Home
Unlabelled
carlos na layla wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbona mwanaumme emoro!!mfupi sana mwanaumme...
ReplyDeleteJamaa kauchuna kinoma atakuwa rud sana kwa mkewe mama pole na pia hongereni!!
ReplyDeleteBiutifuli. God bless ur marriage.
ReplyDeletemke mzuri,ana jina zuri na hata tabia yaonyesha nzuri kwani mtu mkishazaa ni mda wa kutosha kumjuwa tabia yake. HONGERENI SANA MBARIKIWE
ReplyDeletehongereni sana. Wadau kidogo nielimisheni Roberto Carlos umaarufu wake nini tena?
ReplyDeleteHongereni, ingawa inanichanganya kidogo kuona kwamba ndo kwanza mnameremeta na hapo hapo mmejaaliwa mtoto anaitwa Roberto Carlos Muhuga. Au mimi tu?
ReplyDeleteMmependeza sana!
ReplyDeleteKila siku naona watu wanaoa wadada wazuri. Mie niko ughaibuni napenda kuoa lakini sijaona mwanamke wa kitanzania alietulia na mzuri.
we uliyedai uko ughaibuni hujaona mwanamke wa kitanzania mzuri na ALIYETULIA unachekesha sana...
ReplyDeletepost your full phone with profile/Bio Attached then tutajua kwa nini upati wanawake hahahah
Hongera sana Carlos. Nimefurahishwa na hatua uliyofikia. Mwanafunzi mwenzako wa zamani IFM.
ReplyDeleteCHA AJABU NINI,UNASHANGAA KWAMBA WANA MTOTO TAYARI, WAO SIO WA KWANZA WALA WA MWISHO, SI AFADHALI WAO WAMEFANYA JAMBO LA BUSARA KUHALALISHA KUWA KWAO PAMOJA, WENGINE KAZI KUTOA MIMBA NA KULALA NA KILA ANAEKATIZA KARIBU YAO, MUNGU AMEWASAMEHE NA WAZAZI WAMEWAPA BARAKA WEWE JE???? ACHA PUMBA NA ROHO YA CHUKI WAPE HAKI YAO, WAMEPENDEZA VIJANA WAZURI, MASHALAHAAAAH.MJALIWE WATOTO ZAIDI.AMINA.
ReplyDeleteMie wanawake wazuri wazuri NAWAOGOPA, sitaki kuibiwa na MIBASHA mijizi, nataka mke wangu SURA BAYUUUU, awe wangu mwenyewe, hasa wale walio kama Vimodel Modo, sitaki kabisa maana hata wazungu wanawataka. HONGERENI LAKINI.
ReplyDeleteCheers and its so beautiful.
ReplyDeleteDah! we Carlos yaani tangu uoe sasa ni mwaka na miezi kadhaa, imekuwaje ndo unakuja kutundika picha leo?????????????????????????
ReplyDeleteHongera sana Carlos.Mbarikiwe kwa maisha mapya.
ReplyDeleteTutafutane: gaphiz@yahoo.com
Mnaotuma hizi habari muwe makini la sivyo mtamix mambo.watu ndo wanameremeta halafu wanashukuru kupata mtoto,sasa hiyo harusi au kubariki ndoa.pengine mi sijaelewa hapo ila kama ni hivyo.hilo jambo halimpendezi mungu kabisa.Tueleweshe kama unaripoti harusi ya mwaka uliopita au vip?
ReplyDeletekhaaa
ReplyDeletembona wee annon cjui uko majuu,eti huoni mwanamke mTz kuoa hawajatulia,wewe UMETULIA????????
hongeren maharusi sana sana na baby wenu pia
nyie mnaouliza jina la mtoto wee jina lako umelitoa wapi na lina mana gani!!
roho za kwanini!!!
Wewe unayeuliza habari za kumeremeta na kuwa na mtoto tayari, huo mbona ndio mtindo wa siku hizi, sio wanawake sio wanaume, hakuna wanapenda kuuziwa mbuzi kwenye gunia. tunashuhudia mabiharusi kibao wanakuwa tayari na vitumbo wakati wa kuoana. na pia kupata ujauzito ni mtindo wa kulazimisha ndoa hasa kama mwanaume mwenyewe haeleweki eleweki hivi. wajanja wa mjini huwa wanaita ndoa kama hizo "kupasha kiporo"
ReplyDeletewe vipi hakuna anayekubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia? Yani na wewe na akili zako zoote unaunga mkono uzinifu....Japo mambo haya yapo katika jamii yetu sasa hivi lakini tujaribu kuwakumbusha watu kuwa Kuna makatazo ya Mungu. Mtoto umleavyo hata siku moja usimwambie ukifanya utumie condom msisitize usifanye Mungu kakataza ni dhambi..ndipo baadae umkumbushe condom.......Kaka Michuzi na wewe lini utabariki ndoa yako???????
