyDelete
  10. Hongera Chelsea.Dah lakini mbona mna-dive kuliko madiver ktk olimpiki.Ya disgrace fungus.Jumamosi tutawafundisha mpira katika FA cup.Viva Arsenal.

    ReplyDelete
  11. Kaka Michzi mbona picha hakuna leo? Weka ya Lampard basi.. Ama?

    ReplyDelete
  12. eti chelsea hawachukui ubigwa,put ur fact straight mate.,haha ngoja ni kanywe bia vijana wangu wamenifuraisha, 7 hahaha safi sana

    ReplyDelete
  13. Pole sana kaka!! Inauma kufunga magoli 4 away na kutolewa.

    ReplyDelete
  14. mdau tottenham haleApril 15, 2009

    te te te te michuzi. mzee wa tottenham hale- london nawakilisha. pole mzee. lakini ktk kila kinyang'anyiro chochote lazima kuwepo mshindi. pia liverpool mmedhihirisha yale yale aliyowahi sema Maurinho kuwa Liverpool hamwezi kucontest vikombe zaidi ya viwili kama Man UTD. sawa mzee?????????

    ReplyDelete
  15. Baba UBayaApril 15, 2009

    Cheski wakiweza kurekebisha makosa ktk difensi watawatoa tu Barca.sema kwa difensi kama ya gemu hii ya leo cjui nani atakayemzuia Etoo na Messi.dont 4get Henry atataka sana kung'ara watakapocheza London.haha
    anyways,kila ki2 kinawezekana.

    Final, all English teams(Arsenal VS Chelsea).Wadau wa Manure sorry,mtashinda na Porto lkn mtatolewa na Arsenal.teh teh

    "LFC 4 LIFE"

    ReplyDelete
  16. pablo ilukuuApril 15, 2009

    pamoja na kwamba wametoka, liverpool wamedhihirisha kuwa bado ni timu tishio na ya kuheshimika.

    ReplyDelete
  17. Jogoo alikua mbishi sana kufa leo, keshanyoyolewa manyoa na maji ya moto wapi anachomoka ili akimbie, hadi kile kisu kinachoitwa lampard kilipotenganisha kichwa na shingo!. Nimeamini ukitaka kumchinja jogoo wa kienyeji usitumie kisu butu,na hakikisha umetenganisha kichwa na shingo mapemaaaa.

    ReplyDelete
  18. Tushukuru mungu lile shuti la Alex liliishia nyavuni.Laiti lingekua off target jamaa angepata kesi ya mauaji!
    Thanks liverpool mmeupamba usiku wa jumanne ya tarehe 14! never say die spirit! maana hata Benitez alishakubali baada ya goli la tatu la Chelsea,akaona arudishe bunduki yake ya Kispaniola kabatini baada ya kuanza kupata kutu!

    ReplyDelete
  19. Another trophy less year for liver fools, hahahahaaaa.
    carling cup out, fa cup out, champions league out na premiere Manu anawasanifu kwenye site mirror. Mwaka huu mnawoki aloni.
    KWISHNEHIIIIIIIIIIII!!!!!!!!!!

    MKAUZE UTUMBO SASA, MAINI HANUNUI MTU.

    Mdau SKONYO Helsinki.

    ReplyDelete
  20. I told you before that u will never walk alone Michuzi,because there is so many blue lions called Chelsea at the bridge,unaona sasa!!

    ReplyDelete
  21. Mkereketwa Yombo VitukaApril 15, 2009

    BARUA YA WAZI KWA PETER NALITOLELA
    ________________________________


    WADAU HONGERA SANA KWA KUSHINDA TIMU YETU, ILA JIHADHARINI SANA NA PETER NALITOLELA MUSOMI WA MUZUMBE ATAKUJA KUDAI KWAMBA YEYE NA US-BLOGGER NDO WAMEFUNGA MABAO, KWA SABABU SIKU HIZI WAMEGEUZA KIBAO KWAMBA WAO NDIO WAMESOMA OXKFODI NA MUZUMBE NA HUKU NDIO MA MBUMBUMBU WA UCHUMI NA KIINGEREZA

    WEWE PETER NALITOLELA, NADHANI UTAPATA AMANI UKIFUNGA ARUSI NA MLIMBWENDE RAY-C AMBAYE AMECHUMBWA NA MWANAHARAKAIT RAIS MTARAJIWA 2015 JONI MASHAKA,

    LAKINI CHUNGA SANA KWANI WEMA SEPETU ATAVUNJA KIOO CHA GARI LENU

    MIMI KAMA MKEREKETWA NA MPINGA UFISADI NA USENENE NAMBA WANI, BADO NAWAPIGIA DEBE MWANAHRAKATI GENIUS, RAIS MTAJARIWA 2015 MT. YHANNA MASHAKA NA WAZIRI MUKUU DR. HILDEBAND SHAYO WA KULE RONDONI NA MACHO YA MUNENE JK JANUARY MAKAMBA

    LICHA YA KUSAKAMWA NA WAOSHA VINYWA KUTOKANA NA LUGHA YAO, NIMEPENDEZWA JINSI UNAVYOCHAMBUA MAMBO HASA KUHUSU MAENDELEO YA TAIFA LETU.

    NADHANI MIMI NITAIPELEKA HII MAKALA KWA WABUNGE WETU KULE DODOMA
    MHESHIMWA RAIS MTARAJIWA, TUNAKUUNGA MKONO, NA TUTAZIDI KUKUOMBEA DUA, ILI MUNGU AKULINDE DHIDI YA MAADUI AMBAO PIA UMEONYESHA UNA UPENDO NAO KAMA VILE US- BLOGGER

    MZEE WA PAMBA, JAKAYA MRISHO KIKWETE TUNAMPA KURA TENA, 2010 KWA MASHARTI KWAMBA LAZIMA ATUPE MIBARAKA YAKE KWA AJILI YA 2015.

    MZEE MZIMA, MZEE WA BAGAMOYO, MZEE MTANASHATI, MZEE WA PAMBA, TUNAOMBA UWABARIKI WANAO.

    MBARIKI MASHAKA, MBARIKI, SHAYO, MBARIKI JANUARY PAMOJA NA RIDHWANI

    Mh. MT. Mashaka, January, Dr. Shayo na Ridhwani. Kwa hiyo naomba msinisahau ifikapo 2015 HAMNA MSHABIKI MWINGINE NCHINI TANZANIA ZAIDI YANGU .

    ZIDUMU FIKRA ZA MZEE WA PAMBA JK
    ZIDUMU

    KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
    KIDUMU

    KIDUMU FIRKA ZA LAIS MTARAJIWA 2015
    ZIDUMU

    ZIDUMU FIKRA ZA MAKAMU 2015
    ZIDUMU

    MAFISADI YOTE NAYO YACHAPWE MBOKO
    YACHAPWE
    MKEREKETWA, YOMBO VITUKA !!!!
    -----------------------------------
    Dakika 30 za Internet Café Zimekwisha

    ReplyDelete
  22. Mdau Bennet tupo pamoja kwenye hili ila sasa sio UEFA CUP NI CHAMPIONS LEAGUE kwa maana lile kombe liver wanalosema wakiingia robo fainali huwa wanashinda mpk mwisho ndio hilooooo yaani kama Bata kuharishia ugali. Da! maskini kama Yanga vile.

    Mdau Davey Road

    ReplyDelete
  23. hahahahaha hiyo ndio hali halisi pole mkuu sijui limebaki lipi maana premier itakuwa mambo yaleyale labda mwakani......poleeeeeeeeni

    ReplyDelete
  24. Frm BBC "2058: GOAL Chelsea 2-2 Liverpool (agg 5-3)
    That one's definitely gone in. In fact, it almost broke the net. Alex steps up and unleashes a viciously swerving free-kick from 35 yards, leaving Pepe Reina grasping thin air. " Hakika ungetoka nje sipati picha mashabiki wa chelsea pale nyuma ya goli ingekuaje!

    ReplyDelete
  25. Ushabiki bwana unaweza kurusha ngumi hebu chukua hii toka BBC bro Michu..From BBC Sport's David Garrido at Stamford Bridge: "Chelsea fans taunting Pepe Reina with chants of 'Are you Riise in disguise?' - referring to the own goal he scored at Anfield last season."

    ReplyDelete
  26. Wakati mwingine hata kwa 4 x 4 x far mambo yanakuwa sio riziki.
    Wachezaji wa Chelsea wanahitaji kufanya mazoezi ya kuongeza stamina maana kila wakijikwaa kwenye unyasi karibu na maeneo ya hatari walikuwa wanaanguka. Refa alikuwa akiona ile hali anadhani kuna mchezaji amefanyiwa madhambi.

    ReplyDelete
  27. Basi tena kombe linaenda Hispania kwa Messi na Eto'o. Fainali itapendeza kati ya Porto na Barcelona.

    ReplyDelete
  28. YAAAAAWN...
    hahahhahaa...umekuwa paka..??
    kusema ukweli liverpool hakuna kombe mwaka huu..
    NAWATAKIA MAFANIKIO MEMA MWAKANI..
    ngoja wenye kujua mpira tuendelee kuchukua makombe hadi yafikie idadi tunayotaka...''i mean five cups''

    MAN U 4 ALL THE WAY..HOLLA..

    ReplyDelete
  29. Duh! mi siawahi toa maoni lakini mkuu wa nanii huwa ananitonesha Man Utd wakifungwa!
    Sijaona maoni maoni yako mkuu wa nanii baada baada ya maini kutafunwa nchi kavu wala sio bwawani
    Mwaka huu lazima mumfukuze kazi Benitez, subiri siku siku watakapokosa Premium championiship "lakini haumi ilimradi sio Man U.

    ReplyDelete
  30. Mzee wa madokomaa Tx pole sana.

    ReplyDelete
  31. BIBI UMEMEApril 15, 2009

    credit should be given where it deserves you.... gat Game liverpool !! no doubt about it, no one thought you would bounce back and bow out with style it was a great bow, i an avid man u fan gave you a standing ovation, mmepigana kiume na huo ndio mpira
    a manchester united fan

    ReplyDelete
  32. kwa heli bwawa la maini, na pole sana washabiki wa bwawa la main, the bluz wanasonga, tutaonana mwakani kama unajitahidi kiasi hiki maana bwawa la main ni wabovu mpaka basi, NAOMBA MICHUZI USIBANE HUU UJUMBE

    ReplyDelete
  33. wacheni majungu liver wamejitahidi tena sana tu, mpaka dakika ya 86 hakuna mtu aloweza kujua nani atatoka, wanahitaji pongezi liver, na hao chelsea tutawaonesha j1

    ReplyDelete
  34. MTAPIGA SANA KELELE MWAKA HUU SISI TUNAWATIZAMA TUU. HAMJUI KUWA FAINALI NI BARCA NA ARSENAL? INAJIRUDIA FAINALI YA MIAKA MITATU ILIYOPITA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...