ReplyDeleteWaka siwapi hongera....ni waizi hao..walishaibana kwanza ndipo wanafunga ndoa...Walivunja amri....NO NO NO NO...Washindwe kwa jina la Yesu
ReplyDeleteWala siwapi hongera...Yani wameshaibana weeee...sasa ndio wanajua kuwa kuna Mungu wanafunga ndoa!!!! Hata mmea wameshaupanda umeota....HAPANA
ReplyDeleteKwa mnaojiuliza maswali mengi hapo juu:
ReplyDeleteWawili hawa walishaoana kitambo, zaidi ya mwaka, sasa wamejaaliwa mtoto ndo wanashukuru kupata mtoto na kuwa salama na pamoja mpaka leo.
Maybe wangeleta picha ambayo siyo ya harusi, maana hii imechanganya wengi
mwanamke ameshazaa halafu anavaa "shela", hiyo kali.mimi najua binti kuvaa shela ambayo ni nguo nyeupe ya harusi inaashiria binti alikuwa safi yaani hajaguswa.huu mtindo wa kuvaa shela wakati tayari una mtoto au mimba ni kuidhalilisha hiyo nguo pamoja na mvaaji pia na dini yake.yafaa tuache. kama unabariki ndoa vaa mavazi mengine lakini siyo shela.
ReplyDeleteBibie umependeza. Alafu una uzuri wa asili sio wa mipambo, utafikiri kama wewe sio mbongo, manake wabongo kwa michubuo nao hawajambo, wewe uko asilia, natural beuty,African queen,
ReplyDeleteKuna watu mnaandika humu kama vile ndiyo mmeamka kutoka kwenye coma/kupoteza fahamu tangu miaka ya 1953 na ndiyo mnaamka na kushtukia maisha ya leo!! Au kama vile ndiyo mmeshuka toka sayari ya Neptune na kuingia sayari hii earth!
ReplyDeleteNa nyie mnaojifanya watu wa dini sana ebu jiangalieni na mji hukumu kwa ukweli wote.....acheni kujifanya kuwa watakatifu; unafiki mtupu. Shela zinavaliwa na yeyote.
Hongereni waarusi na tunawatakia maisha marefu ya furaha, amani na uaminifu.
J.
Toronto Canada.
hongereni kwa kujaliwa mtoto na ndoa bora!..
ReplyDeletesamahani layla naomba kuuliza kama ni wewe tuliosoma pamoja shule ya msingi lugalo au nimekufananisha maana hii sura c ngeni kwangu!...
Hongereni sana
Humu ndani ndio utagundua ni jinsi gani Akili za watu zilizo hazina Akili na comment zao za kipumbavu mara "mbona jamaa kauchuna atakuwa rud"
ReplyDeleteHivi kweli binadamu aliye kamili anaweza kutoa comment ya kipumbavu na kipuuzi kama hiyo hapo kwenye mabano.Amakweli bado kuna wajinga wengi sana kwenye jamii yetu na watu kama hawa wanabidi waelimishwe.
Kenge
michu umenibania tangu jana, nimeuliza Roberto Carlos original ana shughuli gani au ni nani?
ReplyDeleteWazee wa darajani hatukubali, tutaandamana dogo second-born aitwe John Terry Muhuga!! Kazi kwenu na wajaluo wakitaka Barack Obama Muhuga! Hongereni. Ndoa yenu na idumu katika Jina la Yesu Amen!
ReplyDeleteHey Carlos, next time uwe careful, picha za bibie poa, utaibiwa. Hongereni, keep her up
ReplyDeleteHUYO ANAESEMA SHERA LINAASHIRIA BIBI HARUSI HAJAGUSWA MSAFI NADHANI HAJUI ALICHOKIANDIKA NA HAJUI ASILI YA SHERA SIO UTAMADUNI WA MWAFRICA HALIKUANZIA AFRICA!!
ReplyDeleteSO HAO WAZUNGU AMBAO NDIO TAMADUNI ZAO HAKUNA AMBAYE ANAOLEWA AKIWA BIKRA!!WANALAMBANA WEE MWISHO WANAISHIA KTK NDOA ZAO ZA MIKATABA SASA UNATAKA KUSEMA HIZO K ZAO ZILIKUA HAZIJAGUSWA?MAANA WENGI WAO WANAKUA TAYARI WAPO KTK FAMILIA
ACHENI KUBWABWAJA
Nyinyi mnaofagilia kulambana hadi mimba ndo mvae shela hamuelewi maana ya shela.kama huwa mnaenda kuabudu dini yoyote waulizeni walimu wenu wa dini watawaeleza.na msichukue mifano ya wazungu kuvaa shela wakati tayari wana watoto bali mfuate kitu gani kinatakiwa kulingana na mafundisho ya dini yenu.naona ninyi ni wakware kama wanavyosema watoto wa mjini.tena mshindwe kwa jina la Yesu.
ReplyDelete